Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Papa azilaumu Marekani na Ulaya kwa mauaji ya watu katika maeneo ya vita

    Papa azilaumu Marekani na Ulaya kwa mauaji ya watu katika maeneo ya vita

    Apr 07, 2019 02:20

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema mashindano ya kuuza silaha yanayofanywa na Marekani na nchi za Magharibi ndiyo sababu ya mauji ya watu wakiwemo watoto wadogo katika nchi zinazoshuhudia vita katika kona mbalimbali duniani.

  • Duru mpya ya mgogoro wa kisiasa na kijeshi nchini Libya

    Duru mpya ya mgogoro wa kisiasa na kijeshi nchini Libya

    Apr 06, 2019 21:47

    Katika hali ambayo, jamii ya kimataifa ilikuwa imeelekeza macho na masikio yake katika mkutano wa "mazungumzo ya kitaifa ya Libya" kwa ajili ya kufikia utatuzi wa kisiasa na kuvuka kipindi cha mgogoro wa sasa, mashambulio ya vikosi vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar na kusonga mbele kuelekea mji mkuu Tripoli, yameitumbukiza nchi hiyo katika kipindi kipya cha mgogoro.

  • Vita katika nchi za Kiarabu vyagharimu dola bilioni 900

    Vita katika nchi za Kiarabu vyagharimu dola bilioni 900

    Mar 14, 2019 04:44

    Benki ya Dunia imekadiria gharama ya kuendeshea vita katika nchi za Kiarabu katika miaka minane iliyopita kuwa dola bilioni 900.

  • Zarif: Kuanzisha vita dhidi ya Iran ni sawa na kujitia kitanzi

    Zarif: Kuanzisha vita dhidi ya Iran ni sawa na kujitia kitanzi

    Feb 15, 2019 21:57

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa jitihada za aina yoyote za kutaka kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran ni sawa na kujitia kitanzi na kujinyonga.

  • Wanaharakati 3000 wataka kususiwa mkutano dhidi ya Iran huko Poland

    Wanaharakati 3000 wataka kususiwa mkutano dhidi ya Iran huko Poland

    Jan 17, 2019 12:47

    Wanaharakati 3000 wanaopinga vita huko Marekani na katika nchi nyingine duniani wametia saini hati inayozitaka nchi za Ulaya kususia mkutano wa kuipiga vita Iran uliopangwa kufanyika nchini Poland.

  • Wazayuni wakiri: Jeshi la Israel halina ubavu wa kuingia katika vita vipya

    Wazayuni wakiri: Jeshi la Israel halina ubavu wa kuingia katika vita vipya

    Dec 14, 2018 23:10

    Afisa mmoja mwandamizi wa jeshi la utawala wa Kizayuni amekiri kuwa Israel haina uwezo wa kuingia kwenye vita vyengine vipya.

  • China yarudisha mapigo, yapiga marufuku simu za iPhone

    China yarudisha mapigo, yapiga marufuku simu za iPhone

    Dec 12, 2018 09:02

    Kampuni ya Apple ya Marekani imepata pigo kubwa baada ya mahakama moja ya China kupiga marufuku uuzaji wa simu za iPhone nchini Uchina.

  • Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia

    Rais wa Ukraine: Kuna uwezekano tukaingia vitani na Russia

    Nov 28, 2018 12:12

    Sambamba na Rais Petro Poroshenko wa Ukraine kusema kuwa, Russia imeimarisha zaidi kuwepo kwake kijeshi katika mpaka wa nchi hiyo, ameeleza kuwa, kuna uwezekano kukatokea vita kamili kati ya nchi yake na Russia.

  • Utafiti: Marekani imetumia dola trilioni 6 katika vita vilivyoua watu laki 5 tangu 9/11

    Utafiti: Marekani imetumia dola trilioni 6 katika vita vilivyoua watu laki 5 tangu 9/11

    Nov 16, 2018 21:42

    Utafiti mpya umeonesha kuwa, Marekani imetumia karibu dola trilioni 6 katika vita ambavyo vimepelekea kuuawa watu nusu milioni, tangu mashambulizi ya Septemba 11.

  • Rais Bashar al-Assad: Muda si mrefu vita vitamalizika nchini Syria

    Rais Bashar al-Assad: Muda si mrefu vita vitamalizika nchini Syria

    Oct 03, 2018 10:17

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, muda si mrefu vita ilivyotwishwa nchi hiyo vitamalizika na nchi hiyo kuwa na nafasi kama iliyokuwa nayo hapo awali katika ulimwengu wa Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS