Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Habari
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Portuguese Português
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Iran
  • Mashariki ya Kati
  • Afrika
  • Picha
  • Iran na Afrika

Iran na Afrika

  • Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania

    Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania

    Sep 30, 2023 07:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuimarisha uhusiano na maelewano ya pande mbili kati yake na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • Ghalibaf: Nchi za Afrika kwa Iran ni muhimu sana kama ilivyo kundi la BRICS

    Ghalibaf: Nchi za Afrika kwa Iran ni muhimu sana kama ilivyo kundi la BRICS

    Sep 28, 2023 15:24

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema katika mazungumzo na wanaharakati na wabunge wa Afrika Kusini kwamba, Tehran inaamini kuwa, umuhimu wa nchi za Afrika hususan Afrika Kusini ni mkuubwa na ni sawa na umuhimu wa kundi la BRICS, kwa Iran. 

  • Iran na Djibouti zakubaliana kufufua uhusiano wa kidiplomasia

    Iran na Djibouti zakubaliana kufufua uhusiano wa kidiplomasia

    Sep 23, 2023 04:08

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Djibouti wameafikiana juu ya kuhuisha uhusiano wa kidiplomasia wa Tehran na Asmara, kwa maslahi ya mataifa haya mawili.

  • Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya

    Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya

    Sep 17, 2023 04:39

    Mkuu wa Shirika la Hlilali Nyekundu la Iran (IRCS) amesema jumuiya hiyo imetuma tani 40 za misaada ya dharura nchini Libya, kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Sep 14, 2023 02:55

    Katika ujumbe wake kwa Spika mwezake wa Bunge la Libya, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameelezea masikitiko yake kwa serikali na wananchi wa Libya kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika

  • Iran yasikitishwa na zilzala iliyoua maelfu Morocco; kutuma nchini humo misaada ya kibinadamu

    Iran yasikitishwa na zilzala iliyoua maelfu Morocco; kutuma nchini humo misaada ya kibinadamu

    Sep 10, 2023 10:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kutuma misaada ya kibinadamu nchini Morocco, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililoua maelfu ya watu.

  • Raisi: Mapambano ya nchi za Kiafrika dhidi ya ukoloni ni ishara ya mwamko na kuwa macho

    Raisi: Mapambano ya nchi za Kiafrika dhidi ya ukoloni ni ishara ya mwamko na kuwa macho

    Sep 04, 2023 14:06

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza kusimama kidete na mapambano ya nchi za Kiafrika dhidi ya ukoloni na ugaidi, na kuyataja kuwa ni ishara ya mwamko, kuwa macho na utambuzi sahihi wa mahitaji ya zama ya nchi hizo.

  • Raisi: Iran inajitahidi kuwa na uhusiano wa pande mbili uliokita mizizi katika kuheshimiana na mataifa ya Afrika

    Raisi: Iran inajitahidi kuwa na uhusiano wa pande mbili uliokita mizizi katika kuheshimiana na mataifa ya Afrika

    Aug 25, 2023 12:38

    Rais wa Iran Ebrahim Raisi anasema Tehran inataka kuwa na uhusiano na nchi za Kiafrika kwa kuzingatia msingi wa kuheshimiana na kufaidika, kinyume cha mataifa ya Magharibi ambayo yanataka tu kupora maliasili na utajiri wa Afrika.

  • Rais Ibrahim Raisi: Iran iko tayari kushirikiana na Tanzania katika nyuga mbalimbali

    Rais Ibrahim Raisi: Iran iko tayari kushirikiana na Tanzania katika nyuga mbalimbali

    Aug 25, 2023 03:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wa Iran wa kushirikiana na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika nyanja mbalimbali kama za kutoa huduma za uhandisi wa kiufundi, ujenzi wa mabwawa, mitambo ya kuzalisha umeme, kilimo na viwanda.

  • Rais wa Iran awasili Afrika Kusini kushiriki mkutano wa kilele wa BRICS

    Rais wa Iran awasili Afrika Kusini kushiriki mkutano wa kilele wa BRICS

    Aug 24, 2023 07:53

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amewasili Pretoria, mji mkuu wa kiutawala wa Afrika Kusini, alikoenda kushiriki mkutano wa kilele wa Jumuiya ya BRICS.

Onesha Zaidi

Habari Kuu

  • Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania
    Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania
    5 hours ago
  • Polisi ya Sweden yampatia kibali tena Momika cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu
  • Bashar Assad: Marekani inashirikiana na magaidi
  • Gurunedi aina ya RPG ladondokea kimakosa kwenye uwanja wa michezo Kongo DR
  • UN yatuma ujumbe wake Nagorno-Karabagh kwa mara ya kwanza baada ya takribani miaka 30

Chaguo La Mhariri

  • Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli
    Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli
    2 hours ago
  • Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya  irada ya wanasayansi wa Iran
    Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi wa Iran
    6 hours ago
  • Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
    Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
    1 day ago

Zilizotembelewa Zaidi

  • Vladimir Putin: Hivi sasa tumo katika kuunda silaha za hali ya juu zaidi za nyuklia
  • Politico: Pentagon yaipinga Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kuhusu kuipatia silaha Ukraine
  • Serikali ya Tanzania yalalamikiwa kwa kuvunja ahadi iliyotoa kwa Waislamu
  • Jeshi la Wanamaji la Iran kujenga kambi ya kudumu barani Antaktika
  • Uchunguzi wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso unafanyika baada ya kutiwa mbaroni maafisa wanne
  • Wanajeshi 12 wa Niger wauawa katika shambulizi la wanamgambo
  • Waziri wa Russia: BRICS itaanzisha mfumo mbadala wa SWIFT
  • Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
  • Maelfu ya wananchi wa Niger wajitokeza kusherehekea kutimuliwa balozi wa Ufaransa
  • Ukumbusho na indhari ya Iran kwa UN kuhusu utambulisho na matokeo ya vitisho vya utawala wa Kizayuni
  • TANESCO: Mgawo wa umeme Tanzania kuendelea kwa miezi sita
Pars Today

© 2022 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Iran
    Mashariki ya Kati
    Afrika
    Picha
    Iran na Afrika
Radio
    Vipindi
    Hifadhi
    Darsa ya Qur'ani
    Frikwensi
    Tovuti Kongwe
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS