Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Kelele za John Bolton; Iran itasimama kidete na haitatetereka

    Kelele za John Bolton; Iran itasimama kidete na haitatetereka

    Aug 23, 2018 05:48

    John Bolton, Mshauri wa Mais wa Marekani katika Usalama wa Taifa akizungumza mwisho wa safari yake ya siku tatu katika utawala wa Kizayuni wa Israel amekariri madai yake dhidi ya Iran na kusema vitisho na vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitaongezwa ili kuilazimisha Tehran ibadili msimamo wake.

  • Majibu ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani

    Majibu ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani

    Aug 23, 2018 03:19

    Kwa miaka kadhaa sasa uhusiano wa Marekani na Russia umekuwa katika mkondo wa mzozo na mivutano.

  • Jahangiri: Iran katu haitagonga mwamba

    Jahangiri: Iran katu haitagonga mwamba

    Aug 18, 2018 23:08

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesisitiza kuwa, Iran katu haitagonga mwamba na kuongeza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa na usio na kifani kwa mtazamo wa mali asili, nguvu kazi na uongozi wenye busara katika kukabiliana na vikwazo."

  • Marekani yatoa vitisho tena kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran

    Marekani yatoa vitisho tena kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran

    Aug 17, 2018 23:44

    Serikali ya Marekani imezitishia tena kuziwekea vikwazo nchi zinazonunua mafuta kutoka Iran ikiwemo China.

  • Uturuki yajibu mapigo, yaziwekea vikwazo bidhaa za kielektroniki za Marekani

    Uturuki yajibu mapigo, yaziwekea vikwazo bidhaa za kielektroniki za Marekani

    Aug 14, 2018 22:05

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametangaza kuwekewa vikwazo bidhaa za kielektroniki zinazozalishwa nchini Marekani.

  • Kiongozi Muadhamu: Hatutafanya mazungumzo na Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Hatutafanya mazungumzo na Marekani

    Aug 13, 2018 10:36

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matamashi na lugha zisizo na adabu za viongozi wa Marekani kuhusiana na vikwazo, vita na mazungumzo na Iran kusema kuwa, tunasisitiza kwamba, hakutatokea vita na hatutafanya mazungumzo.

  • Russia: Marekani inaweka vikwazo dhidi ya nchi nyingine ili kutatua matatizo yake ya kifedha

    Russia: Marekani inaweka vikwazo dhidi ya nchi nyingine ili kutatua matatizo yake ya kifedha

    Aug 11, 2018 22:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Marekani inaziwekea vikwazo vya upande mmoja nchi nyingine kwa shabaha ya kuondoa matatizo yake ya kifedha na kuziba nakisi ya mapato yake.

  • Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow

    Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow

    Aug 11, 2018 01:49

    Dmitry Medvedev, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa, kushadidishwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia, ni sawa na kutangaza vita vya kibiashara kwa nchi yake.

  • Russia yazipongeza nchi za Ulaya kwa kusimama imara kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Russia yazipongeza nchi za Ulaya kwa kusimama imara kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Aug 08, 2018 10:02

    Maafisa waandamizi wa Russia wamesema kuwa, upinzani wa nchi za Ulaya dhidi ya vikwazo vya Marekani kwa Iran unaonesha namna nchi za bara hilo zilivyo na nia thabiti ya kukabiliana na siasa za kujinufaisha upande mmoja za Washington.

  • Marekani yazitisha nchi za Ulaya kwamba itaziwekea vikwazo nchi zitakazofanya biashara na Iran

    Marekani yazitisha nchi za Ulaya kwamba itaziwekea vikwazo nchi zitakazofanya biashara na Iran

    Aug 02, 2018 23:54

    Mtandao wa habari wa Washington Free Beacon umeinukuu serikali ya Marekani na bunge la kongresi la nchi hiyo zikizionya nchi za Ulaya kuhusiana na kuendeleza mashirikiano ya kibiashara na Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS