-
Jeshi la Majini la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza
Jul 27, 2025 07:21Jeshi la majini la utawala ghasibu wa Israel limeiteka meli ya misaada iliyokuwa ikielekea Ukanda wa Gaza, ikiwa na bendera ya Uingereza, katika harakati za kuvunja mzingiro mkali wa eneo hilo unaoendelea tangu mwaka 2007.
-
Familia ya Kipalestina yalazimika kula majani ya mti kutokana na kukosa chakula
Jul 27, 2025 03:17Maafa ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina yamefikia kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa, ambapo watu waliozingirwa na uhaba mkubwa wa chakula wanalazimika kula majani ya mti ili kukidhi njaa yao.
-
Satelaiti ya Iran, Nahid-2, yarushwa katika anga za mbali kwa mafanikio
Jul 25, 2025 10:57Satelaiti ya mawasiliano na utafiti wa anga ya Iran, Nahid-2, iliyotengenezwa kikamilifu ndani ya nchi, imerushwa kwa mafanikio kuelekea anga za mbali Ijumaa, Julai 25, kwa kutumia roketi ya Kirusi ya Soyuz.
-
Vita vya Iran na Israel vyasambaa hadi katika ligi ya soka ya Argentina
Jul 01, 2025 02:32Mashabiki wa timu ya soka katika Ligi ya Argentina, katika mkesha wa mechi dhidi ya timu nyingine inayowakilisha Wayahudi wa nchi hiyo, wamekaribisha mechi hiyo kkwa kupeperusha bendera za Iran na Palestina.
-
Greta Thunberg ahimiza dunia kukabiliana na jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza
Jun 06, 2025 11:45Mwanaharakati maarufu wa mazingira kutoka Sweden, Greta Thunberg, amesema kuwa dunia inapaswa kuelekeza macho na msisitizo wake kwenye “mzingiro na ukandamizaji” unaoendelea kufanywa na utawala wa Israel dhidi ya watu wa Gaza na siyo safari yake ya baharini na kundi la kibinadamu linaloelekea Ukanda huo ulioko chini ya mzingiro.
-
Rais wa Ufaransa azabwa kibao na mkewe hadharani + Video
May 26, 2025 11:07Kitendo cha mke wa Rais wa Ufaransa cha kumzaba kibao mumewe hadharani mara baada ya kuwasili kwa ndege nchini Vietnam, kimempiga bumbuwazi Rais Emmanuel Macron aliyezabwa kibao hicho na kila aliyeangalia video hiyo.
-
Tanzania kunufaika na uwezo wa kiteknolojia wa Iran + Video
May 06, 2025 07:15Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika, ulifanyika kuanzia Aprili 27 hadi Mei 1, 2025 jijini Tehran kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 38 na wajumbe 51 rasmi. Mkutano huo pia ulifanyika sambamba na maonyesho ya uwezo wa kiuchumi wa Iran yajulikanayo kama IRAN EXPO 2025.
-
Miradi ya nyuklia ya Iran inaweza kuangamizwa?
Apr 12, 2025 16:41Kuna swali jepesi linaloulizwa lakini muhimu; nalo ni: kwa nini mpango wa nyuklia wa Iran hauwezi kuangamizwa, tena hata kwa shambulio la kijeshi?
-
Siku mbaya zaidi: Israeli yaua karibu watu 80 wa Ghaza katika shambulio kwenye zahanati ya UN
Apr 03, 2025 14:26Wimbi jipya la mashambulizi ya anga ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza yamesababisha takriban watu 77 kuuawa shahidi, ikiwa ni siku mbaya zaidi kwa Wapalestina tangu utawala katili wa Israel uanze tena mauaji yake ya kijinai na ya umati kwenye ukanda huo uliozingiwa kila upande.
-
Iran yazindua ‘Mji Mkubwa wa Makombora’ chini ya ardhi + Video
Mar 26, 2025 11:12Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) kimezindua “mji mkubwa wa makombora" ulioko chinia ya ardhi, ukiwa ni moja kati ya vituo vyake vingi vya aina hiyo.