Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi wa Palestina

  • UNRWA: Hali mbaya ya kibinadamu ya Ghaza haiwezi kutatuka bila ya kusimamishwa vita

    UNRWA: Hali mbaya ya kibinadamu ya Ghaza haiwezi kutatuka bila ya kusimamishwa vita

    Aug 01, 2025 07:17

    Mshauri wa vyombo vya habari wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA amesisitiza kuwa, haiwezekani kutatua hali mbaya ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza bila ya kusitishwa mapigano.

  • Israel yashambulia kwa mabomu makazi ya wakimbizi wa Kipalestina Gaza

    Israel yashambulia kwa mabomu makazi ya wakimbizi wa Kipalestina Gaza

    Oct 01, 2024 06:24

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zimeshambulia kwa mabomu shule ya makazi ya Wapalestina katika mji wa Gaza.

  • Jeshi la Kizayuni lakiri kushambulia skuli ya UNRWA Ghaza na kuua Wapalestina 32 wakiwemo watoto

    Jeshi la Kizayuni lakiri kushambulia skuli ya UNRWA Ghaza na kuua Wapalestina 32 wakiwemo watoto

    Jun 06, 2024 06:51

    Jeshi la anga la utawala wa Kizayuni wa Israel alfajiri ya kuamkia leo limeshambulia kwa makombora skuli ya Umoja wa Mataifa katika kambi ya Nuseirat katikati mwa Ukanda wa Ghaza na kuwaua shahidi Wapalestina wasiopungua 32 wakiwemo watoto na wanawake na kujeruhi makumi ya wengine.

  • Indhari ya UNRWA kuhusu kuongezeka umaskini miongoni mwa wakimbizi wa Kipalestina

    Indhari ya UNRWA kuhusu kuongezeka umaskini miongoni mwa wakimbizi wa Kipalestina

    Nov 16, 2022 10:55

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) limetahadharisha kuhusu kuongezeka kwa kiasi kikubwa umaskini miongoni mwa wakimbizi wa Kipalestina huko Syria, Lebanon na Ukanda wa Ghaza.

  • UNRWA: Ufukara unazidi kuongezeka kwa wakimbizi Wapalestina walioko Syria, Lebanon na Gaza

    UNRWA: Ufukara unazidi kuongezeka kwa wakimbizi Wapalestina walioko Syria, Lebanon na Gaza

    Nov 16, 2022 01:04

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Kazi kwa ajili ya Wakimbizi Wapalestina UNRWA limetahadharisha juu ya kuzidi kuongezeka ufukara kwa wakimbizi Wapalestina walioko Syria, Lebanon na Ukanda wa Gaza.

  • Radiamali kwa njama za Marekani dhidi ya wakimbizi Wapalestina katika fremu ya 'Muamala wa Karne'

    Radiamali kwa njama za Marekani dhidi ya wakimbizi Wapalestina katika fremu ya 'Muamala wa Karne'

    Aug 01, 2018 16:53

    Saeb Erekat Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina, PLO, amelaani uamuzi wa bunge la Senate la Marekani wa kupitisha sheria mpya ambayo inawatambua wakimbizi 40 elfu tu wa Palestina.

  • Udharura wa dunia kuzingatia kadhia ya wakimbizi wa Palestina

    Udharura wa dunia kuzingatia kadhia ya wakimbizi wa Palestina

    Jun 20, 2018 13:36

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS, imesisitiza kuwa, jukumu la kutetea haki zote za kisiasa na kifedha za wakimbizi Wapalestina ni la jamii ya kimataifa na hasa Umoja wa Mataifa.

  • HAMAS yamuomba msaada Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu wakimbizi wa Palestina

    HAMAS yamuomba msaada Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu wakimbizi wa Palestina

    Jun 16, 2018 16:09

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS), Ismail Haniya amemtumia ujumbe Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, akimuomba msaada kwa ajili ya kutatuliwa matatizo ya wakimbizi wa Kipalestina hususan wale walioko katika kambi ya wakimbizi ya Ain al-Hilweh.

  • Udharura wa kutatuliwa haraka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina

    Udharura wa kutatuliwa haraka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina

    Apr 12, 2017 08:05

    Kamishna wa Wakala wa Umoja wa Mataifa wa Misaada na Kazi kwa Wakimbizi wa Palestina UNRWA umetaka mgogoro wa wakimbizi wa Palestina walioenea katika kona zote za dunia, utatuliwe haraka.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS