-
Guterres ataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Mar 21, 2020 22:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuna haja ya kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, vikwazo hivyo vimekuwa kizingiti katika jitihada za Jamhuri ya Kiislamu za kupambana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na kirusi cha Corona.
-
Kuendelea vikwazo vya Marekani na mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya mfumo wa tiba wa Iran
Mar 20, 2020 08:18Katika siku za hivi karibuni Marekani imeendelea mtawalia kuiwekea vikwazo vipya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na miito inayoongezeka ya kuondolewa vikwazo hivyo
Mar 19, 2020 10:03Licha ya kuibuka virusi angamizi vya Corona ulimwenguni ikiwemo Iran na kuweko ulazima wa walimwengu wote kukabiliana navyo, lakini Marekani ingali inang’ang’ania kuendeleza utendaji wake wa kivikwazo katika fremu ya sera za vikwazo vya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran na imekuwa ikitangaza mtawalia vikwazo vipya dhidi ya Tehran.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa
Mar 19, 2020 04:27Serikali ya Trump imeamua kutekeleza sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran; na ili kufanikisha lengo hilo baada ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei 2018, ilianza kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu vikwazo vikali zaidi kuwahi kushuhudiwa. Lakini licha ya kushindwa kufikia lengo ililokusudia, Washington ingali inang'ang'ania kuongeza vikwazo dhidi ya Tehran.
-
Iran yazikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzuia taarifa ya NAM ya kulaani vikwazo vya US
Mar 19, 2020 04:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali hatua ya baadhi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM, kwa kuzuia kutolewa taarifa ya jumuiya hiyo ya kulaani vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran.
-
Sanders autaka utawala wa Trump uiondolee Iran vikwazo
Mar 19, 2020 04:21Bernie Sanders, Seneta wa jimbo la Vermont anayewania kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Marekani katika uchaguzi wa mwaka huu kwa tiketi ya chama cha Democrat ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya utawala wa Donald Trump ya kushadidishi vikwazo dhidi ya Iran wakati huu ambapo taifa hili linakabiliana na mripuko wa ugonjwa wa Corona.
-
Takwa la Russia la kuondolewa vikwazo visivyo vya kiutu vya Marekani dhidi ya Iran
Mar 17, 2020 23:39Kuendelea vikwazo vya Marekani vyenye wigo mpana na ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran ambavyo vilianza kutekelezwa baada ya Washington kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA Mei 2018, ni hatua ambayo ilikabiliwa na malalamiko na ukosoaji mkubwa katika uga wa kimataifa ambapo hata washirika wa Ulaya wa Washington nao waliikosoa hatua hiyo isiyo ya kibinadamu.
-
Ugaidi wa kimatibabu wa Marekani katika kilele cha vita dhidi ya Corona nchini Iran
Mar 09, 2020 04:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Dunia haiwezi tena kubakia kimya wakati 'ugaidi wa kiuchumi' wa Marekani sasa umeunganishwa na 'ugaidi wa kimatibabu' dhidi ya taifa la Iran."
-
CNN yakiri kwamba Iran inafanya juhudi kubwa kuvishinda virusi vya Corona
Mar 03, 2020 08:00Kanali ya televisheni ya CNN ya nchini Marekani imekiri kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inafanya juhudi kubwa kuvishinda virusi hatari vya Corona.
-
Njama za Trump za kuficha sera za Marekani dhidi ya Iran
Mar 02, 2020 07:29Baada ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA mwezi Mei 2018, ilianzisha sera za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran; na katika fremu hiyo ikaiwekea Iran vikwazo vikali kabisa hata katika uga wa masuala ya kibinadamu. Pamoja na kuwepo sera hiyo ya White House, hivi sasa rais afriti wa Marekani anajifanya mtu mwenye kuwahurumia wananchi wa Iran na kudai eti yuko tayari kuisaidia Iran.