Chaguo La Mhariri
-
Kupokewa vizuri ripoti ya UN kuhusu mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza3 hours ago
-
Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani20 hours ago
-
Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash23 hours ago
-
Safari ya pili ya Haniyeh mjini Tehran baada ya operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa2 days ago
-
Kuendelea kushambuliwa na kuzingirwa hospitali za Gaza na utawala wa Kizayuni2 days ago
-
Kuendelea jinai za Israel: Unyakuzi mkubwa zaidi wa ardhi za Ukingo wa Magharibi tangu 19933 days ago
-
Undumakuwili wa Marekani kuhusiana na utawala wa Kizayuni na vita vya Gaza3 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
-
Yemen yafanya mashambulizi 6 dhidi ya US, UK na Israel
-
Wataalamu wa US: Mapigano ya Al-Shifa yanaonyesha wapiganaji Wapalestina wangali wako imara
-
Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO
-
Kutolewa pendekezo la kuanzisha klabu ya nyuklia ya BRICS kwa kuishirikisha Iran
-
Wachunguzi wa Russia kujadili ombi la kuchunguza kuhusika Magharibi katika ugaidi
-
Marekani yaiwekea vikwazo GAZA NOW kwa tuhuma za kuchangisha fedha za kuisaidia HAMAS
-
Marekani imeshindwa kukabiliana na jeshi la Yemen katika Bahari Nyekundu
-
Ireland 'kuingilia kati' kesi ya mauaji ya kimbari ya Afrika Kusini dhidi ya Israel
-
Israel yapuuza azimio la Baraza la Usalama, yadondosha mabomu Rafah
-
Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani
Kupokewa vizuri ripoti ya UN kuhusu mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza
Tathmini ya ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Palestina juu ya mauaji ya umati yanayofanywa na Israel kwenye Ukanda wa Ghaza imepokewa vizuri na kuungwa mkono na wawakilishi wa nchi za dunia ndani ya umoja huo.
Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani
Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwenye mazungumzo yake na Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwamba, subira ya kihistoria na kusimama imara wananchi wa Ghaza mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni kumeifanya kadhia ya Palestina kuwa suala kuu nambari moja duniani.
Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash
Naibu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Masuala ya Sheria, Mohammed Dehghan, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitafumbia jicho kwa hali yoyote ile haki zake katika medani ya pamoja ya gesi ya Arash na haitaruhusu upande wowote kukiuka sheria za kimataifa katika suala hili.
Safari ya pili ya Haniyeh mjini Tehran baada ya operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa
Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas, aliwasili Jumanne ya jana mjini Tehran ikiwa ni safari yake ya pili baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
-
Kupokewa vizuri ripoti ya UN kuhusu mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza3 hours ago
-
Undumakuwili wa Marekani kuhusiana na utawala wa Kizayuni na vita vya Gaza
-
Guterres akiri kashfa ya kimaadili ya utawala wa Kizayuni katika kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza.
-
Ugaidi, changamoto ya pamoja ya kieneo na wajibu wa kuwa macho
-
Wasiwasi wa Marekani kuhusu muungano wa Iran, Russia na China
-
Kula mweleka njama za Marekani za kuunga mkono mauaji ya kimbari ya Israel kwenye UN
-
Wito wa maseneta 19 wa Marekani wa kuundwa taifa huru la Palestina
-
Ushindi mkubwa wa Putin katika uchaguzi wa rais wa Russia
-
Joe Biden akiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Marekani
-
Ombi la jamii ya Shia wa Afghanistan kwa kundi la Taliban
-
Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash23 hours ago
-
Safari ya pili ya Haniyeh mjini Tehran baada ya operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa
-
Uchambuzi wa vita vya Gaza katika hotuba ya Nowruz ya kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
-
Maadhimisho ya kupitishwa kwa sheria ya kutaifishwa kwa sekta ya mafuta ya Iran
-
Kuwekwa vikwazo vipya dhidi ya Iran
-
Vikwazo vya upande mmoja; ukiukaji wa haki za binadamu
-
Tume ya kutafuta ukweli; wenzo wa kisiasa unaotumiwa na Magharibi dhidi ya Iran
-
Kufutwa akaunti za mitandao ya kijamii za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, kielelezo cha uhasama wa Magharibi dhidi ya uhuru wa kusema
-
Wagonjwa wa ngozi ya kipepeo (EB), waathiriwa wa vikwazo vya Marekani
-
Uchaguzi wa Iran ni ishara ya umuhimu wa masanduku ya kura na ushiriki wa wananchi
-
Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani20 hours ago
-
Kuendelea kushambuliwa na kuzingirwa hospitali za Gaza na utawala wa Kizayuni
-
Kuendelea jinai za Israel: Unyakuzi mkubwa zaidi wa ardhi za Ukingo wa Magharibi tangu 1993
-
Kufeli propaganda dhidi ya Hamas na kuongezeka umaarufu wa harakati hiyo huko Gaza
-
Kuendelea mapambano, mhimili wa muqawama dhidi ya mauaji ya kimbari ya Gaza
-
Makundi ya Palestina yako tayari kukabiliana na njama za pamoja za Marekani na utawala wa Kizayuni
-
Makundi ya mapambano ya Palestina yakosoa hatua ya Mahmoud Abbas ya kumteua waziri mkuu mpya
-
Watoto wa Gaza; wahanga wakuu wa jinai za utawala wa Kizayuni
-
Hali mbaya ya mateka wa Kipalestina katika jela za Kizayuni
-
Kushadidi mivutano baina ya vyama vya upinzani na Baraza la Mawaziri la Israel
Ukosoaji wa Afrika Kusini dhidi ya Israel kwa kukaidi uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa kutotekelezwa maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki dhidi ya Israel kunaidhoofisha mahakama hiyo.
Hatua ya serikali ya Niger ya kufuta makubaliano ya kijeshi na Marekani
Amadou Abdurrahman, Msemaji wa Serikali ya Niger, ametangaza kupitia taarifa kwamba nchi hiyo imefuta makubaliano yote ya kijeshi na Marekani ambayo yaliruhusu nchi hiyo ya Magharibi kuweka majeshi yake katika ardhi ya Niger.
Makubaliano ya viongozi wa Libya ya kuunda serikali moja mpya
Kuendelea mgogoro nchini Libya na kuwa vigumu suala la kufanyika uchaguzi nchini humo hatimaye kumepelekea viongozi wa Libya kukubaliana kuunda serikali moja ambayo itakuwa na jukumu la kusimamia uchaguzi nchini humo.
Juhudi za Afrika Kusini za mashinikizo zaidi ya kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni
Kufuatia kuendelea jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, Afrika Kusini imewasilisha ombi la dharura katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ, ikiitaka korti hiyo ya Umoja wa Mataifa ichukue hatua zaidi za dharura dhidi ya Israel, ikisisitiza kuwa utawala huo wa Kizayuni umeendelea kupuuza amri iliyotolewa na chombo hicho cha sheria.
-
Wairani wawaenzi mashahidi wa Kipalestina katika hafla ya makumi ya maelfu1 day ago
-
Kijana, Islam, aliyeokoa watu zaidi 100 katika hujuma ya kigaidi ya Moscow apewa nishani ya ushujaa4 days ago
-
Mkutano wa Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Israel lazima ikomeshe mauaji ya kimbari2 months ago
-
Yemen: Mashambulizi ya US na UK hayatotuzuia kuliunga mkono taifa la Palestina + VIDEO3 months ago