Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

Sisitizo la Israel la kuendeleza vita Gaza katika mwezi wake wa ishirini na kuendelea kuwaua kwa umati wakazi wa ukanda huo hususan wanawake na watoto si tu kwamba kumeibua mijadala ya upinzani na kulaaniwa kimataifa kitendo hicho, bali hata nchi za Ulaya zimekuwa zikiukosoa utawala huo ghasibu kwa hatua zake hizo za kikatili.

Umuhimu wa kufanyika Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran

Umuhimu wa kufanyika Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran

Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran linafanyika katika mji mtakatifu wa Mashhad, na kuhudhuriwa na wasomi wa kisayansi, sekta binafsi na wasomi vijana wa Iran.

Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

Malengo ya safari ya Trump katika nchi tatu za Kiarabu

Rais Donald Trump wa Marekani alianza safari ya siku tatu katika nchi tatu za kusini mwa Ghuba ya Uajemi, Saudi Arabia, Imarati (UAE) na Qatar kuanzia Jumanne, Mei 13.

Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

Wizara ya Ulinzi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imetangaza kumalizika kwa mafanikio operesheni ya kijeshi huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo.

Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

Kumalizika operesheni ya kijeshi Tripoli; Libya yaingia tena kwenye mgogoro

Wizara ya Ulinzi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imetangaza kumalizika kwa mafanikio operesheni ya kijeshi huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo.

Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

Sambamba na kuongezeka mvutano kati ya Algeria na Ufaransa, serikali ya Algiers imechukua uamuzi wa kuwafukuza maafisa wawili wa kiintelijensia wa Ufaransa waliokuwa na pasipoti za kidiplomasia.

Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?

Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?

Sauti ya ving'ora inasikika kutoka mbali. Moshi mweusi unatanda angani kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Port Sudan. Umati mkubwa wa watu unakimbia kuelekea moja ya kambi za maficho za muda.

Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi

Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi

Mkutano wa tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika ulifanyika mjini Tehran wakati kivuli kizito cha sera za nchi za Magharibi dhidi ya Iran na Afrika kimeathiri mahusiano mengi ya kimataifa kati ya Iran na Afrika.