-
Kuendelea mgogoro nchini Libya, Haftar azidi kupiga ngoma ya vita
Jan 28, 2020 06:22Vita nchini Libya vimeanza upya licha ya kuweko juhudi kubwa za kimataifa za kuutafutia ufumbuzi wa kisiasa mgogoro wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Juhudi mbalimbali za kuyakusanya pamoja makundi hasimu ya Libya zilizofanyika katika nchi mbalimbali kama Moscow Russia, Berlin Ujerumani na Algiers nchini Algeria zimeshindwa kutuliza hali ya mambo nchini humo.
-
Tahadhari ya UN kuhusu ukiukwaji wa haki za watoto vitani nchini Syria
Jan 20, 2020 02:54Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, katika muda wa miaka tisa ya vita huko Syria watoto wa kike na wa kiume wa nchi hiyo wamenyimwa haki zao za msingi na haki zao zimekiukwa pakubwa.
-
Wamarekani waandamana kulaani uchu wa vita wa utawala wa Trump
Jan 05, 2020 07:57Maelfu ya wanaharakati na wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika makumi ya miji ukiwemo mji mkuu Washington, kulaani hatua ya utawala wa Donald Trump ya kumuua shahidi kamanda wa jeshi la Iran, Luteni Jenerali Soleimani, pamoja na hatua ya Washington ya kutuma maelfu ya askari katika eneo la Asia Magharibi.
-
Indhari ya China kwa hatua ya Marekani ya kuzigeuza anga za mbali kuwa uwanja wa vita
Dec 21, 2019 02:39Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetoa indhari kuhusu hatari ya anga za mbali kugeuzwa kuwa uwanja na medani mpya ya vita. Indhari na onyo hilo la China limetolewa kama jibu na radiamali kwa sheria ya ulinzi wa taifa iliyopitishwa na serikali ya Marekani.
-
Madai ya upotoshaji ya Trump kwamba Asia Magharibi imestawishwa na Marekani
Oct 27, 2019 08:14Baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 na kupitia kisingizio cha kupambana na ugaidi, Marekani ilianzisha hujuma zake dhidi ya eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ambapo mwaka 2001 Washington iliivamia kijeshi Afghanistan, huku mwaka 2003 ikiishambulia Iraq.
-
Abiy Ahmed: Tukilazimika tutaingia vitani na Misri kwa ajili ya bwawa la El Nahdha
Oct 23, 2019 02:46Waziri Mkuu wa Ethiopia ametahadharisha kuwa, nchi hiyo itakusanya mamilioni ya wapiganaji iwapo italazimika kingia vitani na Misri katika mzozo wa ujenzi wa bwawa la El Nahdha juu ya maji ya Mto Nile.
-
Reuters: Baadhi ya wanafamilia ya kifalme Saudia wanataka Bin Salman awekwe kando, ami yake ashike madaraka
Oct 03, 2019 07:57Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, baadhi ya wanafamilia ya kifalme inayotawala Saudi Arabia na wafanya biashara wakubwa wa nchi hiyo wameeleza kuvunjwa moyo na uongozi wa mrithi wa ufalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman baada ya hujuma na mashambulizi makali ya wapiganaji wa harakati ya Ansarullah wa Yemen dhidi ya vituo na taasisi za kuzalisha mafuta mwezi uliopita.
-
UN: Waislamu wa Rohingya walioko Bangladesh hawataki kurejea Myanmar
Aug 21, 2019 02:40Maafisa wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) na wale wa serikali ya Bangladesh wametangaza kuwa, Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbilia nchini Bangladesh hawataki kurejea katika nchi yao ya Myanmar.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan atahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea vita na India
Aug 07, 2019 08:00Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuwa, kuna uwezekano wa kutokea vita baina ya nchi yake na India baada ya New Delhi kufuta kifungu cha katiba kinacholipa mamlaka ya utawala wa ndani jimbo linalozozaniwa na Kashmir.
-
Kwa nini Imarati imeamua kupunguza idadi ya wanajeshi wake huko Yemen?
Jun 30, 2019 04:16Baadhi ya duru za habari zimeripoti kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umepunguza idadi ya askari wake waliokuwa katika mji wa Aden huko kusini mwa Yemen.