Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wafungwa

  • Mabadilishano ya wafungwa na kuendelea misimamo ya Marekani dhidi ya Iran

    Mabadilishano ya wafungwa na kuendelea misimamo ya Marekani dhidi ya Iran

    Sep 20, 2023 02:37

    Kufuatia mafanikio ya kubadilishana wafungwa kati ya Iran na Marekani Jumatatu ya juzi, raia watano wa Iran ambao walifunguliwa mashtaka kinyume cha sheria na vyombo vya mahakama vya Marekani kutokana na shughuli za kawaida za kibiashara waliachiliwa huru.

  • Abbas ataka wafungwa wote wa Kipalestina waachiwe huru

    Abbas ataka wafungwa wote wa Kipalestina waachiwe huru

    Sep 17, 2023 04:37

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametaka kuachiwa huru wafungwa wote wa Kipalestina wanaoendelea kuteseka katika jela na magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mama wa wafungwa wa kisiasa Bahrain wajiunga na kampeni ya watoto wao ya kususia kula

    Mama wa wafungwa wa kisiasa Bahrain wajiunga na kampeni ya watoto wao ya kususia kula

    Aug 30, 2023 13:29

    Baadhi ya akina mama wa wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain wameanza mgomo wa kususia kula wakipinga hali mbaya ya magereza na kuwaunga mkono watoto wao.

  • Wabahrain waandamana kuwaunga mkono wafungwa waliogoma kula

    Wabahrain waandamana kuwaunga mkono wafungwa waliogoma kula

    Aug 19, 2023 10:20

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mji mjuu Manama, kwa shabaha ya kuwaunga mkono na kusimama pamoja na wafungwa waliogoma kula wakilalamikia hali mbaya ya jela.

  • Mapatano madhubuti ya Iran kuhusu kuachiliwa mali zake na kubadilishana wafungwa na Marekani

    Mapatano madhubuti ya Iran kuhusu kuachiliwa mali zake na kubadilishana wafungwa na Marekani

    Aug 12, 2023 08:16

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu kuachiwa mali za Iran na pia kufunguliwa wafungwa wake kadhaa waliokuwa wamezuiliwa na Marekani kinyume cha sheria.

  • Unyanyasaji wa kinyama wa wafungwa wa Iran katika magereza ya Ulaya; ishara ya undumakuwili katika haki za binadamu

    Unyanyasaji wa kinyama wa wafungwa wa Iran katika magereza ya Ulaya; ishara ya undumakuwili katika haki za binadamu

    May 30, 2023 01:36

    Hatimaye, baada ya takriban miaka 5, Asadollah Asadi, mwanadiplomasia wa Iran aliyekuwa amezuiliwa nchini Ubelgiji, aliwasili Tehran siku ya Ijumaa. Wizara ya Mambo ya Nje ya Oman ilitangaza Ijumaa kwamba Oman ilifanikiwa kupatanisha Ubelgiji na Iran ili kutatua suala la raia waliofungwa katika nchi hizi mbili na kwamba watu wawili waliachiliwa huru na Tehran na Brussels.

  • Wafungwa sita wa Zimbabwe watoroka kizuizini Afrika Kuisini, polisi inawasaka washukiwa

    Wafungwa sita wa Zimbabwe watoroka kizuizini Afrika Kuisini, polisi inawasaka washukiwa

    Mar 14, 2023 11:41

    Polisi ya Afrika Kusini imetangaza kuwa imeanzisha msako wa kuwasaka washukiwa "wenye silaha nzito" ambao wamewaachilia huru wafungwa sita katika mapigano makali ya risasi.

  • Kuendelea ukandamizaji wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa wa kisiasa katika kukaribia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi

    Kuendelea ukandamizaji wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa wa kisiasa katika kukaribia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi

    Jan 29, 2023 02:35

    Katika kukaribia maadhimisho ya kutimia mwaka wa 12 wa mapambano ya wananchi wa Bahrain, utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain unawazuia wafungwa wa kisiasa nchini humo kuwasiliana na kuoana na familia zao katika fremu ya sera zake za ukandamizaji na kuwawekea mbinyo na vizingiti mbalimbali wafungwa wa kisiasa na wapinzani nchini humo.

  • Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki

    Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki

    Oct 26, 2022 12:57

    Wanazuoni wa Bahrain wanaosota kwenye jela za utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa ukoo wa Aal Khhalifa wameeleza katika taarifa waliyotoa kumhutubu Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis kwamba, wanatumai kiongozi huyo wa kidini atasema ukweli na kuitikia wito wa imani katika ziara yake ijayo huko Bahrain.

  • Kiongozi Muadhamu atangaza msamaha kwa wafungwa kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume (SAW)

    Kiongozi Muadhamu atangaza msamaha kwa wafungwa kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume (SAW)

    Oct 13, 2022 11:46

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameidhinisha pendekezo la kuachiwa huru au kupunguziwa vifungo wafungwa karibu 2,000 wa Kiirani, kwa mnasaba wa maadhimisho ya Maulidi ya Mtume (SAW) na kumbukumu ya mazazi ya Imam wa Ja'afar Swadiq (AS).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS