Apr 25, 2024 12:16
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema imeua na kujeruhi zaidi ya wanajeshi 2,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika operesheni zake 1,650 ilizotekeleza katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu tangu kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala huo katika Ukanda wa Ghaza.