Jan 24, 2024 06:57
Izzat al-Rishq, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, ukanda wa Ghaza utaendelea kuwa makaburi ya halaiki ya wanajeshi wa Israel waliouvamia ukanda huo na kwamba mfano wa wazi ni kuangamizwa wanajeshi 24 wa utawala wa Kizayuni kwa mkupuo mmoja siku chache zilizopita.