• Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia

    Kuongezeka upinzani barani Ulaya dhidi ya kuwekewa vikwazo vya mafuta Russia

    May 06, 2022 02:37

    Licha ya vitisho vya Umoja wa Ulaya kuhusiana na kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia katika fremu ya kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya nchi hiyo, lakini jambo hilo linaonekana kukabiliwa na upinzani mkali barani humo na hata baadhi ya viongozi wa Marekani kutoa onyo dhidi ya hatua hiyo.

  • Mivutano inayoongezeka katika uhusiano kati ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mivutano inayoongezeka katika uhusiano kati ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 04, 2022 02:33

    Uhusiano kati ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel umeingia katika kipindi kipya na cha wasiwasi na mivutano baada ya kuanza mashambulizi ya Russia dhidi ya Ukraine kutokana na misimamo ya Tel Aviv ya kuwa pamoja na nchi za Magharibi na kuchukua misimamo dhidi ya Russia.

  • Sisitizo la Iran la kurudishwa amani ya kudumu katika eneo kwa kuondolewa ukaliwaji mabavu wa ardhi za Palestina

    Sisitizo la Iran la kurudishwa amani ya kudumu katika eneo kwa kuondolewa ukaliwaji mabavu wa ardhi za Palestina

    Apr 22, 2022 08:16

    Hussein Amir Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa amani ya kudumu katika eneo la Asia Magharibi itapatikana tu kwa kuondolewa kikamilifu ukaliwaji mabavu wa ardhi za Palestina, kurejea wakimbizi wote katika ardhi zao za jadi na kuainishwa mfumo wa utawala wa baadaye wa Palestina kwa msingi wa kura ya maoni pamoja na kuundwa serikali huru katika ardhi hizo.

  • Safari ya Lavrov nchini India na sisitizo la kutumiwa sarafu ya Ruble katika biashara

    Safari ya Lavrov nchini India na sisitizo la kutumiwa sarafu ya Ruble katika biashara

    Apr 03, 2022 07:03

    Sergey Viktorovich Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amefanya ziara ya siku mbili ya kuitembelea kikazi India na kuonana na waziri mwenzake wa nchi hiyo Subrah Jaishankar na waziri mkuu wa India Narendra Modi.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China Wasisitiza Udharura wa Kukabiliana na Vikwazo Haramu

    Apr 02, 2022 08:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa China, Wang Yi wamejadili masuala ya pande mbili, kieneo na kimataifa pembezoni mwa mkutano wa tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi jirani na Afghanistan.

  • Shutuma za Russia kwa Marekani inayokwamisha mazungumzo ya Ukraine

    Shutuma za Russia kwa Marekani inayokwamisha mazungumzo ya Ukraine

    Mar 22, 2022 02:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergeĭ Viktorovich Lavrov ameishutumu vikali Marekani kwa siasa zake kuhusu vita vya Ukraine na kusema kuwa, Washington ndiyo inayokwamisha kufikiwa makubaliano baina ya Moscow na Kyiv hata katika masuala madogo kabisa. Amesema, hivi sasa Marekani inawatwisha viongozi wa Ukraine misimamo yake na ndio maana Kyiv inakwamisha kila kitu katika mazungumzo yake na Russia. 

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake

    Mar 17, 2022 06:38

    Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aliwasili mjini Moscow siku ya Jumanne akiongoza ujumbe wa ngazi za juu kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na Sergey Lavrov, Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Russia kuhusu masuala ya pande mbili, mazungumzo ya Vienna, Ukraine, Syria, Yemen na Afghanistan.

  • Feisal Miqdad: NATO imevuruga uthabiti wa dunia

    Feisal Miqdad: NATO imevuruga uthabiti wa dunia

    Mar 03, 2022 00:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema Russia ina haki ya kuchukua hatua za kukabiliana na sera za NATO kujipenyeza ukanda wa mashariki na kuongeza kuwa, NATO sasa imegeuka kuwa hatari kwa dunia. Amesema majeshi ya Russia na Syria yanakabiliwa na tishio la NATO.

  • Kufutiwa utawala ghasibu wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika

    Kufutiwa utawala ghasibu wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika

    Feb 08, 2022 08:58

    Mkutano wa 35 wa wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika tarehe 5 na 6 za mwezi huu wa Februari huko Addis Ababa Ethiopia umesitisha hadhi ya utawala ghasibu wa Israel ya kuwa mwanachama mtazamaji katika umoja huo.

  • Russia yakosoa mwenendo wa kinafiki wa Marekani kuhusu masuala ya anga

    Russia yakosoa mwenendo wa kinafiki wa Marekani kuhusu masuala ya anga

    Nov 19, 2021 02:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezitaja tuhuma za Marekani dhidi ya Moscow kwamba inatumia silaha dhidi ya satalaiti na kusababisha vitisho angani kuwa ni za kinafiki na zisizo na ukweli wowote. Sergey Lavrov amesema kuwa: "Tunaona kwkamba, badala ya kutoa madai yasiyo na msingi wowote, ni vyema Marekani iketi kwenye meza ya mazungumzo na ieleze mitazamo yake kuhusu makubaliano yaliyopendekezwa na Russia na China kwa ajili ya kuzuia mashindano ya silaha angani