Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

    Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

    May 14, 2025 02:46

    Wanadiplomasia wakuu wa Iran na Misri wamesisitiza kuwa kuna haja ya kukomeshwa mashambulizi ya utawla wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Tanzania kunufaika na uwezo wa kiteknolojia wa Iran + Video

    Tanzania kunufaika na uwezo wa kiteknolojia wa Iran + Video

    May 06, 2025 07:15

    Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika, ulifanyika kuanzia Aprili 27 hadi Mei 1, 2025 jijini Tehran kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 38 na wajumbe 51 rasmi. Mkutano huo pia ulifanyika sambamba na maonyesho ya uwezo wa kiuchumi wa Iran yajulikanayo kama IRAN EXPO 2025.

  • Aref: Msingi wa kuimarika uhusiano wa Iran, Niger ni Mapinduzi ya Kiislamu

    Aref: Msingi wa kuimarika uhusiano wa Iran, Niger ni Mapinduzi ya Kiislamu

    Apr 30, 2025 02:33

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad-Reza Aref amesema Jamhuri ya Kiislamu imekuwa ikitekeleza sera yake ya kukuza uhusiano na Niger na mataifa mengine ya bara la Afrika kwa kuzingatia thamani na maadili ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

    Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

    Apr 27, 2025 13:17

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amezungumzia uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, Iran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.

  • Mipango na malengo makubwa ya Iran kwa ajili ya kushirikiana na nchi za Kiafrika

    Mipango na malengo makubwa ya Iran kwa ajili ya kushirikiana na nchi za Kiafrika

    Apr 21, 2025 09:11

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeratibu mipango na kuainisha malengo yake kwa ajili ya ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi na bara la Afrika.

  • Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds

    Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds

    Mar 30, 2025 11:12

    Baraza la Uratibu wa Tablighi ya Kiislamu la Iran limetoa taarifa ya kulaani ukandamizaji waliofanyiwa Waislamu wa Nigeria wakati wa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds na kuandika: "Ukandamizaji na kumwagwa damu za waandamanaji wa Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Nigeria na kuuawa shahidi kidhulma Waislamu 18 waliokuwa kwenye saumu ya Ramadhani kunaonesha hofu ya watawala wa Nigeria kuhusu mwamko wa Waislamuj na nafasi ya kiistratijia ya Siku ya Kimataifa ya Quds duniani."

  • Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

    Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

    Mar 23, 2025 10:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amelaani vikali shambulio la kigaidi la karibuni dhidi ya msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.

  • Iran inafuatilia malengo gani katika kupanua uhusiano na nchi za Afrika?

    Iran inafuatilia malengo gani katika kupanua uhusiano na nchi za Afrika?

    Mar 14, 2025 02:28

    Kikao cha kubadilishana mawazo cha Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika kimefanyika mjini Tehran, kwa uratibu wa Shirika la Maendeleo ya Biashara, kikihudhuriwa na mabalozi na wawakilishi wa nchi za Afrika.

  • Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Mar 02, 2025 02:33

    Mshauri na Mjumbe Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na Ethiopia na nchi za Kiafrika kwa ujumla.

  • Pezeshkian: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Sudan

    Pezeshkian: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Sudan

    Feb 19, 2025 12:11

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha kwa mikono miwili kurejeshwa kwa uhusiano wa nchi hii na Sudan, akisisitiza kuwa nchi za Kiislamu zinapaswa kuepuka mivutano na kukata uhusiano baina yao.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Wanamgambo wa RSF waafiki pendekezo la kusitisha vita Sudan

    Wanamgambo wa RSF waafiki pendekezo la kusitisha vita Sudan

    11 minutes ago
  • Baghaei: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Wairani ni jinai dhidi ya ubinadamu

  • Araghchi: Tunaendelea kufungua milango ya masoko ya kimataifa kwa Iran

  • Rwanda yashutumu ujumbe wa Umoja wa Mataifa kwa mafunzo ya jeshi la DRC

  • Hizbullah: Hatutaki mazungumzo na Israel, hatutaki makubaliano nao

Chaguo La Mhariri
  • Ripoti ya kushtusha ya Umoja wa Mataifa; mauaji ya kimbari ya Wapalestina Ghaza yangali yanaendelea

    Ripoti ya kushtusha ya Umoja wa Mataifa; mauaji ya kimbari ya Wapalestina Ghaza yangali yanaendelea

    5 hours ago
  • Hizbullah: Mazungumzo na adui hayana maslahi na taifa

    Hizbullah: Mazungumzo na adui hayana maslahi na taifa

    21 hours ago
  • Ziara ya Gharibabadi nchini Saudi Arabia inalenga kuimarisha ushirikiano

    Ziara ya Gharibabadi nchini Saudi Arabia inalenga kuimarisha ushirikiano

    21 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Tuzo ya Nobel imepoteza itibari kwa mpokeaji kumsifu Netanyahu

  • Je, dunia inapaswa kuwa na wasiwasi juu ya uamuzi wa nyuklia aliotangaza Trump? Nini mtazamo wa Iran?

  • Reuters: Serikali ya Trump inafikiria kuizuia Saudia ndege za kisasa za kivita za F-35

  • Waangalizi wa AU: Uchaguzi wa Tanzania haukukidhi viwango vya kimataifa

  • Iran yataka UN ichukue hatua kufuatia kauli ya Trump kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia

  • Araqchi: Iran iliilazimisha Marekani na Israel 'kusitisha mapigano bila masharti' badala ya 'kusalimu amri bila masharti'

  • Hizbullah: Hatutaki mazungumzo na Israel, hatutaki makubaliano nao

  • Hasira ya Israel Kufuatia Ushindi wa Mamdani kama Meya wa New York

  • Trump Asema Afrika Kusini Haipaswi Kuwa Katika G20, Akataa Kuhudhuria Kikao cha Johannesburg

  • Google yafuta ushahidi wa video za uhalifu wa Israel huko Palestina

  • Nigeria yapinga madai ya Trump kuhusu mauaji ya Wakristo

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS