-
Je, ushirikiano wa serikali za Magharibi na Wazayuni katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina una kiwango na mpaka?
Jul 14, 2025 11:46Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza katika indhari liliyotoa hivi karibuni kwamba hali ya huduma za afya katika Ukanda wa Ghaza imefikia kiwango cha maafa.
-
Kupungua uungaji mkono wa wafuasi wa MAGA kwa vita vya Israel dhidi ya Iran; sababu, matokeo na athari zake kwa siasa za Marekani
Jul 14, 2025 09:11Katika miezi ya hivi karibuni, anga ya kisiasa ya Marekani imeshuhudia mabadiliko makubwa katika mtazamo wa wafuasi wa MAGA yenye maana ya Ifanye Tena Kuu Marekani, (Make America Great Again) kuhusiana na vita vya Israel dhidi ya Iran.
-
Kwa nini Trump amemwekea vikwazo Rais wa Cuba?
Jul 13, 2025 14:00Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza vikwazo vipya vya fedha dhidi ya Rais wa Cuba Miguel Díaz-Canel na maafisa wengine waandamizi wa nchi hiyo pamoja na marufuku ya usafiri kwa kisingizio cha kukandamiza maandamano ya amani yaliyofanyika mwaka 2021.
-
Jibu la suali la leo; kwa nini Albanese anasema hakuna tena mistari myekundu baada ya yeye kuwekewa vikwazo na Marekani?
Jul 13, 2025 07:58Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, ametangaza kwamba uamuzi wa Marekani wa kumuwekea vikwazo unaonyesha kuwa hakuna tena mstari mwekundu wowote.
-
Spika wa Bunge la Iran akiwa rubani katika safari yake Lebanon + VIDEO
Oct 13, 2024 12:48Mohammad Bagher Ghalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) jana aliwasili Lebanon akiwa rubani wa ndege ya ujumbe wa Iran aliouongoza.
-
Ansarullah yasambaza mkanda wa video unaoonesha namna inavyozamisha meli za maadui + Video
Jun 20, 2024 07:08Afisa mmoja wa harakati ya Ansarullah wa Yemen amethibitisha kuwa harakati hiyo imesambaza mkanda wa video unaoonesha operesheni za harakati hiyo dhidi ya meli ya Tutor iliyokaidi marufuku ya kutoelekea kwenye bandari za utawala wa Kizayuni.
-
Vita vyaisababishia Sudan hasara ya zaidi ya dola bilioni 200 + Video
Jun 09, 2024 03:18Vita vya uchu wa madaraka baina ya majenerali wa kijeshi vinavyoendelea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa, vimeusababishia uchumi wa Sudan, hasara ya zaidi ya dola bilioni 200.
-
Al-Qassam: Tumeangamiza na kukamata mateka askari kadhaa wa Kizayuni + Video
May 26, 2024 07:43Abu Obeida, Msemaji wa Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, wapiganaji wa brigedi hizo wamekinasa kwa kukiwekea chambo chini ya handaki kikosi cha jeshi la Kizayuni na kufanikiwa kuwaangamiza, kuwajeruhi na kuwakamata mateka askari kadhaa wa jeshi hilo katika eneo la kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
UN: Ufanyike uchunguzi kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza + Video
Apr 24, 2024 08:12Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu makaburi ya umati yaliyogunduliwa katika hospitali kuu mbili za Ukanda wa Gaza.
-
Rais wa Iran awasili Pakistan katika ziara ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara na usalama
Apr 22, 2024 06:42Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili katika mji mkuu wa Pakistan Islamabad katika ziara rasmi ya kikazi yenye lengo la kuimarisha usalama na uhusiano wa kibiashara kati ya nchi mbili.