Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?

Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?

Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema, maadui walijaribu kuandaa mazingira ya kuuangamiza muqawama kwa kutumia vibaya serikali ya Lebanon na kuunda mwavuli haramu wa kisheria, lakini pamoja na hayo si tu kwamba adui wa Kizayuni alishindwa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe, bali pia inaendelea kupipigania ushindi wa mwisho.

Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita?

Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita?

Kusainiwa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad na Marais wa Iran na Marekani kunashiria mwisho wa mojawapo ya mivutano na makabiliano makubwa zaidi kati ya nchi hizi mbili.

Je, vita vya Iran vilisambaratisha vipi ngano ya nguvu isiyoshindwa ya Marekani?

Je, vita vya Iran vilisambaratisha vipi ngano ya nguvu isiyoshindwa ya Marekani?

"Vita na Iran vimefichua ukweli mchungu kwa Marekani; Trump alifanya makosa makubwa na hatari kwa kuanzisha vita hivi na hatimaye kutoka kwenye vita akiwa dhaifu kijeshi, kidiplomasia na kiuchumi."

Marekani ilishindwa vipi katika vita dhidi ya Iran?

Marekani ilishindwa vipi katika vita dhidi ya Iran?

Siku mia moja na sita baada ya kuanza hujuma za kijeshi za Marekani na Wazayuni dhidi ya Iran, hatimaye Tehran na Washington zimefikia muafaka katika mfumo wa makubaliano ya kuhitimisha rasmi vita hivyo.

Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.

Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?

Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?

Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.

Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano

Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano

Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.

Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki

Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki

Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.