-
Dehqan: Juhudi za Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran zitafeli
Feb 22, 2017 00:36Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema juhudi za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran hazitafua dafu.
-
Iran yaapa kuendelea kuimarisha uwezo wake wa kujihami
Jul 19, 2016 23:28Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Hossein Dehqan amesema Jamhuri ya Kiislamu imeazimia kuimarisha uwezo wake wa kujihami na kuzuia maadui.
-
Zaidi ya magaidi 80 wauawa Sinai, Misri
May 25, 2016 23:57Jeshi la Misri limetangaza kuwa, limefanikiwa kuua magaidi wasiopungua 85 katika kipindi cha siku nne zilizopita kwenye maeneo ya Sheikh Zuweid na Rafah, katika rasi ya Sinai ya kaskazini mwa nchi hiyo.