Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Rais wa Venezuela amkejeli Trump, asema amemfanya mashuhuri

    Rais wa Venezuela amkejeli Trump, asema amemfanya mashuhuri

    Oct 09, 2017 08:04

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametumia kinaya kumkejeli Donald Trump na kusema kuwa rais huyo wa Marekani amemfanya awe shakhsia maarufu duniani.

  • Venezuela: Marekani inafanya 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi yetu

    Venezuela: Marekani inafanya 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi yetu

    Sep 26, 2017 07:42

    Venezuela imesema Marekani inaendeleza kile ilichokitaja 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.

  • Rais Evo Morales: Rais Donald Trump wa Marekani ameipigia magoti serikali ya Venezuela

    Rais Evo Morales: Rais Donald Trump wa Marekani ameipigia magoti serikali ya Venezuela

    Sep 18, 2017 07:26

    Rais Evo Morales wa Bolivia amesema kuwa, hatimaye Marekani imepiga magoti na kusalimu amri mbele ya serikali ya Venezuela kwa kukubali kufanyika mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.

  • Venezuela yajibu mapigo baada ya vitisho vya uingiliaji kijeshi wa Trump

    Venezuela yajibu mapigo baada ya vitisho vya uingiliaji kijeshi wa Trump

    Aug 15, 2017 07:35

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameliagiza jeshi la nchi hiyo kufanya luteka ya nchi nzima ikiwa ni radiamali kwa vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani aliyesema kuwa chaguo la kuishambulia kijeshi nchi hiyo lipo mezani.

  • Qassemi: Zama za kutumia vitisho vya kijeshi zimepita

    Qassemi: Zama za kutumia vitisho vya kijeshi zimepita

    Aug 14, 2017 08:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vitisho vya kutumia nguvu za jeshi vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Venezuela na kusisitiza kuwa uzoefu unaonesha kuwa, zama za kutumia vitisho vya kijeshi na mashinikizo dhidi ya nchi huru na zinazojitawala kwa ajili ya kuzilazimisha zikubali matakwa yasiyo ya kimantiki na haramu zimemalizika.

  • Maduro: CIA inashirikiana na Mexico, Colombia dhidi ya Venezuela

    Maduro: CIA inashirikiana na Mexico, Colombia dhidi ya Venezuela

    Jul 25, 2017 14:13

    Rais wa Venezuela amesema Shirika la Kijasusi la Marekani CIA linashirikiana na Mexico na Colombia katika njama ya kuipindua serikali halali ya Caracas.

  • Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela na indhari ya Caracas dhidi ya Washington

    Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela na indhari ya Caracas dhidi ya Washington

    Feb 22, 2017 12:38

    Katika hatua inayohesabiwa kuwa ni uingiliaji wa serikali mpya ya Marekani dhidi ya Venezuela, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekutana na mke wa Leopoldo López, kiongozi mkuu wa upinzani anayezuiliwa katika jela nchini Venezuela.

  • Makamu wa Rais wa Venezuela: US imeniwekea vikwazo kwa kupinga ubeberu

    Makamu wa Rais wa Venezuela: US imeniwekea vikwazo kwa kupinga ubeberu

    Feb 15, 2017 01:33

    Makamu wa Rais wa Venezuela, Tareck El Aissami amekosoa vikali hatua ya Marekani kumuwekea vikwazo eti kwa madai ya kuhusika na ulanguzi wa mihadarati.

  • Rouhani: NAM iungane dhidi ya misimamo mikali ya upande mmoja

    Rouhani: NAM iungane dhidi ya misimamo mikali ya upande mmoja

    Feb 09, 2017 07:30

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi baina ya nchi wananchama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM, akisisitiza kuwa mataifa huru yanafaa kuungana dhidi ya madola yenye kupenda kutoa maamuzi ya upande mmoja na misimamo ya kuchupa mipaka.

  • Rais wa Venezuela safarini Iran kwa mazungumzo ya mafuta

    Rais wa Venezuela safarini Iran kwa mazungumzo ya mafuta

    Oct 22, 2016 04:26

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela anaitembelea Iran katika sehemu ya safari yake ya kuzitembelea nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi duniani ili kujaribu kuleta uthabiti katika soko la kimataifa la mafuta.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS