Vita vilivyosambaratisha mustakabali wa watoto wa Ghaza

Vita vilivyosambaratisha mustakabali wa watoto wa Ghaza

Hali ya watoto wa Ukanda wa Ghaza ni ushahidi wa wazi wa janga la kibinadamu na mauaji ya kimbari ya kimfumo yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni kwa muda wa miaka miwili mfululizo mbali na majanga ya kimwili, kisaikolojia, kijamii na kiutamaduni ya wakazi wa ukanda huo. Jinai hizo za Israel zinaendelea hadi hivi sasa kwa sura tofauti.

Shukurani za Venezuela kwa Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuitetea Caracas

Shukurani za Venezuela kwa Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuitetea Caracas

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Venezuela ameisifu Iran kwa misimamo yake thabiti ya kutetea mamlaka ya kujitawala Caracas.

Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni

Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni

Kwa kuendelea kwa uingiliaji kati wa kigeni kushadidi mapigano nchini Syria baina ya makundi yanayomuunga mkono mtawala wa nchi hiyo al-Julani na kundi la Qasad, ukosefu wa usalama utulivu nchini humo umechuukua wigo mpana zaidi.

Kwa nini Marekani inashadidisha mazingira ya vita dhidi ya Venezuela?

Kwa nini Marekani inashadidisha mazingira ya vita dhidi ya Venezuela?

Marekani, kwa mara nyingine tena, imeimarisha uwepo wake kijeshi huko Caribbean.

Kuzidi kuwa tata vita vya Sudan; indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu kupanuka wigo wake

Kuzidi kuwa tata vita vya Sudan; indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu kupanuka wigo wake

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kusisitiza umuhimu wa kusitisha vita nchini Sudan, ameonya kuhusu utambulisho wake tata na athari zake zinazopanuka kwa nchi jirani na eneo kwa ujumla.

Kwa nini Afrika inadai fidia ya utumwa kutoka nchi za Magharibi?

Kwa nini Afrika inadai fidia ya utumwa kutoka nchi za Magharibi?

Afrika imeazimia ipasavyo kulipwa fidia ya kipindi cha utumwa kutoka nchi za Magharibi, na katika suala hili, Rais wa Ghana amechukua jukumu la kudai fidia ya kipindi cha utumwa Wazungu barani Afrika.

Je, mashinikizo ya Marekani yameufanya mchakato wa uteuzi wa Waziri Mkuu nchini Iraq kuwa tata zaidi?

Je, mashinikizo ya Marekani yameufanya mchakato wa uteuzi wa Waziri Mkuu nchini Iraq kuwa tata zaidi?

Gazeti la Al-Akhbar limeandika katika ripoti yake kwamba, kuongezeka kwa mashinikizo ya kisiasa ya Marekani dhidi ya Baghdad kumeufanya mchakato wa kuunda serikali mpya ya Iraq kuwa tata zaidi.

Je, mabadiliko ya mkakati wa ECOWAS yatarejesha utulivu Afrika Magharibi?

Je, mabadiliko ya mkakati wa ECOWAS yatarejesha utulivu Afrika Magharibi?

Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) waliokutano huko Abuja, mji mkuu wa Nigeria, wamelaani wimbi la mapinduzi ya kijeshi katika eneo hilo na kukubaliana kuunda kikosi cha pamoja cha kuchukua hatua za mapema za kukomesha mapinduzi na ukosefu wa usalama.