-
Spika wa Bunge la Iran akiwa rubani katika safari yake Lebanon + VIDEO
Oct 13, 2024 12:48Mohammad Bagher Ghalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) jana aliwasili Lebanon akiwa rubani wa ndege ya ujumbe wa Iran aliouongoza.
-
Ansarullah yasambaza mkanda wa video unaoonesha namna inavyozamisha meli za maadui + Video
Jun 20, 2024 07:08Afisa mmoja wa harakati ya Ansarullah wa Yemen amethibitisha kuwa harakati hiyo imesambaza mkanda wa video unaoonesha operesheni za harakati hiyo dhidi ya meli ya Tutor iliyokaidi marufuku ya kutoelekea kwenye bandari za utawala wa Kizayuni.
-
Vita vyaisababishia Sudan hasara ya zaidi ya dola bilioni 200 + Video
Jun 09, 2024 03:18Vita vya uchu wa madaraka baina ya majenerali wa kijeshi vinavyoendelea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa, vimeusababishia uchumi wa Sudan, hasara ya zaidi ya dola bilioni 200.
-
Al-Qassam: Tumeangamiza na kukamata mateka askari kadhaa wa Kizayuni + Video
May 26, 2024 07:43Abu Obeida, Msemaji wa Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, wapiganaji wa brigedi hizo wamekinasa kwa kukiwekea chambo chini ya handaki kikosi cha jeshi la Kizayuni na kufanikiwa kuwaangamiza, kuwajeruhi na kuwakamata mateka askari kadhaa wa jeshi hilo katika eneo la kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
UN: Ufanyike uchunguzi kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza + Video
Apr 24, 2024 08:12Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu makaburi ya umati yaliyogunduliwa katika hospitali kuu mbili za Ukanda wa Gaza.
-
Rais wa Iran awasili Pakistan katika ziara ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara na usalama
Apr 22, 2024 06:42Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili katika mji mkuu wa Pakistan Islamabad katika ziara rasmi ya kikazi yenye lengo la kuimarisha usalama na uhusiano wa kibiashara kati ya nchi mbili.
-
Waziri wa Israel: Mashambulizi ya Iran yameharibu kambi mbili kuu za jeshi; akejeli taarifa za Israel kushambulia Iran + Video
Apr 19, 2024 10:23Waziri wa Usalama wa Ndani ya serikali ya Benjamin Netayahu amekiri kwamba shambulio la kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel limesababisha hasara kubwa za kijeshi kwa utawala wa Kizayuni na wakati huo huo ameziita taarifa zilizodai kuwa utawala wa Kizayuni umefanya shambulizi ndani ya Iran leo Ijumaa kuwa ni istihzai.
-
PressTV: Makombora yote ya hypersonic yaliyotumiwa na Iran dhidi ya Israel yalilenga shabaha + Video
Apr 15, 2024 13:45Makombora yote ya hypersonic yaliyotumiwa katika mashambulizi ya Iran ya kuiadhibu Israel yamepiga malengo yaliyokusudiwa baada ya kukwepa mifumo ya ulinzi ya anga ya utawala huo harami na washirika wake.
-
Makombora ya kisasa ya Iran ambayo Israel inayaogopa
Apr 13, 2024 06:09Klipu hii ina maelezo ya makombora tisa ya kisasa kabisa ya Iran yenye usahihi wa hali ya juu ambayo yameuingiza woga utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waislamu DRC ni waungaji mkono wa Quds na kadhia nzima ya Palestina + Video
Apr 04, 2024 11:38Masheikh wawili maarufu wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamezungumzia umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds na uungaji mkono wa Waislamu wa nchi hiyo kwa kadhia nzima ya Palestina hususan Ghaza.