Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wanajeshi Wazayuni

  • Israel yatangaza hali ya hatari, nao muqawama wa Palestina wasema wataingia vitani kuisaidia Syria

    Israel yatangaza hali ya hatari, nao muqawama wa Palestina wasema wataingia vitani kuisaidia Syria

    May 10, 2018 07:07

    Jeshi la Israel limetangaza hali ya hatari katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu kufuatia jibu kali la mashambulizi ya jeshi la Syria lililoyalenga maeneo muhimu yakiwemo maeneo ya kijeshi ya utawala huo.

  • Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Apr 02, 2018 07:42

    Mamia ya walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanalindwa na askari wa utawala haramu wa Israel, wameuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa kwa kupitia lango la al-Maghareba.

  • Tawi la Kijeshi la Hamas lauonya utawala wa Israel kuhusu jinai dhidi ya Wapalestina

    Tawi la Kijeshi la Hamas lauonya utawala wa Israel kuhusu jinai dhidi ya Wapalestina

    Dec 30, 2017 14:55

    Brigedi ya Izz ad-Din al-Qassam, Tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa, ukiendeleza jinai zake dhidi ya Wapalestina, vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vitashambuliwa.

  • Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds

    Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds

    Sep 18, 2017 07:57

    Hatua ya mahkama kuu ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuta msamaha uliokuwa unawaruhusu Mayahudi wa Orthodox kutohudumu jeshini, imelifanya kundi moja la Mayahudi hao kufanya maandamano na kuanza kupambana vikali na askari wa Israel katika mji wa Quds unaokaliwa na utawala huo khabithi.

  • Ripoti: Wanajeshi wa Israel wameua watoto elfu 3 wa Kipalestina

    Ripoti: Wanajeshi wa Israel wameua watoto elfu 3 wa Kipalestina

    Jun 01, 2017 14:25

    Wizara ya Habari ya Palestina imesema, watoto zaidi ya elfu tatu wa Kipalestina wameuliwa shahidi na jeshi katili la Israel tangu ilipoanza Intifadha ya Pili mwezi Septemba 2000.

  • Wazayuni wawateka nyara Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Wazayuni wawateka nyara Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Apr 29, 2017 15:30

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wameyavamia maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwateka nyara Wapalestina kadhaa.

  • Askari watano wa Kizayuni watiwa mbaroni kwa kuiba silaha

    Askari watano wa Kizayuni watiwa mbaroni kwa kuiba silaha

    Aug 14, 2016 03:04

    Askari kadhaa wa utawala haramu wa Israel wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kuiba silaha huko katika ardhi hizo za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Wazayuni waendelea kuwatia mbaroni raia wa Palestina

    Wazayuni waendelea kuwatia mbaroni raia wa Palestina

    Jul 17, 2016 07:54

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameyashambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds inayokaliwa kwa mabavu na kisha kuwatia mbaroni raia kadhaa wa Kipalestina.

  • Wazayuni washambulia Wapalestina Ghaza, Ukingo wa Magharibi

    Wazayuni washambulia Wapalestina Ghaza, Ukingo wa Magharibi

    May 14, 2016 14:25

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni kwa kushirikiana walowezi wa Kizayuni wenye chuki za kidini na kitaifa, wamefanya mashambulizi katika maeneo tofauti ya Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan dhidi ya Wapalestina.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS