Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?

Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?

Wimbi la kutimuliwa makamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Marekani kufuatia kushindwa kimkakati kwa nchi hiyo dhidi ya Iran limeibua mgogoro mkubwa zaidi wa kamandi katika Wizara ya Vita ya nchi hiyo, Pentagon.

Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia

Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia

Ni jambo la kawaida kwamba nchi zilizoko katika maeneo tofauti ya kijografia na kistratijia hutumia nafasi hiyo kwa manufaa ya watu wake na kulinda maslahi yao ya kitaifa. Wachambuzi wa mambo wanasema hilo ni jambo linakubalika kimataifa na wala hakuna sheria yoyote inayopinga suala hilo ambayo ni haki ya kimsingi ya nchi iliyo katika maeneo kama hayo.

Yemen yaingia rasmi vitani kwa maslahi ya Iran

Yemen yaingia rasmi vitani kwa maslahi ya Iran

Yemen imetangaza rasmi kuingia katika vita kwa maslahi ya Iran, na sasa kila mtu ana wasiwasi kuhusu muelekeo wa vita hivi huku Wamagharibi na waungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel wakiingiwa na wasi wasi mkubwa kwamba huenda uchumi wa utawala huo ukabanwa na kupata madhara makubwa iwapo jeshi la Yemen litaamua kufunga na kudhibiti njia muhimu ya usafiri wa meli za biashara na mizigo, yaani Lango-Bahari la Bab al-Mandab.

Mapambano ya Watu wa Iran dhidi ya Madhalimu

Mapambano ya Watu wa Iran dhidi ya Madhalimu

Swali muhimu zaidi ambalo limekuwa likiwashughulisha wachambuzi wengi na hata watumiaji wa mitandao ya kijamii siku hizi ni kuwa: "Je, Wairani wameweza vipi kusimama imara mbele ya nguvu mbili zenye silaha za nyuklia bila kuogopa wala kusalimu amri?"

Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?

Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?

Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.

Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano

Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano

Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.

Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki

Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki

Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.

Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika

Mauaji ya Thiaroye ni mojawapo ya jinai na uhalifu mkubwa zaidi wa umwagaji damu na uliofichika zaidi, ambao ulifanywa na Ufaransa wakati wa utawala wake wa kikoloni nchini Senegal.