Mar 18, 2024 05:11
Waziri wa Masuala ya Wanawake, Maendeleo ya Jamii, Biashara Ndogo na za Kati wa Zimbabwe Monica Mutsvangwa amesifu maendeleo yaliyofikiwa na wanawake wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na hatua zinazochukuliwa na serikali ya Iran kuwawezesha wanawake nchini.