-
India yazidisha mbinyo na hatua kali za usalama eneo la Kashmir kabla ya kumbukumbu ya Agosti 5
Aug 04, 2020 12:46Serikali ya India imepiga marufuku watu kutoka nje katika eneo la Kashmir na kuzidisha hatua kali za usalama kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu New Delhi ilipofuta mamlaka ya utawala wa ndani katika eneo hilo lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu.
-
Jeshi la Myanmar lajitayarisha kuwashambulia Waislamu katika jimbo la Rakhine
Jun 29, 2020 06:59Jeshi la Myanmar linajitayarisha kutekeleza oparesheni mpya dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya katika jimbo la Rakhine magharibi mwa nchi hiyo jambo ambalo limepelekea maelfu ya Waislamu kuanza kuhama eneo hilo.
-
Ansarullah: Saudia na Imarati zinashirikiana na Israel dhidi ya Waislamu
Jun 20, 2020 04:03Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amezionya vikali Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya kuendeleza njama za kutaka kuufanya wa kawaida uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kwamba, Riyadh na Abu Dhabi zinashirikiana na Tel Aviv ambayo inajulikana ni adui mkubwa wa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Waislamu wa Marekani wapaza sauti kulaani ubaguzi, ukatili wa polisi
Jun 16, 2020 08:09Mashirika ya Waislamu nchini Marekani yamejiunga na wimbi la malalamiko ya kuishinikiza serikali ya Washington ifanye mageuzi haraka iwezekanavyo kwa ajili ya kuondoa ubaguzi wa rangi wa kimfumo katika muundo wa polisi ya nchi hiyo.
-
Baadhi ya Waislamu katika nchi za Mashariki na Magharibi mwa Afrika wasali Iddi leo
May 23, 2020 10:42Baadhi ya Waislamu katika nchi kadhaa za mashariki na magharibi mwa Afrika wamesali na kusherehekea sikukuu ya Idul-Fitr, huku aghalabu ya Waislamu duniani wakitazamiwa kuadhimisha sala na sherehe hizo kesho Jumapili.
-
Tamko la Kamisheni ya Haki za Binadamu ya OIC la kulaani ukatili wanaozidi kufanyiwa Waislamu wa India
Apr 20, 2020 12:53Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.
-
OIC yalaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu nchini India
Apr 20, 2020 03:12Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.
-
Waislamu wawasaidia madaktari na wauguzi nchini Marekani
Apr 17, 2020 04:40Kufuatia uhaba wa vifaa vya wauhudumu wa afya katika hospitali za Marekani, Waislamu wa nchi hiyo wameunda kundi la kujitolea katika kupambana na virusi vya Corona.
-
Waislamu Uingereza wawasaidia wenye mahitaji wakati huu wa mripuko wa Corona
Mar 19, 2020 07:28Waislamu nchini Uingereza, mijini na vijijini wanafanya jitihada za kukusanya bidhaa muhimu za msingi kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye mahitaji na wasiojiweza nchini humo, katika kipindi hiki cha mripuko wa Corona.
-
Mwaka mmoja baada ya mauaji ya Waislamu New Zealand, usiri unatawala uchunguzi kuhusu mauaji hayo
Mar 15, 2020 02:28Ripoti iliyotayarishwa na gazeti la Washington Post inasema kuwa, uchunguzi wa serikali ya New Zealand wa kutaka kupata majibu yanayoweka wazi jinsi mhalifu aliyefanya mauaji ya kutisha ya Waislamu 51 waliokuwa wakitekeleza ibada misikitini, alivyoweza kufanya mauaji hayo, unaendelea kwa usiri mkubwa, jambo ambalo limezusha wasiwasi wa wachambuzi wa mambo ya jamii ya Waislamu wa New Zealand.