-
George Galloway: Minab ndio mauaji makubwa zaidi ya wanafunzi wasichana katika historia
Mar 03, 2026 12:41George Galloway, mbunge wa zamani wa Uingereza amesema mauaji ya halaiki yaliyofanywa na Marekani dhidi ya wasichana 167 waliokuwa na umri wa kati ya miaka 7 na 12 wakiwa madarasani katika Shule ya Msingi ya Minab nchini Iran ndio maafa makubwa zaidi yaliyowahi kufanywa na Marekani tangu wakati wa Vita vya Vietnam.
-
Kanali Msaudia: Imarati inafanya njama za kuigawa vipande vipande Saudi Arabia + Video
Dec 29, 2025 06:23Kanali mmoja mstaafu wa jeshi la Saudia ametoa kauli kali ambayo haijawahi kushuhudiwa dhidi ya Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) akisema kuwa, nchi hiyo ni mkono wa utawala wa Kizayuni unaofanya kazi ya kuzidhoofisha na kuziangamiza nchi za Kiarabu na hasa Saudi Arabia.
-
Mawimbi ya kwanza ya satelaiti tatu za Iran yapokewa ardhini kwa mafanikio + VIDEO
Dec 29, 2025 03:21Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran ametangaza kwamba mawimbi ya kwanza ya satelaiti zote tatu zilizobuniwa na kutengenezwa ndani ya Iran zinazoitwa "Zafar 2", "Paya" na "Kowsar" zilizotumwa angani Jumapili jioni Disemba 28, 2025 yamepokewa kwa mafanikio ardhini akisisitiza kuwa, hii inathibitisha uzima wa kiufundi na utendajikazi mzuri wa satelaiti hizo za Iran baada ya kuingia kwenye obiti.
-
Shujaa Muislamu aliyejitolea kupambana na gaidi kuwaokoa Mayahudi Australia + VIDEO
Dec 15, 2025 06:56Shujaa Muislamu ambaye video yake imeenea mno mitandaoni ikimuonesha akijitolea kwenda katikati ya ufyatuaji risasi na kujikubalisha kupigwa risasi lakini aweze kupambana na kumnyang'anya silaha gaidi aliyekuwa anawafyatulia risasi Mayahudi huko Sydney, anaendelea kupongezwa kote duniani na kuambiwa kwamba ni shujaa ambaye kujitolea kwake kumeweza kuoko maisha ya watu wengi.
-
Ulimwengu wa Michezo
Dec 11, 2025 09:04Karibuni mashabiki na wapenzi wa michezo popote pale mlipo katika kipindi chenu hiki cha Ulimwengu wa Michezo kutoka Idhaa ya Kiswahili Radio Tehran. Leo kapu letu la habari za michezo limesheheni habari kemkem kama ilivyo ada na desturi yake. Mimi ni Ahmed Rashid, karibuni.
-
Waandamanaji wa Afrika Kusini wataka Israel iwaachilie wanaharakati wa msafara wa Gaza
Oct 04, 2025 11:15Waandamanaji waliokusanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel nchini Afrika Kusini siku ya Ijumaa wametoa wito wa kuachiliwa kwa wanaharakati raia wa Afrika Kusini na wengine wote waliotekwa nyara na majeshi ya Israel wakiwa katika msafara wa meli unaojulikana kama Sumud uliokuwa ukielekea Gaza kupelekea misaada ya kibinadamu.
-
Jeshi la Majini la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza
Jul 27, 2025 07:21Jeshi la majini la utawala ghasibu wa Israel limeiteka meli ya misaada iliyokuwa ikielekea Ukanda wa Gaza, ikiwa na bendera ya Uingereza, katika harakati za kuvunja mzingiro mkali wa eneo hilo unaoendelea tangu mwaka 2007.
-
Familia ya Kipalestina yalazimika kula majani ya mti kutokana na kukosa chakula
Jul 27, 2025 03:17Maafa ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina yamefikia kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa, ambapo watu waliozingirwa na uhaba mkubwa wa chakula wanalazimika kula majani ya mti ili kukidhi njaa yao.
-
Satelaiti ya Iran, Nahid-2, yarushwa katika anga za mbali kwa mafanikio
Jul 25, 2025 10:57Satelaiti ya mawasiliano na utafiti wa anga ya Iran, Nahid-2, iliyotengenezwa kikamilifu ndani ya nchi, imerushwa kwa mafanikio kuelekea anga za mbali Ijumaa, Julai 25, kwa kutumia roketi ya Kirusi ya Soyuz.
-
Vita vya Iran na Israel vyasambaa hadi katika ligi ya soka ya Argentina
Jul 01, 2025 02:32Mashabiki wa timu ya soka katika Ligi ya Argentina, katika mkesha wa mechi dhidi ya timu nyingine inayowakilisha Wayahudi wa nchi hiyo, wamekaribisha mechi hiyo kkwa kupeperusha bendera za Iran na Palestina.