Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Zarif: Marekani imepatwa na uraibu wa kuweka vikwazo

    Zarif: Marekani imepatwa na uraibu wa kuweka vikwazo

    Jul 30, 2018 03:19

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema Marekani imepatwa na uraibu wa kuweka vikwazo dhidi ya nchi mbalimbali na kwamba Wairani watavuka kipindi kigumu cha sasa kwa umoja na mshikamano wao.

  • Trump: Vikwazo vya Russia havitaondolewa na hakuna muhula kuhusu mazungumzo na Pyongyang

    Trump: Vikwazo vya Russia havitaondolewa na hakuna muhula kuhusu mazungumzo na Pyongyang

    Jul 19, 2018 03:50

    Rais wa Marekani amesema katika mazungumzo na wabunge wa nchi hiyo huko White House kuwa hakuna uwezekano wa kufutwa vikwazo dhidi ya Moscow na kwamba vikwazo hivyo vitaendelea kuwepo licha ya kufanyika mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Russia.

  • Mike Pompeo: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea

    Mike Pompeo: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea

    Jul 19, 2018 02:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa kufikiwa makubaliano kamili ya nyuklia kati ya nchi yake na Korea Kaskazini, kutategemea muda mrefu na kwamba katika kipindi hicho vikwazo vya Washington dhidi ya Pyongyang vitaendelea kuwepo.

  • Hatua mpya ya Umoja wa Ulaya ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Hatua mpya ya Umoja wa Ulaya ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jul 18, 2018 05:31

    Licha ya kuendelea vitisho vya Marekani kuhusiana na mapatano ya nyuklia ya Iran JCPOA, Umoja wa Ulaya umepitisha sheria ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran inayojulikana kama 'Sheria Zuizi.'

  • Baraza la Usalama la UN laiwekea vikwazo Sudan Kusini

    Baraza la Usalama la UN laiwekea vikwazo Sudan Kusini

    Jul 13, 2018 22:51

    Baraza la Usalama la Umoja wa Umoja wa Mataifa limeiwekea vikwazo vya silaha nchi ya Sudan Kusini, karibu miaka mitano sasa baada ya nchi hiyo kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa

    Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa

    Jul 11, 2018 08:51

    Marekani imelegeza msimamo wake mkali wa kuiwekea Iran vikwazo na kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya nchi hii kuuzwa katika soko la kimataifa ifikapo Novemba 4.

  • Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani

    Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani

    Jul 10, 2018 02:49

    Waziri wa Mambo wa Nje wa Russia, Sergei Lavrov amesema nchi tatu kubwa za Umoja wa Ulaya na ambazo zilisaini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zimeafikiana kuzindua uhusiano wa kibiashara na Iran pasina kutegemea matumizi ya dola za Marekani.

  • Frank N. von Hippel: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havitokuwa na natija yoyote

    Frank N. von Hippel: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havitokuwa na natija yoyote

    Jul 09, 2018 09:20

    Naibu wa zamani wa Usalama wa Taifa katika ikulu ya Marekani, White House, Frank N. von Hippel amesema kuwa vikwazo vya serikali ya Washington dhidi ya Iran havitokuwa na natija yoyote.

  • Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jul 05, 2018 05:22

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.

  • Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jul 05, 2018 02:46

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS