Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Ndege za Qatar Airways kuendelea na safari za Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Ndege za Qatar Airways kuendelea na safari za Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Oct 09, 2018 04:33

    Shirika la ndege la Qatar Airways limesema safari za ndege za shirika hilo za kwenda na kutoka Iran zitaendelea kama kawaida, licha ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Pigo jingine kubwa kwa Trump: Mahakama ya juu zaidi ya UN yaiamrisha Marekani iiondolee vikwazo Iran + Video

    Pigo jingine kubwa kwa Trump: Mahakama ya juu zaidi ya UN yaiamrisha Marekani iiondolee vikwazo Iran + Video

    Oct 03, 2018 10:59

    Tehran imepata ushindi mwingine mbele ya Marekani baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kutoa amri kwa Washington kusimamisha vikwazo vyake vya upande mmoja haraka iwezekanavyo dhidi ya Iran.

  • Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria

    Ubeberu wa Marekani haubakishi mtu, sasa ni zamu ya Algeria

    Sep 29, 2018 11:14

    Msemaji wa ubalozi wa Marekani mjini Algiers amesema kuwa, Washington hivi sasa inachunguza uwezekano wa kuiwekea vikwazo Algeria kutokana na kununua silaha kutoka Russia.

  • Uturuki: Tutaendelea kushirikiana na Iran licha ya Marekani kuiwekea vikwazo

    Uturuki: Tutaendelea kushirikiana na Iran licha ya Marekani kuiwekea vikwazo

    Sep 27, 2018 03:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kuwa, Ankara haitojali vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na itaendeleza ushirikiano wake na Tehran kama kawaida.

  • Iran: Ndoto ya Marekani ya kuzuia uuzwaji mafuta ya nchi hii, haina tafsiri

    Iran: Ndoto ya Marekani ya kuzuia uuzwaji mafuta ya nchi hii, haina tafsiri

    Sep 24, 2018 10:49

    Waziri wa Mafuta wa Iran sambamba na kubainisha kwamba mbali na Korea Kusini, hakuna nchi iliyocha kununua mafuta ya nchi hii na kusisitiza kuwa, ndoto ya Marekani ya kusimamisha kabisa uuzaji nje mafuta ya Iran haitathibiti.

  • Ukosoaji wa ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa dhidi ya vikwazo vya upande mmoja

    Ukosoaji wa ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa dhidi ya vikwazo vya upande mmoja

    Sep 16, 2018 02:49

    Ulimwengu wa magharibi ukiwa na shabaha ya kutwisha matakwa na kusukuma mbele gurudumu la malengo yake, daima umekuwa ukitumia wenzo wa vikwazo.

  • Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Sep 15, 2018 03:29

    Umoja wa Ulaya (EU), ambao nchi zake tatu muhimu, yaani Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ni wanachama wa kundi 5+1, mbali kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya Iran ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) umesisitiza kukabiliana na hatua za Marekani za kutaka kuyavunja makubaliano hayo; na katika kufanya hivyo umechukua hatua nyengine mpya kwa madhumuni ya kuyalinda makubaliano hayo ya JCPOA.

  • Shamkhani: Iran haitasalimu amri mbele ya dhulma na uonevu

    Shamkhani: Iran haitasalimu amri mbele ya dhulma na uonevu

    Sep 10, 2018 23:48

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, taifa la Iran kamwe halitasalimu amri mbele ya dhulma, uonevu na udhalilishaji na litawadunisha maadui na wanaolitakia mabaya.

  • Marekani yaendelea kuiwekea vikwazo Korea Kaskazini licha ya Pyongyang kutekeleza majukumu yake

    Marekani yaendelea kuiwekea vikwazo Korea Kaskazini licha ya Pyongyang kutekeleza majukumu yake

    Sep 07, 2018 03:08

    Katika kuendeleza hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini, kwa mara nyingine Wizara ya Hazina ya Marekani imeiwekea vikwazo serikali ya Pyongyang.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa vikali muamala wa Marekani dhidi ya Iran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa vikali muamala wa Marekani dhidi ya Iran

    Sep 05, 2018 03:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amekosoa vikali sera za upande mmoja zinazotekelezwa na Marekani na kueleza kwamba muamala wa Washington dhidi ya Iran si wa kitaalamu wala hauendani na uhalisia wa mambo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS