Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Iran yahimiza kukomeshwa ghasia katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Iran yahimiza kukomeshwa ghasia katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    May 15, 2025 11:44

    Iran imeelezea wasiwasi wake kuhusu mapigano makali yanayoendelea kati ya makundi yenye silaha katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ikitaka kusitishwa mara moja ghasia na umwagaji damu.

  • Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

    Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

    May 14, 2025 02:46

    Wanadiplomasia wakuu wa Iran na Misri wamesisitiza kuwa kuna haja ya kukomeshwa mashambulizi ya utawla wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Tanzania kunufaika na uwezo wa kiteknolojia wa Iran + Video

    Tanzania kunufaika na uwezo wa kiteknolojia wa Iran + Video

    May 06, 2025 07:15

    Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika, ulifanyika kuanzia Aprili 27 hadi Mei 1, 2025 jijini Tehran kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 38 na wajumbe 51 rasmi. Mkutano huo pia ulifanyika sambamba na maonyesho ya uwezo wa kiuchumi wa Iran yajulikanayo kama IRAN EXPO 2025.

  • Aref: Msingi wa kuimarika uhusiano wa Iran, Niger ni Mapinduzi ya Kiislamu

    Aref: Msingi wa kuimarika uhusiano wa Iran, Niger ni Mapinduzi ya Kiislamu

    Apr 30, 2025 02:33

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad-Reza Aref amesema Jamhuri ya Kiislamu imekuwa ikitekeleza sera yake ya kukuza uhusiano na Niger na mataifa mengine ya bara la Afrika kwa kuzingatia thamani na maadili ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

    Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

    Apr 27, 2025 13:17

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amezungumzia uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, Iran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.

  • Mipango na malengo makubwa ya Iran kwa ajili ya kushirikiana na nchi za Kiafrika

    Mipango na malengo makubwa ya Iran kwa ajili ya kushirikiana na nchi za Kiafrika

    Apr 21, 2025 09:11

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeratibu mipango na kuainisha malengo yake kwa ajili ya ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi na bara la Afrika.

  • Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds

    Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds

    Mar 30, 2025 11:12

    Baraza la Uratibu wa Tablighi ya Kiislamu la Iran limetoa taarifa ya kulaani ukandamizaji waliofanyiwa Waislamu wa Nigeria wakati wa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds na kuandika: "Ukandamizaji na kumwagwa damu za waandamanaji wa Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Nigeria na kuuawa shahidi kidhulma Waislamu 18 waliokuwa kwenye saumu ya Ramadhani kunaonesha hofu ya watawala wa Nigeria kuhusu mwamko wa Waislamuj na nafasi ya kiistratijia ya Siku ya Kimataifa ya Quds duniani."

  • Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

    Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

    Mar 23, 2025 10:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amelaani vikali shambulio la kigaidi la karibuni dhidi ya msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.

  • Iran inafuatilia malengo gani katika kupanua uhusiano na nchi za Afrika?

    Iran inafuatilia malengo gani katika kupanua uhusiano na nchi za Afrika?

    Mar 14, 2025 02:28

    Kikao cha kubadilishana mawazo cha Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika kimefanyika mjini Tehran, kwa uratibu wa Shirika la Maendeleo ya Biashara, kikihudhuriwa na mabalozi na wawakilishi wa nchi za Afrika.

  • Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Kuwa tayari Iran kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika

    Mar 02, 2025 02:33

    Mshauri na Mjumbe Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuimarisha uhusiano na Ethiopia na nchi za Kiafrika kwa ujumla.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Kaimu Rais wa Venezuela: Kuna mkono wa Israel katika utekaji wa Maduro

    Kaimu Rais wa Venezuela: Kuna mkono wa Israel katika utekaji wa Maduro

    4 hours ago
  • Muqawama: Mashambulizi ya Venezuela yameanika dhati ya Marekani

  • Hizbullah: Iran haijataka chochote kwetu mkabala wa kutusaidia, kutuunga mkono

  • Mashambulizi ya US yaliua makumi ya watu Venezuela; Afrika Kusini yalaani

  • Marekani yaripuka kwa maandamano ya kulaani uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela

Chaguo La Mhariri
  • Umoja wa wananchi na uongozi wenye busara: Siri ya kumshinda adui katika vita laini

    Umoja wa wananchi na uongozi wenye busara: Siri ya kumshinda adui katika vita laini

    4 hours ago
  • 2025, mwaka wa kushindwa uchumi wa Marekani

    2025, mwaka wa kushindwa uchumi wa Marekani

    10 hours ago
  • Venezuela, mwathirika mpya wa sera inayojikariri ya Marekani

    Venezuela, mwathirika mpya wa sera inayojikariri ya Marekani

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Marekani yathibitisha kumkamata Rais Maduro wa Venezuela

  • Kiongozi Muadhamu: Kwa tawfiq ya Mwenyezi Mungu, tutampigisha magoti adui

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani vikali mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela

  • Araghchi amjibu Trump: Vikosi vya Iran viko tayari kujibu mapigo

  • Makamu wa Rais Rodriguez: Maduro ndiye rais pekee wa Venezuela; hatukubali kukoloniwa

  • Venezuela, mwathirika mpya wa sera inayojikariri ya Marekani

  • Trump: Marekani ‘itajihusisha kwa nguvu’ katika sekta ya mafuta ya Venezuela

  • Marekani yaripuka kwa maandamano ya kulaani uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela

  • Kwa nini Marekani imepoteza nafasi yake ya kimataifa?

  • Mashambulizi ya US yaliua makumi ya watu Venezuela; Afrika Kusini yalaani

  • Iran yaihutubu UN kuhusu 'mwenendo haramu endelevu' wa Trump

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS