-
Jeshi la Iran laapa kutoa jibu kali zaidi dhidi ya uchokozi wowote siku zijazo
Jul 28, 2026 03:58Jeshi la Iran limeapa kutoa jibu kali na la nguvu zaidi dhidi ya uchokozi wa nchi yoyote katika siku zijazo.
-
Muqawama wa Kiislamu Iraq: Hatua yoyote ya kipumbavu ya Saudia itakabiliwa na jibu la haraka
Jul 28, 2026 03:55Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imeuonya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia kwamba hatua yoyote ya kipumbavu itakayochukuliwa na Riyadh itakabiliwa na jibu kali litakaloulamisha kujutia maamuzi yake.
-
Chad kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, yasema inaziandama zaidi nchi za Afrika
Jul 28, 2026 03:52Chad imejiunga na orodha inayoongezeka ya nchi zilizoanza taratibu za kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ikisema inaziandama zaidi nchi za Afrika.
-
Putin: Maadui wa Russia wamejielekeza katika mbinu za wazi za kigaidi
Jul 28, 2026 03:50Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa maadui wa nchi hiyo wameamua kutumia mbinu za wazi za kigaidi, na kwamba Moscow itatimiza malengo yake yote ya kijeshi katika vita vya Ukraine na iko tayari kutoa jibu kwa hatua yoyote ya uhasama.
-
Jeshi la Sudan ladai kudhibiti barabara kuu inayounganisha Khartoum na El-Obeid
Jul 28, 2026 03:47Jeshi la Sudan limetangaza kuwa limerejesha udhibiti kamili wa barabara kuu inayounganisha mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum, na El-Obeid, mji ambao umekuwa ukizingirwa na kundi la wanamgambo Rapid Support Forces (RSF).
-
22 hours ago -
Trump Aidhinisha Saudi Arabia kuwa na Mpango wa Nyuklia: Mfano Mwingine wa Undumakuwili wa Marekani
2 days ago -
Namna Trump Anavyodhihirisha Hasara ya Vita na Iran kama Mafanikio
3 days ago -
Mashambulizi Makali ya Iran dhidi ya Vituo vya Marekani nchini Jordan
5 days ago -
Hatua ya Yemen ya Kuiwekea Saudi Arabia Mzingiro wa Majini: Sababu na Matokeo
5 days ago -
Seneta wa Marekani afichua uongo wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran
6 days ago -
Shambulio la Iran dhidi ya Kituo cha Marekani huko Al-Tanf, Syria: Hatua Isiyo na Mfano Wake na Yenye Jumbe za Pande Kadhaa
7 days ago
-
IRGC yazionya Israel na Uingereza kuhusu kuisaidia Marekani katika vita dhidi ya Iran
-
Jeshi la Iran: Karibu miundombinu yote ya Marekani huko Erbil imeharibiwa
-
Ansarullah Yemen: Hakuna meli ya Saudi Arabia inayoruhusiwa kupita Lango Bahari la Bab al-Mandab
-
Baghaei: Marekani imesaliti diplomasia kwa mara ya tatu
-
Kiongozi Muadhamu: Uimara wa Hizbullah ni ujumbe kwa mataifa huru
-
Je, Marekani imefikia mkwamo wa kimkakati katika mgogoro wake na Iran?
-
Trump Aidhinisha Saudi Arabia kuwa na Mpango wa Nyuklia: Mfano Mwingine wa Undumakuwili wa Marekani
-
Iran yasifu mazungumzo ‘yenye tija’ na Oman kuhusu usafirishaji katika Lango-Bahari la Hormuz
-
Pezeshkian: Uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na Marekani ufuatiliwe kisheria kimataifa
-
Maelfu Waandamana Jakarta kulaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza
Je, Marekani imefikia mkwamo wa kimkakati katika mgogoro wake na Iran?
Wachambuzi wengi mashuhuri wa Marekani wanaonya kwamba Washington inatembea kwenye njia ya mgogoro na Iran ambayo si lazima ifanikiwe kisiasa au kistratijia. Wanaamini kwamba changamoto kuu inayoikabili Marekani kwa sasa si kuanzisha vita, bali ni kutafuta njia ya kujiondoa kwenye mkwamo unaozidi kuongezeka siku hadi siku.
Namna Trump Anavyodhihirisha Hasara ya Vita na Iran kama Mafanikio
Kwa kuchapisha orodha ya wahanga wa vita tofauti vya Marekani, Rais Donald Trump amejaribu kudhihirisha mzozo na Iran kama "vita vyenye gharama ya chini, na vilivyofanikiwa" ambapo sasa anajivunia vifo vya wanajeshi 18 wa Marekani walioangamia katika vita vya karibuni.
Mashambulizi Makali ya Iran dhidi ya Vituo vya Marekani nchini Jordan
Mashambulizi ya Iran dhidi ya vituo vya Marekani nchini Jordan yanachukuliwa kuwa miongoni mwa operesheni zilizofanikiwa zaidi katika mzozo wa kijeshi wa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.
Hatua ya Yemen ya Kuiwekea Saudi Arabia Mzingiro wa Majini: Sababu na Matokeo
Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza marufuku ya usafiri wa meli na kuweka mzingiro wa majini dhidi ya Saudi Arabia, kwa kuzingatia kanuni ya "mzingiro kwa mzingiro."
-
Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?
10 days ago -
Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?
-
Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia
-
Je, siasa zinapoingizwa michezoni, FIFA bado huwa ndiyo inayochukua maamuzi?
-
Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?
-
Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki
-
Je, ni vipi Ulaya imekuwa mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni?
-
Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?
-
Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni
-
Sababu ya kujiuzulu Mkurugenzi wa Intelijensia ya Kitaifa wa Marekani
-
Je, Marekani imefikia mkwamo wa kimkakati katika mgogoro wake na Iran?
22 hours ago -
Trump Aidhinisha Saudi Arabia kuwa na Mpango wa Nyuklia: Mfano Mwingine wa Undumakuwili wa Marekani
-
Namna Trump Anavyodhihirisha Hasara ya Vita na Iran kama Mafanikio
-
Mashambulizi Makali ya Iran dhidi ya Vituo vya Marekani nchini Jordan
-
Seneta wa Marekani afichua uongo wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran
-
Shambulio la Iran dhidi ya Kituo cha Marekani huko Al-Tanf, Syria: Hatua Isiyo na Mfano Wake na Yenye Jumbe za Pande Kadhaa
-
Kusimamishwa Ahadi za Mkataba wa Islamabad: Majibu ya Iran dhidi ya Ukiukaji wa Marekani
-
Je, ni malengo gani yanafuatiliwa na Marekani katika kushambulia miundombinu ya Iran?
-
Mzunguko hatari wa vitisho vya Trump dhidi ya Iran
-
Kwa nini Marekani imeelekeza mashambulizi yake kusini mwa Iran?
-
Hatua ya Yemen ya Kuiwekea Saudi Arabia Mzingiro wa Majini: Sababu na Matokeo
5 days ago -
Matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kuhusu Lebanon yana taathira gani?
-
Namna Watoto Wachanga wa Kipalestina Walivyogeuzwa Kuwa Walengwa wa Jinai za Kivita
-
Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?
-
Kwa nini Hizbullah inapinga makubaliano ya serikali ya Lebanon na Israel?
-
Netanyahu alinasa vipi katika mtego wa vita vyake mwenyewe?
-
Kwa nini Ulaya ina wasiwasi kuhusu mrengo wa Lebanon?
-
Kwa nini Israel haina uwezo wa kuilazimisha Hizbullah ijisalimishe?
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kuuawa na kujeruhiwa wanajeshi wake 22 katika mapigano ya kusini mwa Lebanon
-
Kwa nini watawala wa Marekani wanajaribu kujitenga na chokochoko za Netanyahu?
Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb
Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.
Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano
Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.
-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
5 months ago -
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
7 months ago -
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
7 months ago -
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
8 months ago