Nafasi ya juu ya kielimu ya Iran katika nchi za Kiislamu na dunia

Nafasi ya juu ya kielimu ya Iran katika nchi za Kiislamu na dunia

Makamu wa Rais katika Masuala ya Elimu na Teknolojia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Katika kivuli cha siasa za kistratijia za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, hivi sasa Iran ya Kiislamu imebadilika na kuwa nchi mashuhuri kielimu na yenye wasomi wakubwa na mashirika muhimu ya kiteknolojia.

Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli

Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli

Miaka 23 imepita tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa. Swali muhimu ni kwamba, je, miaka 23 baada ya Intifadha ya Al-Aqsa, ni matukio gani yameshuhudiwa katika mgogoro wa Palestina na Wazayuni.

Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya  irada ya wanasayansi wa Iran

Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi wa Iran

Kupitia ujumbe, rais wa Iran amesema kurushwa katika anga za mbali satelaiti ya Iran Nour 3 kwa kutumia kombora la Qased la Iran ni thibitisho la msemo kwamba "sisi tunaweza" na wakati huo huo ni dhihirisho la kufeli vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi vijana wa Iran.

Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu

Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu

Marta Hurtado, Msemaji wa Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, Jumatano alikosoa marufuku ya uvaaji hijabu kwa wanariadha wa Ufaransa katika michezo ya Olimpiki ya 2024, ambayo imepangwa kufanyika Paris mwaka ujao.

Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger

Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger

Hatimaye, baada ya wiki kadha za vuta nikuvute, Ufaransa imesalimu amri mbele ya takwa la Niger na kutangaza kwamba, balozi wa Ufaransa nchini Niger, Sylvian Itte, atarejea Paris katika saa chache zijazo.

Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan

Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan

Licha ya kupita miezi mingi, lakini ndio kwanza vita baina ya majenerali wa kijeshi vinaendelea nchini Sudan na hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo inazidi kuwa mbaya siku baada ya siku. Cha kusikitisha ni kuwa pamoja na hali kuwa mbaya kiasi hicho, lakini bado pande hasimu zinaendelea kufanya ukaidi wa kutokubali kusimamisha mapigano.

Kutiwa saini mkataba mpya wa usalama; Muungano wa kijeshi kati ya Mali, Niger na Burkina Faso

Kutiwa saini mkataba mpya wa usalama; Muungano wa kijeshi kati ya Mali, Niger na Burkina Faso

Baada ya kupita miezi kadhaa ya kushuhudiwa matukio ya kisiasa katika baadhi ya nchi za Kiafrika kama Mali na Burkina Faso na kuundwa serikali za kijeshi katika nchi hizo; hivi sasa nchi tatu yaani Niger, Burkina Faso na Mali zimesaini mkataba wa pamoja wa usalama ulipewa jina la " Muungano wa Nchi za Sahel."

Uvunjaji ahadi mwingine wa Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA

Uvunjaji ahadi mwingine wa Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA

Kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya Umoja wa Ulaya Alhamisi usiku, Josep Burrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya alitangaza kuwa nchi tatu za Ulaya, ambazo ni Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, zimemwandikia barua zikitangaza kwamba hazitaondoa vikwazo vya makombora dhidi ya Iran, ambavyo muda wake umepangwa kumalizika tarehe 18 Oktoba 2023.