Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Dec 28, 2025 03:35

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukiukaji wazi mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Somalia.

  • Araqchi aitaka NAM kukabiliana na maamuzi ya upande mmoja na ukiukaji sheria wa Marekani

    Araqchi aitaka NAM kukabiliana na maamuzi ya upande mmoja na ukiukaji sheria wa Marekani

    Oct 15, 2025 13:25

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametoa wito wa kuwepo umoja na mshikamano zaidi kati ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) ili kukabiliana na kuongezeka kwa misimamo ya upande mmoja na uvunjaji sheria unaofanywa na baadhi ya madola.

  • Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika

    Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika

    Sep 20, 2025 02:33

    Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.

  • Ghana kufungua tena Ubalozi wake Tehran mwezi huu wa Septemba

    Ghana kufungua tena Ubalozi wake Tehran mwezi huu wa Septemba

    Sep 04, 2025 07:40

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ghana imesema kuwa Ubalozi wake hapa mjini Tehran, Iran, utaanza tena kazi zake Jumanne ya Septemba 16, baada ya kufungwa kwa muda.

  • Kwa nini uwezo tofauti wa Iran unatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo ya nchi za Kiafrika?

    Kwa nini uwezo tofauti wa Iran unatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo ya nchi za Kiafrika?

    Aug 13, 2025 11:49

    Katika hali ambayo nchi nyingi za Kiafrika zinakabiliwa na changamoto za miundombinu na ukosefu wa teknolojia mpya, Iran imetoa fursa mpya za ushirikiano na ubadilishanaji wa teknolojia kwa kutegemea uwezo wake wa kiufundi, kiuhandisi na kitaalamu.

  • Maspika wa Mabunge ya Iran na Tanzania wataka kuimarisha ushirikiano wa Kibunge

    Maspika wa Mabunge ya Iran na Tanzania wataka kuimarisha ushirikiano wa Kibunge

    Jul 31, 2025 13:13

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge ya Dunia (IPU).

  • Iran iko tayari kusaidia Kenya kujenga nyumba milioni moja

    Iran iko tayari kusaidia Kenya kujenga nyumba milioni moja

    Jun 08, 2025 05:26

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa tayari kuisaidia Kenya kujenga nyumba milioni moja za bei nafuu nchini humo.

  • Waziri Araghchi yupo Misri kujadili Gaza, uhusiano wa Tehran-Cairo

    Waziri Araghchi yupo Misri kujadili Gaza, uhusiano wa Tehran-Cairo

    Jun 02, 2025 06:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi yuko katika mji mkuu wa Misri, Cairo, kwa ajili ya kufanya mazungumzo na maafisa wakuu wa nchi hiyo, juu ya uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Misri pamoja na maendeleo katika eneo la Asia Magharibi, yakiwemo mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.

  • Je, Iran na nchi za Afrika zinawezaje kukamilishana kiuchumi?

    Je, Iran na nchi za Afrika zinawezaje kukamilishana kiuchumi?

    May 27, 2025 11:01

    Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa serikali ya Iran inalipa kipaumbele maalumu suala la mahusiano na bara la Afrika, na ameonesha matumaini ya mustakabali mwema katika ushirikiano wa pande mbili.

  • Spika Qalibaf: Iran, Algeria zinahitaji kufanya kazi kusaidia usambazaji wa misaada Gaza

    Spika Qalibaf: Iran, Algeria zinahitaji kufanya kazi kusaidia usambazaji wa misaada Gaza

    May 15, 2025 12:01

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Iran na Algeria zinahitaji kufanya kazi ili kusaidia juhudi za kufikisha misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza uliokumbwa na vita.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Baraza la Usalama na Arab League kukutana kujadili hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland

    Baraza la Usalama na Arab League kukutana kujadili hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland

    10 hours ago
  • Wanawake na watoto ni kati watu zaidi ya 200 waliouawa katika mauaji mapya ya kikabila huko Darfur

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Qatar wajadili matukio ya kikanda hasa hali ya Yemen

  • Putin: Russia itatumia nguvu za jeshi iwapo Ukraine itakwamisha mazungumzo ya amani

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yaendesha uchaguzi mkuu,Touadéra anawania muhula wa tatu wa urais

Chaguo La Mhariri
  • Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua  madhubuti ya kiteknolojia

    Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua madhubuti ya kiteknolojia

    9 hours ago
  • Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria

    Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria

    18 hours ago
  • Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    18 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yalaani vikali shambulio baya la kigaidi nchini Syria

  • Putin: Russia itatumia nguvu za jeshi iwapo Ukraine itakwamisha mazungumzo ya amani

  • Ayatullah Khamenei: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalishindwa kwa hima na ushujaa wa vijana wa Iran

  • Iran: Tumejiandaa kutoa jibu chungu zaidi kwa wavamizi

  • Trump adai: Zelensky hana mpango wowote kwa ajili ya amani ya Ukraine

  • Hamas: Kutambuana kati ya "Israel" na "Somaliland" ni mfano hatari

  • China yaweka vikwazo kwa makampuni ya Marekani kwa sababu ya mauzo ya silaha kwa Taiwan

  • Yemen yasema iko tayari kwa vita, yawataka Waislamu wawe macho

  • Israel yalaaniwa vikali kwa kutambua Somaliland kama nchi huru

  • Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua madhubuti ya kiteknolojia

  • Somalia yaitaka Israel ifute uamuzi wake wa kuitambua Somaliland

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS