-
Kelele za John Bolton; Iran itasimama kidete na haitatetereka
Aug 23, 2018 05:48John Bolton, Mshauri wa Mais wa Marekani katika Usalama wa Taifa akizungumza mwisho wa safari yake ya siku tatu katika utawala wa Kizayuni wa Israel amekariri madai yake dhidi ya Iran na kusema vitisho na vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitaongezwa ili kuilazimisha Tehran ibadili msimamo wake.
-
Majibu ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani
Aug 23, 2018 03:19Kwa miaka kadhaa sasa uhusiano wa Marekani na Russia umekuwa katika mkondo wa mzozo na mivutano.
-
Jahangiri: Iran katu haitagonga mwamba
Aug 18, 2018 23:08Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesisitiza kuwa, Iran katu haitagonga mwamba na kuongeza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa na usio na kifani kwa mtazamo wa mali asili, nguvu kazi na uongozi wenye busara katika kukabiliana na vikwazo."
-
Marekani yatoa vitisho tena kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran
Aug 17, 2018 23:44Serikali ya Marekani imezitishia tena kuziwekea vikwazo nchi zinazonunua mafuta kutoka Iran ikiwemo China.
-
Uturuki yajibu mapigo, yaziwekea vikwazo bidhaa za kielektroniki za Marekani
Aug 14, 2018 22:05Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametangaza kuwekewa vikwazo bidhaa za kielektroniki zinazozalishwa nchini Marekani.
-
Kiongozi Muadhamu: Hatutafanya mazungumzo na Marekani
Aug 13, 2018 10:36Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matamashi na lugha zisizo na adabu za viongozi wa Marekani kuhusiana na vikwazo, vita na mazungumzo na Iran kusema kuwa, tunasisitiza kwamba, hakutatokea vita na hatutafanya mazungumzo.
-
Russia: Marekani inaweka vikwazo dhidi ya nchi nyingine ili kutatua matatizo yake ya kifedha
Aug 11, 2018 22:04Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Marekani inaziwekea vikwazo vya upande mmoja nchi nyingine kwa shabaha ya kuondoa matatizo yake ya kifedha na kuziba nakisi ya mapato yake.
-
Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow
Aug 11, 2018 01:49Dmitry Medvedev, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa, kushadidishwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia, ni sawa na kutangaza vita vya kibiashara kwa nchi yake.
-
Russia yazipongeza nchi za Ulaya kwa kusimama imara kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Aug 08, 2018 10:02Maafisa waandamizi wa Russia wamesema kuwa, upinzani wa nchi za Ulaya dhidi ya vikwazo vya Marekani kwa Iran unaonesha namna nchi za bara hilo zilivyo na nia thabiti ya kukabiliana na siasa za kujinufaisha upande mmoja za Washington.
-
Marekani yazitisha nchi za Ulaya kwamba itaziwekea vikwazo nchi zitakazofanya biashara na Iran
Aug 02, 2018 23:54Mtandao wa habari wa Washington Free Beacon umeinukuu serikali ya Marekani na bunge la kongresi la nchi hiyo zikizionya nchi za Ulaya kuhusiana na kuendeleza mashirikiano ya kibiashara na Iran.