-
Pezeshkian: Iran haikubali mabavu na mantiki yake ya nyuklia imejikita katika Mkataba wa NPT
Feb 09, 2026 03:01Rais Masoud Pezeshkian amepongeza duru mpya ya mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani na kuitaja kuwa “hatua ya kusonga mbele,” akisisitiza kuwa msimamo wa Tehran kuhusu suala hilo unategemea haki zilizoainishwa ndani ya Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT).
-
Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kikamilifu kutoa jibu la haraka na kali kwa uchokozi wowote
Feb 09, 2026 03:00Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ingawa Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kikamilifu kutoa jibu la haraka, kali na litakaloleta majuto kwa uchokozi wowote, haina nia ya kuanzisha vita vya kikanda.
-
Hamas yalaani mradi wa kifashisti na kikoloni wa Israel unaolenga kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi
Feb 09, 2026 03:00Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali maamuzi mtawalia yaliyopasishwa na baraza la mawaziri la Israel jana Jumapili. Hamas imeyataja maamuzii hayo kuwa ni sehemu ya mradi wa kifashishti, wa kikoloni na wa kilowezi wenye lengo la kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi na kuliunganisha na ardhi nyingine zilizoghusubiwa za Palestina.
-
Rais wa Somalia aapa kuzuia kambi ya kijeshi ya Israel katika eneo la Somaliland
Feb 09, 2026 02:59Rais wa Somalia amelaani vikali kile hatua ya utawala wa Israel kuingilia masuala ya ndani ya nchi yake, akiahidi “kukabiliana” na uwepo wowote wa kijeshi wa Israel katika eneo la Somalia la Somaliland ambalo limejitangazia uhuru.
-
Kenya yaanza kuondoa askari Haiti huku kikosi kipya cha UN kikichukua hatamu
Feb 09, 2026 02:58Kenya itapunguza idadi ya maafisa wake wa polisi waliotumwa nchini Haiti baada ya kukamilisha jukumu lao kuu la kuleta uthabiti wa kiusalama. Hayo ni kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Masuala ya Kigeni, Korir Sing’Oei.
-
3 hours ago -
Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia
20 hours ago -
Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran
1 day ago -
Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?
2 days ago -
Mradi wa Mauaji ya Kimbari wa Italia nchini Libya
2 days ago -
Kwa nini China inalenga kuibadilisha Dola kwa Renminbi (Yuan) katika kiwango cha kimataifa?
3 days ago -
Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika
4 days ago
-
Araqchi: Iran haiogopi kutumwa wanajeshi wa upande mwingine katika kanda hii
-
Iran yasisitiza kuwa itavishambulia vituo vya kijeshi vya Marekani, si ardhi za nchi jirani
-
Gaidi aliyefunzwa na Mossad kuendesha 'vita vya mitaani' aangamizwa na vikosi vya intelijensia vya Iran
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hatutafanya mazungumzo kuhusu makombora yetu, si sasa wala baadaye
-
Trump anakabiliwa na tuhuma za ubaguzi wa rangi baada ya kuchapisha video inayomuonyesha Obama na mkewe kama nyani
-
Maelfu ya Wairaqi wajiandikisha kuingia vitani kuisaidia Iran endapo itashambuliwa na Marekani
-
Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa
-
Waziri wa Habari wa Somalia: Hatutaruhusu Israel kutumia ardhi yetu kuwatishia majirani
-
Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran
-
Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani
Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?
China kwa mara nyingine tena imesisitiza juu ya kutetea haki ya nyuklia ya Iran.
Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia
Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia, kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa pili wa masoko yanayoinukia.
Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran
Trump amesaini dikrii kwa ajili ya kuwatoza ushuru washirika wa kibiashara wa Iran.
Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?
Donald Trump, ambaye anajiona kama rais wa amani, amekariri madai yake dhidi ya uwezo wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, akidai kwamba bila hivyo, amani katika Asia Magharibi isingewezekana.
-
Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?
3 hours ago -
Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?
-
Kwa nini China inalenga kuibadilisha Dola kwa Renminbi (Yuan) katika kiwango cha kimataifa?
-
Jinai za kigaidi za majeshi ya Ulaya; Hadithi 5 zilizochaguliwa kutoka mabara 5
-
Ushirikiano wa Starmer na Trump; madai mapya dhidi ya mpango wa nyuklia wa amani wa Iran
-
Kucheza na moto kwa Trump kunaweza kusababisha mzozo kamili kanda ya Asia Magharibi
-
Sababu zilizomfanya Katibu Mkuu wa UN akiri kuwa 'Sheria ya Msituni' ndiyo inayotawala hivi sasa duniani
-
Ugaidi wa ndani nchini Marekani na mtazamo wa undumakuwili wa Washington
-
Greenland; kulegeza msimamo Trump au kubadilisha mbinu?
-
Kwa nini Baraza la Haki za Kibinadamu la UN, linaichafua Iran, sambamba na Marekani?
-
Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia
20 hours ago -
Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran
-
Kwa nini Marekani inafuatilia sera ya "mazungumzo na vitisho kwa wakati mmoja" dhidi ya Iran?
-
Kwa nini Iran inaamini kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika Ghuba ya Uajemi unazidisha mivutano?
-
Kuakisiwa hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika vyombo vya habari vya Kiarabu; indhari ya Tehran ya kugeuka vita na kuwa vya kikanda
-
Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu; nembo ya kujiamini watu wa Iran dhidi ya udhalimu wa Shah na uistikbari
-
Utendaji wa jeshi la IRGC kuanzia kupambana na Daesh hadi Vita vya Siku 12 na utawala wa Kizayuni
-
Sera za uadui za Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; Brussels inataka nini?
-
Iran na Saudia katika mkondo wa ushirikiano na matarajio ya kuleta usalama, ustawi na umoja baina ya Waislamu
-
Iran ilivyofanikiwa kuvunja mtandao wa mawasiliano ya kigaidi kwa kukata intaneti
-
Vita vya kieneo; maana yake na jinsi vinavyotokea
4 days ago -
Ni kwa sababu gani utawala wa kizayuni unakwamisha utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita Ghaza?
-
Usitishaji vita wa kimaonyesho Gaza; kifuniko cha Wazayuni cha kuendeleza jinai
-
Bodi ya Amani ya Gaza, jaribio la Trump la kudhoofisha Umoja wa Mataifa
-
Muqawama wa Yemen na ufafanuzi mpya wa mlingano wa nguvu katika Bahari Nyekundu
-
Kwa nini kiwango cha kujiua katika jeshi la Israel kimefikia kiwango cha juu zaidi?
-
Kuenea wimbi la mapambano ya umma ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi; changamoto ambayo utawala wa kizayuni haujawahi kuishuhudia
-
Kwa nini utawala wa Kizayuni unaogopa uhuru wa vyombo vya habari?
-
Vita vilivyosambaratisha mustakabali wa watoto wa Ghaza
-
Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni
Mradi wa Mauaji ya Kimbari wa Italia nchini Libya
Karne ya ishirini Miladia haikushuhudia tu matukio ya kushangaza ya binadamu, bali pia ilibeba baadhi ya kurasa zenye giza kuu katika historia ya mwanadamu. Katika moyo wa bara la Afrika, nchini Libya, dola moja ya kikoloni kutoka Ulaya ilitekeleza mpango wa kishetani na uliopangwa kwa umakini kwa lengo la kuangamiza taifa zima.
Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika
Kamandi ya Marekani barani Afrika (AFRICOM) imetangaza kupeleka kikosi kidogo cha kijeshi cha Marekani nchini Nigeria na hivyo kwa mara ya kwanza kukiri rasmi kutumwa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Afrika.
Je, Tel Aviv inalenga kuizingira kimkakati Misri katika Bahari Nyekundu?
Misri, katika kujibu kuongezeka kwa ushawishi na uingiliaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Pembe ya Afrika, imeimarisha uwepo wake wa kijeshi nchini Somalia.
Kenya katika kivuli cha ukoloni wa Uingereza; simulizi ya umwagaji damu na ukandamizaji dhidi ya Mau Mau
Katika miaka ambayo Uingereza ilijiona kuwa taifa kubwa na lisilo na mpinzani duniani, ardhi moja katika Afrika Mashariki polepole ikageuka na kuwa eneo la mojawapo ya uzoefu mchungu zaidi wa kikoloni.
-
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
1 month ago -
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
1 month ago -
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
2 months ago -
Waandamanaji wa Afrika Kusini wataka Israel iwaachilie wanaharakati wa msafara wa Gaza
4 months ago