-
Msemaji wa Majeshi ya Iran: US inawatumia watu wa Asia Magharibi kama ngao
Mar 10, 2026 17:08Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi amesema baadhi ya makamanda na wanajesh wa Marekani wanawatumia raia wa eneo la Asia Magharibi kama ngao za binadamu vitani.
-
Onyo la Larijani kufuatia vitisho hewa vya Trump dhidi ya wananchi wa Iran
Mar 10, 2026 16:41Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametoa onyo kali akijibu vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Qalibaf: Hatufuatilii kusimamisha vita/kujitanua utawala wa Kizayuni kutasambaratishwa
Mar 10, 2026 14:09Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa mchokozi anapaswa kumtwangwa ngumi mdomoni ili apate somo na asithubutu kufikiria tena kuivamia Iran.
-
Araqchi: Tel Aviv na Washington zinabeba dhima ya janga la kiuchumi nchini Marekani
Mar 10, 2026 14:08Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa wanaobeba dhima ya moja kwa moja ya janga la kiuchumi nchini Marekani ni Israel na waungaji mkono wake huko Washington.
-
Uhispania: Kamisheni ya Ulaya itetee sheria za kimataifa/ Wallace: Muungano wa Epstein unalenga raia nchini Iran
Mar 10, 2026 13:54Naibu Waziri Mkuu wa Uhispania amekosoa vikali matamshi ya Mkuu wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen, kuhusu utaratibu wa kimataifa na kuunga mkono vita vya uvamizi dhidi ya Iran.
-
2 days ago -
Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump
11 days ago -
Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo
12 days ago -
Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani
13 days ago -
Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake
13 days ago -
Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
14 days ago -
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
15 days ago
-
Msemaji wa IRGC: Majibu ya Iran yamemtia kiwewe Donald Trump
-
Operesheni Ahadi ya Kweli 4, Wimbi la 33: Makombora yote ya Iran ya “Kheibar Shekan” yapiga malengo yao
-
Ayatullah Mojtaba Khamenei ni nani?
-
Uingereza: Hatutaingia katika vita dhidi ya Iran/ Ireland yalaani uvamizi wa Marekani na Wazayuni dhidi ya Iran
-
Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?
-
Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani
-
Russia yawasilisha rasimu ya azimio Baraza la Usalama, yataka kukomeshwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
-
Wall Street: Kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kunaonyesha kushindwa juhudi za Trump za kuipigisha magoti Iran
-
Makundi ya Muqawama yapongeza kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu
-
Jeshi la IRGC latangaza utiifu kwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu
Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?
Kwa nini Marekani inakaribia kushindwa kistratejia? Jibu la swali hili linapatika katika utambulisho wa vita vya sasa vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump
Kadiri matamshi ya kivita yanavyozidi kutoka kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, pamoja na baadhi ya maafisa wa utawala wake, wimbi jipya la upinzani dhidi ya uwezekano wa a vita vya kichochezi vya Marekani dhidi ya Iran limeanza kushika kasi.
Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa Armenia kuhusu azma ya Iran ya kustawisha na kuimarisha uhusiano wa pande mbilii na majirani zake hasa Armenia.
Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani
Rais wa Marekani Donald Trump amekoleza maradufu moto wa kampeni yake ya kueneza sumu dhidi ya Iran kwa kurudia tena tuhuma hewa za kila mara kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump
11 days ago -
Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani
-
Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake
-
Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump
-
Kwa nini Amnesty International imelaani operesheni za kijeshi za Marekani huko Karibiani na Pasifiki?
-
Kupinga Wabunge wa Marekani sera za Trump za kupiga ngoma ya vita dhidi ya Iran
-
Kinachovifanya vyama vya Kiislamu vya Pakistan vipinge nchi hiyo kuwemo kwenye 'Bodi ya Amani' ya Trump
-
Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani
-
Je, China ina msimamo gani kuhusu hatua mpya za utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi?
-
Kutoka Kongamano la Usalama hadi "Sarakasi ya Munich"; Msimamo wa Iran Kuhusu Matukio ya Ulaya
-
Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo
12 days ago -
Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
-
Kutokubali Iran kusalimu amri mbele ya Marekani
-
Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran
-
Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz
-
Kwa nini Grossi amekiri haki ya Iran ya kurutubisha urani?
-
Nguvu ya majini ya Iran; mseto wa nguvu za kijeshi, diplomasia, teknolojia na maadili ya kibinadamu
-
Maandamano ya tarehe 22 Bahman, ishara ya mwamko, kuwa macho, umoja na mshikamano wa watu wa Iran.
-
Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia
-
Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran
-
Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?
2 days ago -
Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China
-
Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi
-
Mijibizo dhidi ya njama za Israel za kuendeleza uporaji na ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Ukingo wa Magharibi
-
Mpango wa hatua nne wa Netanyahu wa kuumeza Ukingo wa Magharibi
-
Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi
-
Vita vya kieneo; maana yake na jinsi vinavyotokea
-
Ni kwa sababu gani utawala wa kizayuni unakwamisha utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita Ghaza?
-
Usitishaji vita wa kimaonyesho Gaza; kifuniko cha Wazayuni cha kuendeleza jinai
-
Bodi ya Amani ya Gaza, jaribio la Trump la kudhoofisha Umoja wa Mataifa
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.
Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano
Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.
Mauaji ya Halaiki ya Thiaroye; miaka 80 ya kufichwa tukio kubwa zaidi la umwagaji damu uliofanywa na Mkoloni Mfaransa Afrika
Mauaji ya Thiaroye ni mojawapo ya jinai na uhalifu mkubwa zaidi wa umwagaji damu na uliofichika zaidi, ambao ulifanywa na Ufaransa wakati wa utawala wake wa kikoloni nchini Senegal.
-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
8 days ago -
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
2 months ago -
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
2 months ago -
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
3 months ago