-
Mgombea urais Uganda: Nilipigwa na askari usalama
Dec 07, 2025 12:19Bob Wine au Robert Kyagulanya mgombea kiti cha urais nchini Uganda kwa tiketi ya chama cha upinzani cha NUP amesema kuwa askari usalama wa nchi hiyo wampiga yeye na wafuasi wake wakati walipokuwa katika kampeni za uchaguzi kaskazini mwa nchi hiyo katika kile kinachotajwa kuwa muendelezo wa ghasia na utumiaji mabavu unaoshuhudiwa Uganda kabla ya uchaguzi wa Rais Januari 15 mwakani.
-
Vikosi vya serikali ya Benin vyazima jaribio la mapinduzi, waziri asema hali 'imedhibitiwa'
Dec 07, 2025 11:46Vikosi vya usalama vya Benin vimezima jaribio la mapinduzi, huku hali ya mambo ikidhibitiwa. Haya yamebainishwa na Waziri wa Fedha Romuald Wadagni alipohojiwa na jarida la Jeune Afrique hii leo.
-
Madaktari wa Sudan: Tumesajili kubakwa wanawake 19 na RSF huko El Fasher
Dec 07, 2025 11:21Mtandao wa Madaktari wa Sudan umetangaza kuwa timu zake katika kambi ya Al-Afad, mashariki mwa mji wa Al-Dabba kaskazini mwa Sudan, zimesajili visa 19 vya ubakaji wa wanawake waliofurushwa kutoka El-Fashir hadi katika mji wa Al-Dabba na wanachama wa kundi la waasi wa RSF.
-
Qalibaf azionya nchi jirani kutoijaribu Iran kuhusu visiwa vitatu vya Ghuba ya Uajemi
Dec 07, 2025 11:09Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amepuuzilia mbali madai ya kukaririwa kuhusu visiwa vitatu vya Iran katika taarifa ya mwisho ya Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC), akiyaonya mataifa jirani kutoijaribu azma ya Jamhuri ya Kiislamu ya kulinda mamlaka yake ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya nchi hii.
-
Mjumbe wa Marekani akiri: Washington ilijaribu na kushindwa mara mbili kuipindua serikali ya Iran
Dec 07, 2025 11:00Tom Barrack Mjumbe Maalumu wa Marekani nchini Syria amesema kuwa Washington ilijaribu mara mbili kupindua serikali ya Iran lakini iliambulia patupu.
-
7 hours ago -
Je, ziara ya Putin nchini India inamaanisha kwamba New Delhi imepuuza vitisho vya Trump?
16 hours ago -
Idadi ya wahanga wa mashambulizi ya Pakistan nchini Afghanistan yaongezeka
1 day ago -
Kumpa Trump Tuzo ya Amani ya FIFA: Ni Ubunifu au Mchezo wa Siasa?
1 day ago -
Je, sera za chama tawala zimechangia kuenea chuki na ukatili dhidi ya Waislamu nchini India?
2 days ago -
Je, hatua ya Iran na Uturuki kuelekea ustawi wa eneo inaashiria kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano?
2 days ago -
Trump na mkakati wa kuchochea ubaguzi wa rangi
3 days ago
-
Imarati yawalipa magaidi mamilioni ya dola kumuokoa mwanamfalme
-
Mwanamfalme wa Saudia: Tishio hasa la Asia Magharibi ni Israel, si Iran
-
Kamari kubwa ya Israel Ghaza yashindwa vibaya kwa kuangamizwa Abu Shabab
-
Mamluki wa Saudia na Imarati watwangana Hadhramaut Yemen
-
Wakimbizi wa Burundi watakiwa kuondoka Tanzania
-
Mjumbe wa Marekani akiri: Washington ilijaribu na kushindwa mara mbili kuipindua serikali ya Iran
-
Je, ziara ya Putin nchini India inamaanisha kwamba New Delhi imepuuza vitisho vya Trump?
-
India, Russia zasisitiza utatuzi wa mpango wa nyuklia wa Iran kupitia mazungumzo
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hivi sasa mpira uko upande wa Marekani
-
Mwendesha Mashtaka wa ICC aikosoa Marekani kwa kuwafananisha majaji wa mahakama hiyo na magaidi, walanguzi wa dawa za kulevya
Kuvunjwa kwa Baraza la NATO–Russia: Je, kutashuhudiwa vita kati ya Russia na nchi za Magharibi?
Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametangaza kuwa Baraza la NATO na Russia limevunjwa rasmi huku kukiwa na wasiwasi wa kuibuka mivutano ya kijeshi kati ya pande hizo mbili.
Je, ziara ya Putin nchini India inamaanisha kwamba New Delhi imepuuza vitisho vya Trump?
Rais Vladimir Putin wa Russia amefanya ziara nchini India kwa lengo la kuimarisha uhusiano kati ya nchi mbili.
Kumpa Trump Tuzo ya Amani ya FIFA: Ni Ubunifu au Mchezo wa Siasa?
Jana Desemba 5, 2025, Kituo cha Sanaa za Maonyesho cha John F. Kennedy kilikuwa jukwaa la maonyesho ya kisiasa na michezo.
Je, sera za chama tawala zimechangia kuenea chuki na ukatili dhidi ya Waislamu nchini India?
Ghasia dhidi ya Waislamu nchini India zimeongezeka sana katika miaka ya hivi karibuni.
-
Kuvunjwa kwa Baraza la NATO–Russia: Je, kutashuhudiwa vita kati ya Russia na nchi za Magharibi?
7 hours ago -
Je, ziara ya Putin nchini India inamaanisha kwamba New Delhi imepuuza vitisho vya Trump?
-
Kumpa Trump Tuzo ya Amani ya FIFA: Ni Ubunifu au Mchezo wa Siasa?
-
Je, sera za chama tawala zimechangia kuenea chuki na ukatili dhidi ya Waislamu nchini India?
-
Trump na mkakati wa kuchochea ubaguzi wa rangi
-
Kwa nini Marekani inafanya njama za kuidhibiti Venezuela?
-
Kwa nini umma unapaza sauti zaidi katika mitaa ya Paris kupinga migongano ya sera za Ulaya?
-
Changamoto za Umoja wa Ulaya katika kuchangisha fedha kwa ajili ya Ukraine
-
Sababu za Marekani kuitambua harakati ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni tishio la kigaidi
-
Kwa kupiga marufuku shughuli za kundi la 'Palestine Action', Uingereza ni mtetezi kweli wa uhuru wa kutoa maoni?
-
Je, hatua ya Iran na Uturuki kuelekea ustawi wa eneo inaashiria kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano?
2 days ago -
Iran: Mhimili wa muungano na uongozi katika ushirikiano wa kupambana na ugaidi katika jumuiya ya SCO
-
Mitazamo ya pamoja ya Tehran-Ankara kuunga mkono Palestina na kukabiliana na uingiliaji wa kigeni
-
Silaha za mauaji ya halaiki na sera za undumilakuwili za Washington na Tel Aviv, chanzo cha migogoro ya kiusalama Magharibi ya Asia
-
Uhusiano wa Iran na Pakistan; kiungo cha kimkakati cha amani na utulivu katika eneo
-
Marekani na nchi tatu za Ulaya zimeuaje Mkataba wa Cairo?
-
Harakati ya pamoja ya kupinga hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA
-
Vipi mauzo ya Iran kwa Afrika yamevunja rekodi katika nusu ya kwanza ya mwaka 1404 Hijria Shamsia?
-
Kutopendelea IAEA upande wowote; takwa kuu la Iran katika kadhia ya nyuklia
-
Kwa nini Iran inaunga mkono mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Sudan?
-
Vita vya Kijasusi; Kadi ya Ushindi ya Iran dhidi ya Utawala wa Kizayuni
3 days ago -
Utajiri wa madini ya Yemen na jicho la tamaa la madola ya kibeberu
-
Changamoto mbili zinazoutesa utawala wa Kizayuni baada ya vita vya siku 12 dhidi ya Iran
-
Kwa nini Mamlaka ya Ndani ya Palestina imezidi kuwatia nguvuni watu kwa malengo ya kisiasa?
-
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa kuhusu vita vya Gaza; athari za kutisha za jinai za Israel
-
Kwa nini mkataba wa gesi kati ya Israel na Misri unakaribia kusambaratika?
-
Kwa nini hati ya makubaliano ya kijeshi kati ya India na utawala wa Kizayuni ni hatua ya kuleta ukosefu wa utulivu Asia?
-
Kwa nini Hamas na makundi ya muqawama ya Palestina yanapinga azimio lililopendekezwa na Marekani?
-
Safari inayotia shaka ya ndege kutoka Ghaza, ni mwanzo wa awamu mpya ya kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina?
-
Mgogoro wa kisaikolojia miongoni mwa wanajeshi wa Israel; Wizara ya Vita ya Israel: Kujiua wanajeshi ni kielelezo cha kushindwa
Je, kujitawala kiuchumi Niger kutakuwa pigo la mwisho kwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?
Niger imeanza kuuza urani yake katika soko la kimataifa baada ya kukata mkono wa Ufaransa katika sekta ya madini hayo nchini humo.
Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?
Bara la Afrika, kwa miaka kadhaa sasa, limekuwa likitafuta kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Mamluki wa kigeni wana jukumu gani katika kuchochea vita nchini Sudan?
Kamati ya Uchunguzi wa Haki za Binadamu imetangaza kuhusu ushirikiano uliopo kati ya mamluki wa kigeni na Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan RSF katika vita vya ndani nchini humo.
Mgogoro wa Sahel: Tishio la Kikanda au Hatari ya Kimataifa?
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ametahadharisha kuhusu ukuaji na upanukaji wa makundi ya kigaidi barani Afrika na kutangaza kuwa: "Hali ya usalama, hasa katika Afrika Magharibi na eneo la Sahel, inazidi kuwa mbaya siku hadi siku."
-
Waandamanaji wa Afrika Kusini wataka Israel iwaachilie wanaharakati wa msafara wa Gaza
2 months ago -
Jeshi la Majini la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza
4 months ago -
Familia ya Kipalestina yalazimika kula majani ya mti kutokana na kukosa chakula
4 months ago -
Satelaiti ya Iran, Nahid-2, yarushwa katika anga za mbali kwa mafanikio
5 months ago