Dec 30, 2017 14:55
Brigedi ya Izz ad-Din al-Qassam, Tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa, ukiendeleza jinai zake dhidi ya Wapalestina, vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vitashambuliwa.