Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wakristo

  • Ukosoaji mkali wa Askofu Mkuu wa Baitul-Muqaddas dhidi ya siasa za utawala wa Kizayuni za kuiyahudisha Quds

    Ukosoaji mkali wa Askofu Mkuu wa Baitul-Muqaddas dhidi ya siasa za utawala wa Kizayuni za kuiyahudisha Quds

    Mar 12, 2019 02:46

    Atallah Hanna, Askafu Mkuu wa Kanisa la Orthodox katika mji wa Baitul-Muqaddas, amesisitiza kwamba mradi wa utawala haramu wa Israel wa kuuyahudisha mji wa Quds, ni jinai kubwa.

  • Viongozi wa Kikristo mjini Quds wakosoa ubaguzi wa Netanyahu

    Viongozi wa Kikristo mjini Quds wakosoa ubaguzi wa Netanyahu

    Nov 06, 2018 08:00

    Wakuu wa Kanisa Katoliki katika mji wa Quds tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel wamemuandikia barua Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakikosoa misimamo yake ya kibaguzi.

  • Waislamu Marekani waendesha mchango wa kuwasaidia Mayahudi waliouliwa kigaidi na Mkristo Robert Bowers

    Waislamu Marekani waendesha mchango wa kuwasaidia Mayahudi waliouliwa kigaidi na Mkristo Robert Bowers

    Oct 29, 2018 14:27

    Jumuiya ya Waislamu wa Marekani imefanikiwa kukusanya mchango wa makumi ya maelfu ya dola katika juhudi zao za kuwasaidia wahanga wa shambulizi la kigaidi lililotokea katika hekalu la Kiyahudi la mjini Pittsburgh na kuua watu 11 na kujeruhi wengine sita.

  • Njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuwatimua Wakristo kutoka Quds Tukufu

    Njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuwatimua Wakristo kutoka Quds Tukufu

    Feb 04, 2018 08:06

    Baraza la Kiislamu-Kikristo la Kuunga Mkono Quds Tukufu (Jerusalem) limetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unatekeleza njama za kuwatimua Wakristo kutoka Quds ili kubadilisha muundo wa kijamii wa mji huo uwe ni aghalabu wa Mayahudi.

  • Askofu wa Waarmenia Tehran: Wakristo hawaitambui Israel

    Askofu wa Waarmenia Tehran: Wakristo hawaitambui Israel

    Dec 26, 2017 04:28

    Askofu wa Kanisa la Armenia mjini Tehran amesisitiza kuwa, Wakristo hawatambui serikali inayojiita Israel.

  • Mchungaji Sizer: Wakristo wanafanya kosa kubwa kuiunga mkono Israel

    Mchungaji Sizer: Wakristo wanafanya kosa kubwa kuiunga mkono Israel

    Nov 18, 2017 15:20

    Mchungaji wa Kanisa la Anglikana la nchini Uingereza amesema kuwa, Wakristo wa nchi za Magharibi wanafanya kosa kubwa kuamini kuwa kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel ni jukumu lao la kidini.

  • Kiongozi wa Kikristo Palestina awataka Wakristo na dunia kuzuia uvamizi wa Wazayuni wa Israel

    Kiongozi wa Kikristo Palestina awataka Wakristo na dunia kuzuia uvamizi wa Wazayuni wa Israel

    Jul 19, 2017 14:03

    Kiongozi wa Kikristo wa kanisa la Orthodox huko Palestina Atallah Hanna, ameomba msaada wa haraka kutoka kwa Wakristo na taasisi za kutetea haki za binaadamu duniani, kuzuia uvamizi wa Wazayuni wa Israel huko Quds.

  • Wakristo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wana hamu na shauku ya kujifunza Qur'ani

    Wakristo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wana hamu na shauku ya kujifunza Qur'ani

    Apr 27, 2017 16:05

    Haafidh wa Qur'ani tukufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema Wakongomani wana hamu na shauku kubwa ya kujifunza Uislamu kiasi kwamba Wakristo wa nchi hiyo wanawapeleka watoto wao madrasa ili wakasomeshwe Qur'ani.

  • Mufti wa Misri: Fatwa 3000 zimetolewa kupinga kuishi pamoja Waislamu na Wakristo

    Mufti wa Misri: Fatwa 3000 zimetolewa kupinga kuishi pamoja Waislamu na Wakristo

    Apr 01, 2017 16:25

    Mufti wa Misri amesema kuwa asilimia 90 ya hukumu na fatwa za watu wanaofurutu ada zinawachochea watu kwenda kinyume na maamrisho ya Mwenyezi Mungu na kuzusha mifarakano baina ya Waislamu na Wakristo.

  • Hakuna anayesalimika na mashambulizi ya magaidi nchini Misri

    Hakuna anayesalimika na mashambulizi ya magaidi nchini Misri

    Mar 07, 2017 04:31

    Makumi ya familia za Wakristo zimelazimika kukimbia makazi yao katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri kutokana na mashambulizi ya watu wenye silaha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS