-
Spika Qalibaf: Hormuz haitafunguliwa hadi pale Marekani itakapotimiza masharti ya Iran
Sep 20, 2026 14:01Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema, Mlango-Bahari wa Hormuz utaendelea kufungwa hadi pale Marekani itakapotambua haki za Jamhuri ya Kiislamu na kutimiza masharti yake iliyotoa kwa ajili ya kuhitimishwa vita.
-
Netanyahu aungana na walowezi zaidi ya laki moja kuuvunjia heshima Msikiti wa Al-Aqsa
Sep 20, 2026 13:59Sambamba na Wazayuni zaidi ya 100,000 kuvamia Msikiti Mtukufu wa Al-Aqsa, waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu naye pia ameungana na wazayuni hao katika kulivunjia heshima eneo hilo takatifu kwa kufika hadi kando ya ukuta wake wa Buraq na kwenye njia zake za chini kwa chini.
-
49 waaga dunia, 182 walazwa hospitalini Nigeria baada ya kunywa pombe yenye sumu
Sep 20, 2026 13:51Watu 49 wameaga dunia na wengine 182 wamelazwa hospitalini katika jimbo la Ondo, kusini-magharibi mwa Nigeria wakishukiwa kwamba wameathiriwa na sumu iliyokuwemo kwenye pombe.
-
Kituo kisicho halali kinachohusishwa na ubalozi wa Ufaransa mjini Tehran chafungwa
Sep 20, 2026 13:39Kituo kisicho halali kinachohusishwa na ubalozi wa Ufaransa, ambacho kilikuwa kikifanya shughuli zake kwa kisingizio cha kutoa mafunzo ya lugha, kimefungwa kwa amri ya Mwendesha Mashtaka wa Tehran.
-
Na’im Qassem: Kukabiliana na utawala wa Israel kunawezekana tu kupitia muqawama
Sep 20, 2026 13:07Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, kukabiliana na ubeberu na utawala wa Israel kunawezekana tu kupitia muqawama na mapambano.
-
9 hours ago -
Je, madhara ya uchokozi wa kijeshi dhidi ya Iran yameathiri vipi uchaguzi wa Marekani?
1 day ago -
Je, Mpango wa "Kuifanya Yemen kama Syria" Ulifeli Vipi?
3 days ago -
Je, BRICS iko tayari kuwa na nafasi athirifu zaidi katika mfumo wa dunia?
3 days ago -
Je, Muqawama wa Yemen Ulishindaje Mkakati wa Saudi Arabia?
6 days ago -
Je, BRICS Itazuia Vipi Siasa na Hatua za Upande Mmoja za Marekani?
7 days ago -
Shambulio la Marekani dhidi ya Meli za Mafuta za Iran: Mvutano Wahama kutoka Shinikizo la Kiuchumi hadi Mapigano ya Kijeshi
7 days ago
-
Qalibaf asema enzi ya ndege za Marekani aina ya F-35 “kuwindwa” imeanza
-
Maafisa 6 wa Marekani: Idadi ya Wamarekani waliouawa katika vita na Iran ni zaidi ya takwimu za Pentagon
-
Jenerali Rezaei: Msimamo wa nyuklia wa Iran hauajabadilika, lakini uwezekano wa kujiondoa katika NPT upo
-
Ripoti: Idadi ya wanajeshi wa Marekani waliouawa katika vita dhidi ya Iran yazidi takwimu rasmi za Idara ya Vita
-
“Machozi ya kinafiki”: Araghchi amjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusu madai ya haki za binadamu
-
Kansela wa Ujerumani: Enzi ya urafiki usio na masharti na Marekani imekwisha
-
Rais wa Belarus: Wairani hawajawahi kumpigia magoti mtu yeyote
-
Marekani yajitoa Baraza la Haki za Binadamu baada ya ujumbe wa UN kuitaja kuwa ilifanya uhalifu wa kivita nchini Iran
-
Iran yamnyonga jasusi wa utawala wa Israel aliyetoa taarifa za maeneo ya kijeshi
-
Ripoti: Syria yakataa ombi la Saudia la kutuma mamluki dhidi ya vikosi vya Yemen
Je, Mpango wa "Kuifanya Yemen kama Syria" Ulifeli Vipi?
Vyanzo vya habari mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen, vimeripoti kuhusu njama kubwa ya kuifanya Yemen ikabiliwe na hali ya machafuko kama ile ya Syria, mpango ambao hatimaye umefeli licha ya kushirikishwa makundi ya kitakfiri yanayohusishwa na utawala wa muda wa Al-Julani.
Je, Muqawama wa Yemen Ulishindaje Mkakati wa Saudi Arabia?
Kufuatia matukio ya hivi karibuni nchini Yemen, Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa ikisisitiza kuwa kutatuliwa matatizo ya Yemen hakuwezekani kupitia kuendelezwa mzingiro na utunishaji misuli ya kijeshi.
Je, BRICS Itazuia Vipi Siasa na Hatua za Upande Mmoja za Marekani?
Mkutano wa 18 wa kilele wa BRICS mjini New Delhi unafanyika wakati ambapo kundi hilo si tena kama muungano wa kiuchumi wa mataifa yanayoinukia pekee; bali, limebadilika kuwa jukwaa muhimu la mashindano kuhusu sura ya baadaye ya mfumo wa dunia.
Shambulio la Marekani dhidi ya Meli za Mafuta za Iran: Mvutano Wahama kutoka Shinikizo la Kiuchumi hadi Mapigano ya Kijeshi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kupitia taarifa kuwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayatasita kutumia haki yake ya kimsingi ya kujilinda kisheria na kwamba yatajibu vikali na ipaswavyo kitendo chochote cha uchokozi wa kijeshi wa adui.
-
Je, BRICS iko tayari kuwa na nafasi athirifu zaidi katika mfumo wa dunia?
3 days ago -
Je, BRICS Itazuia Vipi Siasa na Hatua za Upande Mmoja za Marekani?
-
Namna Ulaya Ilivyojiweka Mbali na Uhuru Wake wa Kimkakati
-
Vita dhidi ya Iran na Mgogoro katika Akiba ya Kimkakati ya Mafuta ya Marekani
-
Namna Dunia Inavyorejea katika Enzi za Ukatili na Ufedhuli?
-
Kwa nini Nguvu ya Marekani Inaelekea Ukingoni?
-
Wakati Trump Anapokiuka Hata Ahadi Alizotoa kwa Washirika wake wa Kikanda!
-
Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?
-
Kwa nini upinzani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran unaongezeka nchini Marekani?
-
Ashura; Shule ya Ufahamu na Uaminifu Iliyovuka Mipaka ya Historia
-
Congress Yapinga Kuendelea Vita Dhidi Iran; Kupanuka Pengo Kati ya White House na Bunge
9 hours ago -
Je, madhara ya uchokozi wa kijeshi dhidi ya Iran yameathiri vipi uchaguzi wa Marekani?
-
Shambulio la Marekani dhidi ya Meli za Mafuta za Iran: Mvutano Wahama kutoka Shinikizo la Kiuchumi hadi Mapigano ya Kijeshi
-
Kwa nini Marekani Inahusisha Mgogoro wa Yemen na Iran?
-
Kwa nini Ulaya imekuwa tena chombo cha mashinikizo cha Marekani?
-
Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Matokeo ya Wazi na ya Siri kwa Wamarekani
-
"Kutengwa Kiuchumi": Je, ni Onyesho la Nguvu au Dhihirisho la Mapungufu ya Marekani?
-
Mafuta kwa Dola 40: Mgongano kati ya Ndoto ya Washington na Uhalisia wa Soko la Dunia
-
Kwa nini Marekani inakanusha vita ilivyoanzisha yenyewe?
-
Kuanzia Reuters hadi The New York Times: Ushahidi wa Kushambuliwa Sherehe ya Harusi huko Kuhestak kwa Silaha za Marekani
-
Je, Mpango wa "Kuifanya Yemen kama Syria" Ulifeli Vipi?
3 days ago -
Je, Muqawama wa Yemen Ulishindaje Mkakati wa Saudi Arabia?
-
Je, vita vimezidisha vipi hali ya kutengwa kielimu utawala wa Kizayuni?
-
Malengo ya utawala wa Kizayuni ya kubakisha majeshi yake katika ardhi ya Syria
-
Amani ya Kudumu Katika Eneo Itapatikana tu Pale Utawala wa Kizayuni Utakapopokonywa Silaha za Nyuklia
-
Je, Vita vya Marekani Dhidi ya Iran Vimesababisha Vipi Nakisi ya Bajeti katika Uchumi wa Qatar?
-
Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya
-
Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani
-
Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?
-
Kuanzia Uhamiaji hadi Kukimbia: Jinsi Ndoto ya Kizayuni ya "Nchi ya Ahadi" Ilivyoporomoka
Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb
Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.
Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?
Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.
Machungu ya Ukoloni | Eritrea: Chini ya kivuli cha apathaidi ya Italia, simulizi ya udhalilishaji na mapambano
Ukandamizaji wa kikoloni wa Italia nchini Eritrea haukuwa tu mradi wa upanuzi wa ushawishi wa kisiasa, bali ulikuwa mfumo uliosimikwa juu ya uvamizi wa kijeshi, ubaguzi wa rangi au apathaidi, ukandamizaji wa upinzani, na utumwa. Mfumo huu wa kikoloni ulifikia kilele mwaka 1938, katikati ya jiji la Roma, hatua ya malalmiko iliyochukuliwa na Zerai Deres ilipofichua wazi unafiki na ukatili wa utawala huo.
Machungu ya ukoloni: Pamba, moto, na njaa; faili la umwagaji damu la Ujerumani Afrika Mashariki
Ukoloni katika karne ya 19 na 20 haukuwa tu ukihusiana na kueneza bendera katika ramani ya dunia; bali ulikuwa mradi uliopangwa wa kutwaa ardhi, rasilimali, na nguvukazi ambao ulibadilisha miundo ya kiuchumi na kijamii ya watu waliokuwa chini ya ukoloni.
-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
7 months ago -
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
9 months ago -
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
9 months ago -
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
9 months ago