Kwa nini China inatetea

Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?

China kwa mara nyingine tena imesisitiza juu ya kutetea haki ya nyuklia ya Iran.

Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia

Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia

Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia, kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa pili wa masoko yanayoinukia.

Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran

Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran

Trump amesaini dikrii kwa ajili ya kuwatoza ushuru washirika wa kibiashara wa Iran.

Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?

Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?

Donald Trump, ambaye anajiona kama rais wa amani, amekariri madai yake dhidi ya uwezo wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, akidai kwamba bila hivyo, amani katika Asia Magharibi isingewezekana.

Mradi wa Mauaji ya Kimbari wa Italia nchini Libya

Mradi wa Mauaji ya Kimbari wa Italia nchini Libya

Karne ya ishirini Miladia haikushuhudia tu matukio ya kushangaza ya binadamu, bali pia ilibeba baadhi ya kurasa zenye giza kuu katika historia ya mwanadamu. Katika moyo wa bara la Afrika, nchini Libya, dola moja ya kikoloni kutoka Ulaya ilitekeleza mpango wa kishetani na uliopangwa kwa umakini kwa lengo la kuangamiza taifa zima.

Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika

Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika

Kamandi ya Marekani barani Afrika (AFRICOM) imetangaza kupeleka kikosi kidogo cha kijeshi cha Marekani nchini Nigeria na hivyo kwa mara ya kwanza kukiri rasmi kutumwa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Afrika.

Je, Tel Aviv inalenga kuizingira kimkakati Misri katika Bahari Nyekundu?

Je, Tel Aviv inalenga kuizingira kimkakati Misri katika Bahari Nyekundu?

Misri, katika kujibu kuongezeka kwa ushawishi na uingiliaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Pembe ya Afrika, imeimarisha uwepo wake wa kijeshi nchini Somalia.

Kenya katika kivuli cha ukoloni wa Uingereza; simulizi ya umwagaji damu na ukandamizaji dhidi ya Mau Mau

Kenya katika kivuli cha ukoloni wa Uingereza; simulizi ya umwagaji damu na ukandamizaji dhidi ya Mau Mau

Katika miaka ambayo Uingereza ilijiona kuwa taifa kubwa na lisilo na mpinzani duniani, ardhi moja katika Afrika Mashariki polepole ikageuka na kuwa eneo la mojawapo ya uzoefu mchungu zaidi wa kikoloni.