Ripoti
-
HAMAS yaendelea kuitwanga kwa makombora Tel Aviv, mji mkuu wa utawala wa Kizayuni + Video
Dec 03, 2023 08:00Brigedi za Izzuddin al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu HAMAS zimetangaza usiku wa kuamkia leo kwamba umeendelea kuipiga kwa makombora miji ya utawala wa Kizayuni ukiwemo mji mkuu Tel Aviv ili kujibu jinai za israel dhidi ya wananchi wa Ghaza.
-
Kampuni ya Ufaransa ya AGL yalalamikiwa kwa kutowajibika Bandarini Zanzibar + SAUTI
Dec 02, 2023 11:06Uamuzi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wa kuikabidhi shughuli za uendeshaji wa Bandari ya Malindi kampuni ya Ufaransa ya AGL kwa lengo la kuongeza ufanisi katika bandari hiyo hauonekani kuzaa matunda yaliyokusudiwa kutokana na kampuni hiyo ya nchi ya Ulaya kulalamikiwa vikali.
-
Sh. Stambuli Abdillahi Nassir: Hakuna matarajio ya hatua za maana kutoka kwa mataifa ya Kiarabu kuhusu Palestina +SAUTI
Nov 13, 2023 14:41Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kutekeleza mauaji ya kimbari huko Gaza Palestina huku asasi zote muhimu za kimataifa likiwemo Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikishindwa kusitisha unyama huo wa Israel.
-
Ajuza Muisrael aliyekuwa mateka asimulia alivyokirimiwa na wapiganaji wa HAMAS+VIDEO
Oct 24, 2023 14:32Mwanamke mzee Muisrael aliyeachiliwa huru na wapiganaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema alikirimiwa na kutendewa wema katika muda wa wiki mbili alipokuwa ameshikiliwa mateka na kundi hilo la wanamapambano wa Palestina.
-
Waziri Mkuu wa Canada azomewa msikitini, aambiwa "huna haya"! + Video
Oct 22, 2023 03:21Wakati wa ziara yake ya kutembelea msikiti mjini Toronto, Waziri Mkuu wa Canada amezomewa na hadhirina kotokana na msimamo wake kuhusu mauajii yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina ambako amepatwa na tahayuri asijue la kufanya.
-
Mwanajeshi Mzayuni atoa amri ya kuuliwa Waarabu wote + VIDEO
Oct 14, 2023 13:37Duru za Kizayuni zimesambaza mkanda wa video unaomuonesha mwanajeshi mmoja Mzayuni akitoa amri kwa wanajeshi wenzake na Wazayuni kwa ujumla kuhakikisha wanawaua Waarabu wote na wasimbakishe hata mtoto mdogo.
-
Ripoti ya Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki+SAUTI
Oct 14, 2023 05:04Ripoti ya Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki+SAUTI Inaletwa kwenu na mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit
-
Askari Mzayuni awabembeleza wanamapambano wa Palestina wasimuue + VIDEO
Oct 13, 2023 02:36Wanamapambano wa Palestina wamesambaza mkanda wa video unaomuonesha askari wa Tel Aviv akitetemeka mwili mzima huku akiwaomba kwa kubembeleza wanamapambano wa Palestina wasimuue.
-
Mapokezi makubwa ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Iran +VIDEO
Oct 12, 2023 13:38Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria alivyolakiwa na umati mkubwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)
-
Jinsi Sheikh Zakzaky alivyopokewa Iran+VIDEO
Oct 12, 2023 13:35Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano na kulakiwa umati mkubwa wa wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imamu Khomeini (RA)