-
UN yakosoa ubaguzi wa rangi uliopo katika mfumo wa utoaji haki wa Marekani
Oct 01, 2023 03:39Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamekosoa vikali ubaguzi wa rangi uliopo katika mfumo wa utoaji haki wa Marekani.
-
Nchi za Kiislamu zalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya hafla ya Maulidi nchini Pakistan
Oct 01, 2023 02:54Nchi za Kiislamu zimelaani vikali mashambulizi mawili ya kigaidi ambayo yamesababisha vifo vya watu wengi nchini Pakistan.
-
Senegal, Cote d'Ivoire zakataa kuingilia kijeshi Niger
Oct 01, 2023 02:53Senegal na Cote d'Ivoire hazijatuma wanajeshi Benin kwa ajili ya uwezekano wa kushiriki katika uingiliaji kati nchini Niger, vyombo vya habari vya Ufaransa viliripoti Jumamosi yya jana.
-
Qatar yataka vituo vya nyuklia vya Israel vikaguliwe na IAEA
Oct 01, 2023 02:38Qatar imetaka vituo vya nyuklia vya utawala wa Israel viwe chini usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) huku utawala huo ukiendelea kupuuza kanuni za kimataifa za nyuklia.
-
Ethiopia yatangaza mlipuko wa malaria, vifo 36 vyariopotiwa katika jimbo la Oromia
Oct 01, 2023 02:37Ethiopia imetangaza mlipuko wa malaria katika jimbo la Oromia, huku maafisa wa afya wakiripoti jana Jumamosi kwamba takriban watu 36 waneaga dunia katika kipindi cha miezi miwili iliyopita katika wilaya za Begi na Kondala za eneo hilo lenye migogoro la Wollega Magharibi.
Chaguo La Mhariri
-
Nafasi ya juu ya kielimu ya Iran katika nchi za Kiislamu na dunia3 hours ago
-
Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli18 hours ago
-
Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi wa Iran23 hours ago
-
Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu2 days ago
-
Ukumbusho na indhari ya Iran kwa UN kuhusu utambulisho na matokeo ya vitisho vya utawala wa Kizayuni2 days ago
-
Al-Khalil, mji mkuu wa kiutamaduni wa ulimwengu wa Kiislamu mwaka 20263 days ago
-
Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
-
Jeshi la Wanamaji la Iran kujenga kambi ya kudumu barani Antaktika
-
Waziri wa Russia: BRICS itaanzisha mfumo mbadala wa SWIFT
-
Wanajeshi 12 wa Niger wauawa katika shambulizi la wanamgambo
-
Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
-
Iran yatangaza utayari wa kuimarisha uhusiano wake na Tanzania
-
Bashar Assad: Marekani inashirikiana na magaidi
-
Video | Raia wa Niger washambulia lori la Ufaransa lililokuwa limebeba maji
-
TANESCO: Mgawo wa umeme Tanzania kuendelea kwa miezi sita
-
Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi wa Iran
-
Polisi ya Sweden yampatia kibali tena Momika cha kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu

Nafasi ya juu ya kielimu ya Iran katika nchi za Kiislamu na dunia
Makamu wa Rais katika Masuala ya Elimu na Teknolojia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Katika kivuli cha siasa za kistratijia za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, hivi sasa Iran ya Kiislamu imebadilika na kuwa nchi mashuhuri kielimu na yenye wasomi wakubwa na mashirika muhimu ya kiteknolojia.

Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli
Miaka 23 imepita tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa. Swali muhimu ni kwamba, je, miaka 23 baada ya Intifadha ya Al-Aqsa, ni matukio gani yameshuhudiwa katika mgogoro wa Palestina na Wazayuni.

Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi wa Iran
Kupitia ujumbe, rais wa Iran amesema kurushwa katika anga za mbali satelaiti ya Iran Nour 3 kwa kutumia kombora la Qased la Iran ni thibitisho la msemo kwamba "sisi tunaweza" na wakati huo huo ni dhihirisho la kufeli vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi vijana wa Iran.

Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
Marta Hurtado, Msemaji wa Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, Jumatano alikosoa marufuku ya uvaaji hijabu kwa wanariadha wa Ufaransa katika michezo ya Olimpiki ya 2024, ambayo imepangwa kufanyika Paris mwaka ujao.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu2 days ago
-
Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani
-
Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi
-
Indhari ya Borrell kuhusu uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya
-
Hatua mpya ya Russia ya kutumia sarafu za kitaifa na kupunguza utegemezi kwa dola ya Marekani
-
Kuzidi kuharibika uhusiano wa kidiplomasia kati ya India na Canada
-
Sisitizo la kufanyiwa mabadiliko muundo wa Umoja wa Mataifa
-
Mabadilishano ya wafungwa na kuendelea misimamo ya Marekani dhidi ya Iran
-
Kukata tamaa Marekani na Nato kuhusu ushindi wa Ukraine katika vita na Russia
-
Onyo kuhusu utumiwaji wa mabomu ya vishada katika vita vya Ukraine
-
Nafasi ya juu ya kielimu ya Iran katika nchi za Kiislamu na dunia3 hours ago
-
Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi wa Iran
-
Ukumbusho na indhari ya Iran kwa UN kuhusu utambulisho na matokeo ya vitisho vya utawala wa Kizayuni
-
Kutumia vibaya nchi za Magharibi Mashirika ya Kimataifa kuishinikiza Iran
-
Kumalizika safari ya Amir Abdollahian mjini New York; diplomasia yenye nguvu ndani ya siku 7
-
Mikutano ya kidiplomasia New York; fursa ya kubainishwa diplomasia ya Iran
-
Pigo kubwa la Wizara ya Intelijensia kwa magaidi; kuzimwa makumi ya milipuko mjini Tehran
-
Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Russia nchini Iran na kuimarika uhusiano wa kiulinzi wa nchi mbili
-
Mitazamo wa Kiongozi Muadhamu; kujihami kutakatifu kumetanua mipaka ya muqawama
-
Persepolis yapoteza mechi yake ya kwanza Ligi ya Klabu Bingwa Asia
-
Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli18 hours ago
-
Al-Khalil, mji mkuu wa kiutamaduni wa ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2026
-
Upinzani wa serikali ya Sana'a dhidi ya kutawaliwa nchi hiyo.
-
Kujitoa kimasomaso Israel baada ya kukataliwa na Pakistan madai yake ya kuanzisha uhusiano wa kawaida
-
Kushadidi jinai za Utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza
-
Watoto wa Kipalestina; wahanga wakuu wa siasa za jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza
-
Yemen miaka 9 baada ya Septemba 21, 2014; kuanzia vitani hadi kwenye uundaji wa serikali yenye mafanikio ya Ansarullah
-
Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China
-
Wapinzani Wazayuni "wala sahani moja" na Netanyahu mjini New York
-
Ronaldo; Saudi Arabia na mashabiki wa Iran

Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger
Hatimaye, baada ya wiki kadha za vuta nikuvute, Ufaransa imesalimu amri mbele ya takwa la Niger na kutangaza kwamba, balozi wa Ufaransa nchini Niger, Sylvian Itte, atarejea Paris katika saa chache zijazo.

Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan
Licha ya kupita miezi mingi, lakini ndio kwanza vita baina ya majenerali wa kijeshi vinaendelea nchini Sudan na hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo inazidi kuwa mbaya siku baada ya siku. Cha kusikitisha ni kuwa pamoja na hali kuwa mbaya kiasi hicho, lakini bado pande hasimu zinaendelea kufanya ukaidi wa kutokubali kusimamisha mapigano.

Kutiwa saini mkataba mpya wa usalama; Muungano wa kijeshi kati ya Mali, Niger na Burkina Faso
Baada ya kupita miezi kadhaa ya kushuhudiwa matukio ya kisiasa katika baadhi ya nchi za Kiafrika kama Mali na Burkina Faso na kuundwa serikali za kijeshi katika nchi hizo; hivi sasa nchi tatu yaani Niger, Burkina Faso na Mali zimesaini mkataba wa pamoja wa usalama ulipewa jina la " Muungano wa Nchi za Sahel."

Uvunjaji ahadi mwingine wa Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA
Kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya Umoja wa Ulaya Alhamisi usiku, Josep Burrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya alitangaza kuwa nchi tatu za Ulaya, ambazo ni Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, zimemwandikia barua zikitangaza kwamba hazitaondoa vikwazo vya makombora dhidi ya Iran, ambavyo muda wake umepangwa kumalizika tarehe 18 Oktoba 2023.
-
UN yakosoa ubaguzi wa rangi uliopo katika mfumo wa utoaji haki wa Marekani2 hours ago
-
Raia wa Niger washambulia lori la Ufaransa lililokuwa limebeba maji14 hours ago
-
Kashif Asrar: Umoja wa Kiislamu ni nembo ya mshikamano wa Waislamu14 hours ago
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya la Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu: Iran imejenga matumaini katika nyoyo za Waislamu3 days ago