-
Hakuna nchi inayopasa kutuhofia iwapo haiwasaidii wavamizi
Aug 24, 2026 13:49Iran imesema kuwa nchi hazipaswi kuwa na wasiwasi wowote kuhusu Jamhuri ya Kiislamu, isipokuwa pale zinapozipatia pande zinazotekeleza vitendo vya uhalifu na uvamizi vituo, miundombinu au zana ili kutekeleza mashambulizi dhidi yake.
-
Iran ndiyo nguvu mpya ya kikanda, si Marekani au 'Israel': The Atlantic
Aug 24, 2026 13:43Mtaalamu maarufu wa masuala ya kimikakati wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vimekuwa na matokeo kinyume na matarajio, na vimeshindwa kuilazimisha Tehran kusalimu amri, na badala yake vimeimarisha ushawishi wa Iran wa kikanda, vikifichua mipaka ya nguvu za kijeshi za Marekani na kugeuza Lango-Bahari la Hormuz kuwa chanzo kikuu cha ushawishi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Serikali ya Kenya: Haturuhusu ICC kuchunguza visa vya mashambulizi ya “wahuni”
Aug 24, 2026 13:39Serikali ya Kenya imekataa wito wa upinzani na mashirika ya kiraia kwa Mahakama ya Kimataifa unaotaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ichunguze ongezeko la ghasia za kisiasa nchini humo katia kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2027.
-
Ripota Maalumu wa UN atoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kulinda Wapalestina Ukingo wa Magharibi na Gaza
Aug 24, 2026 13:34Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Maeneo Yanayokaliwa kwa ya Palestina, Francesca Albanese, ametoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kuwalinda Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Ukanda wa Gaza.
-
Watu wasiopungua 30 wamefariki dunia kufuatia kuporomoka rundo kubwa la taka huko Conakry, Guinea
Aug 24, 2026 13:31Watu wasiopungua 30 wamefariki dunia baada ya rundo kubwa la taka kuporomoka katika dampo kubwa zaidi huko Conakry, nchini Guinea.
-
15 hours ago -
Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya
2 days ago -
Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani
2 days ago -
Namna shambulio la kijeshi dhidi ya Iran lilivyoikatisha tamaa Ulaya
5 days ago -
Maombolezo ya Imam Askari (AS) Hadi Mapambazuko ya Matumaini
5 days ago -
Vita dhidi ya Iran na Mgogoro katika Akiba ya Kimkakati ya Mafuta ya Marekani
5 days ago -
Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?
6 days ago
-
Pezeshkian: Ulimwengu umeshangazwa na ustahimilivu wa Iran katika vita vya Marekani na Israel
-
Maafisa wa jeshi la Israel: Netanyahu anataka kushadidisha vita ili uchaguzi usifanyike
-
Iran ndiyo nguvu mpya ya kikanda, si Marekani au 'Israel': The Atlantic
-
PGSA: Iran itazuilia na kutwaa meli zinazokiuka sheria za Lango-Bahari la Hormuz
-
Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya
-
Kaimu Waziri wa Ulinzi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitasalimu amri kwa kuwekewa mashinikizo
-
Malik Agar: Chaguo letu ni suluhisho la kijeshi hadi mazingira ya mazungumzo yatakapotimizwa
-
Mkuu wa Usalama: Iran itaendelea kufunga Hormuz hadi Marekani itimize majukumu yake
-
Hakuna nchi inayopasa kutuhofia iwapo haiwasaidii wavamizi
-
Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani
Vita vya Kiuchumi vya Trump Dhidi ya Iran: Chombo Ambacho Hakifanyi Kazi Tena
Katika kujibu vitisho vipya vya Donald Trump dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, "kung'ang'ania sera zilizofeli kutapelekea tu kushindwa zaidi na kuchochea chuki ya wananchi wa Iran dhidi ya watawala wa Marekani."
Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya
Katika uchambuzi wake wa hivi karibuni, jarida la Foreign Affairs linataja vita dhidi ya Iran kama hatua muhimu inayoharakisha kuporomoka kwa mfumo wa kikanda unaoongozwa na Marekani na kudhihiri taratibu mabadiliko yanayoweza kubadili mitazamo na mikakati ya kiusalama ya mataifa ya Asia Magharibi katika miaka ijayo.
Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani
Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena ametishia kuishambulia Oman kwa mabomu, nchi iliyo na nafasi muhimu katika mazungumzo yanayohusu Iran pamoja na masuala yanayohusiana na usafiri wa baharini katika Lango Bahari la Hormuz.
Namna shambulio la kijeshi dhidi ya Iran lilivyoikatisha tamaa Ulaya
Vita vinavyoendeshwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran si mgogoro wa kijeshi wa eneo dogo tu katika Asia Magharibi. Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz na kuvurugika kimataifa usambazaji wa nishati kumetikisa uchumi wa dunia nzima, ambapo madhara yake yanaonekana wazi hadi katika kitovu cha Ulaya na Uingereza.
-
Vita dhidi ya Iran na Mgogoro katika Akiba ya Kimkakati ya Mafuta ya Marekani
5 days ago -
Namna Dunia Inavyorejea katika Enzi za Ukatili na Ufedhuli?
-
Kwa nini Nguvu ya Marekani Inaelekea Ukingoni?
-
Wakati Trump Anapokiuka Hata Ahadi Alizotoa kwa Washirika wake wa Kikanda!
-
Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?
-
Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?
-
Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia
-
Je, siasa zinapoingizwa michezoni, FIFA bado huwa ndiyo inayochukua maamuzi?
-
Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?
-
Lengo la Marekani kutokana na siasa zake zenye mgongano katika eneo la Asia-Pasifiki
-
Vita vya Kiuchumi vya Trump Dhidi ya Iran: Chombo Ambacho Hakifanyi Kazi Tena
15 hours ago -
Namna shambulio la kijeshi dhidi ya Iran lilivyoikatisha tamaa Ulaya
-
Matokeo ya Kuendelea Vita: Marekani Iliyodhoofika na Iran Iliyoimarika
-
Sababu na Umuhimu wa Makubaliano ya Makka
-
Kwa nini ushawishi wa Kizayuni nchini Marekani hauna tena taathira kama zamani?
-
Ufichuzi kuhusu kisingizio bandia kilichotumiwa na Trump kuishambulia Iran
-
Kwa nini Trump amekwama katika "fedheha ya kimkakati" katika vita dhidi ya Iran?
-
Tabia za Marekani Kudumisha Mvutano katika uhusiano wake na Iran
-
Mgawanyiko kati ya Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Kuhusu Vita vya Marekani dhidi ya Iran
-
Gharama Halisi ya Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Mara Nne ya Makadirio ya Pentagon
-
Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya
2 days ago -
Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani
-
Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?
-
Kuanzia Uhamiaji hadi Kukimbia: Jinsi Ndoto ya Kizayuni ya "Nchi ya Ahadi" Ilivyoporomoka
-
Mauaji ya Kimbari: Sera Rasmi ya Wazayuni
-
Kwa nini ni lazima Marekani iondoke Asia Magharibi?
-
Mustakabali wa usalama wa eneo: Kwa nini nafasi muhimu ya nchi za kanda ni ya dharura?
-
Malengo yanayofuatiliwa na Marekani katika kuzichochea nchi za Kiarabu zikabiliane na Iran
-
Kwa nini shambulio la Saudi Arabia na Marekani dhidi ya Hashd al-Shaabi ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya Iraq?
-
Malengo ya Julani katika kuanzisha uadui dhidi ya kundi la Hashd al-Shaabi la Iraq
Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb
Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.
Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano
Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.
-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
6 months ago -
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
8 months ago -
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
8 months ago -
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
8 months ago