Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wananchi

  • Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas

    Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas

    Apr 24, 2025 03:31

    Wakati vita vya Ghaza vinaendelea na utawala wa Kizayuni umeshadidisha mauaji ya wanawake na watoto wa Palestina, mtazamo na mwelekeo wa wananchi wa Marekani kuhusuu Israel, Palestina na Hamas nao unaendelea kubadilika. Haya yamebainika katika chunguzi mpya za maoni zilizofanywa nchini Marekani.

  • Macron akiri ilichofanya Ufaransa 1944 kwa askari wa Afrika Magharibi ni

    Macron akiri ilichofanya Ufaransa 1944 kwa askari wa Afrika Magharibi ni "mauaji ya halaiki"

    Nov 29, 2024 11:41

    Kwa mara ya kwanza, Rais wa Ufaransa ameyatambua mauaji ya wanajeshi wa Afrika Magharibi yaliyofanywa na Jeshi la Ufaransa mwaka 1944 kuwa ni "mauaji ya halaiki. Macron amechukua hatua hiyo kupitia barua aliyoziandikia Mamlaka za Senegal.

  • Ukosoaji wa UN wa mashambulizi ya makusudi ya Israel dhidi ya misafara ya misaada huko Gaza

    Ukosoaji wa UN wa mashambulizi ya makusudi ya Israel dhidi ya misafara ya misaada huko Gaza

    Mar 06, 2024 11:31

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki ya Chakula ametangaza kwamba, jeshi la Israel linashambulia kwa makusudi misafara ya misaada ya kibinadamu huko Gaza licha ya kujua njia za misafara hiyo.

  • Kuongezeka uungaji mkono wa wananchi wa Marekani kwa Wapalestina

    Kuongezeka uungaji mkono wa wananchi wa Marekani kwa Wapalestina

    Mar 05, 2024 07:42

    Matokeo ya uchunguzi wa maaoni uliofanywa na jarida la Wall Street Journal yanaonyesha kuwa, wananchi wengi wa Marekani hawaridhishwi na utendaji kazi wa Rais Joe Biden katika vita vya Gaza.

  • Ombi la watu wa Morocco la kufutwa uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Ombi la watu wa Morocco la kufutwa uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Apr 03, 2023 03:23

    Kwa mnasaba wa Machi 30, Siku ya Ardhi ya Palestina, idadi kubwa ya raia wa Morocco walijumuika katika mji mkuu, Rabat na kushiriki katika maandamano ya kupinga utawala wa Kizayuni wa Israel, ambapo kwa mara nyingine wametaka kufutwa kwa mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya serikali yao na utawala huo dhalimu.

  • Ombi la rais wa Ukraine la kuadhibiwa kwa umati wananchi wa Russia; muendelezo wa siasa za Kizayuni

    Ombi la rais wa Ukraine la kuadhibiwa kwa umati wananchi wa Russia; muendelezo wa siasa za Kizayuni

    Aug 11, 2022 02:25

    Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine ambaye hadi hivi karibuni alikuwa anadai kuwa Rais Vladimir Putin wa Russia ndiye aliyesababisha vita vya Ukraine, hivi sasa ameelekeza mashambulizi yake kwa wananchi wote wa Russia na ametaka adhabu ya umati itolewe dhidi yao.

  • Kiongozi Muadhamu awashukuru wananchi na kusisitizia udharura wa kukabiliana na njama za maadui

    Kiongozi Muadhamu awashukuru wananchi na kusisitizia udharura wa kukabiliana na njama za maadui

    Feb 23, 2020 07:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amewashukuru wananchi kwa kuufuzu kwa kiwango cha kuridhisha mtihani mkubwa wa uchaguzi na kuweza kuzima propaganda za kila upande za maadui na kutumia kwao vibaya suala hilo na akasisitiza kwamba: Taifa zima linapaswa kuwa macho na kujiweka tayari kukabiliana na njama za adui zinazolenga kutoa pigo kwa mihimili tofauti ya nchi.

  • Uchunguzi wa maoni wa CNN: Wamarekani wengi wanataka Trump atimuliwe

    Uchunguzi wa maoni wa CNN: Wamarekani wengi wanataka Trump atimuliwe

    Jan 21, 2020 10:30

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa, Wamarekani wengi wanataka Rais Donald Trump wa nchi hiyo ahukumiwe na kuondolewa madarakani.

  • Akthari ya watu wa Ulaya wanaunga mkono jitihada za kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Akthari ya watu wa Ulaya wanaunga mkono jitihada za kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Sep 16, 2019 04:36

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliowajumuisha raia wa nchi 14 wanachama wa Umoja wa Ulaya yanaonyesha kuwa akthari ya wananchi hao wanaunga mkono juhudi za kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Salami: Usalama Ghuba ya Uajemi utapatikana kwa ushiriki wa Iran

    Salami: Usalama Ghuba ya Uajemi utapatikana kwa ushiriki wa Iran

    Aug 24, 2019 07:32

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: "Usalama katika Ghuba ya Uajemi utapatikana kwa uwepo wa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS