-
Waandamanaji washambulia ubalozi wa Marekani Kinshasa, waliouawa Goma wapindukia mia moja
Jan 29, 2025 07:21Sambamba na machafuko yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), raia wa nchi hiyo wameshambulia ubalozi wa Marekani na nchi nyingine kadhaa za Magharibi mjini Kinshasa na kuchoma moto baadhi ya ofisa za balozi hizo wakipinga uingiliaji kati wa nchi hizo katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman wazidi kustawi
Jan 29, 2025 03:36Waziri wa Viwanda, Madini na Biashara wa Iran ametangaza habari ya kuzidi kustawi na kuimarika uhusiano wa kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Oman.
-
Maelfu waandamana Washington dhidi ya Trump kabla ya kuapishwa tena kuwa rais wa Marekani
Jan 19, 2025 11:21Makumi ya maelfu ya Wamarekani wameandamana katika mji mkuu Washington dhidi ya rais mteule Donald Trump anayetazamiwa kuapishwa kesho Jumatatu.
-
Ulimwengu wa Michezo Januari 13, 2025
Jan 18, 2025 07:18Karibuni wapenzi wa spoti katika dakika hizi chache za kutupia jicho habari mbalimbali za Ulimwengu wa Michezo. Huenda leo kipindi chetu kikaangalia engo tofauti na tulivyoizoea ya michezo. Lakini pia tutavinjari kwenye viwanja mbalimbali vya spoti kama pale nyasi zilipowaka moto kwenye uwanja wa Gombani, mkoa wa Kusini Pemba katika mashindano ya Mapinduzi Cup, lakini zaidi tutajikita zaidi kwenye engo mpya kidogo. Mtayarishaji na msimulizi wako wiki hii ni mimi Ahmed Rashid.
-
Axios: Denmark iko tayari kuiruhusu US iimarishe uwepo wake wa kijeshi katika eneo la Greenland
Jan 13, 2025 03:28Tovuti ya habari ya Axios imeripoti kuwa Denmark imewasiliana kimyakimya na timu ya rais mteule wa Marekani Donald Trump na kuonyesha utayari wa kujadili kuimarishwa uwepo wa jeshi la Marekani katika eneo la Greenland.
-
Maandamano makubwa yafanyika Paris kuunga mkono Palestina
Jan 12, 2025 12:34Mji mkuu wa Ufaransa Paris umeshuhudia maandamano makubwa ya kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala dhalimu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Moto wa nyika wa Los Angeles wateketeza miundo 10,000 huku moto mwingine mpya ukisambaa
Jan 10, 2025 10:29Mioto miwili ya nyika iliyozuka katika eneo la Los Angeles nchini Marekani imeua watu wasiopungua 10 na kuteketeza miundo zikiwemo nyumba na majengo yapatayo 10,000, huku moto mwingine wa tatu ukilazimisha maelfu mengine ya watu kuhama makazi yao.
-
Mzayuni mwenye misimamo mikali atupwa nje ya ndege baada ya kuivunjia heshima Palestina + Video
Jan 07, 2025 13:35Abiria wa kiyahudi mwenye misimamo ya kufurutu ada amefukuzwa na kushushwa kwenye ndege ya shirika la ndege la American Airlines baada ya kuvunjia heshima nembo ya mshikamano na Wapalestina.
-
Imethibitika: Gaidi aliyeua watu Ujerumani hana mfungamano na Uislamu
Dec 21, 2024 13:40Polisi ya Ujerumani imetangaza kuwa shambulizi soko la Krismasi huko Magdeburg halina mfungamano au msukumo wowote wa 'Kiislamu'.
-
Mshauri wa Rais wa Iran: Tehran na Cairo zina azma ya kuanzisha tena uhusiano
Dec 20, 2024 02:54Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Rais wa Iran amesema kuwa kuna matumaini kwamba katika siku zijazo kutafunguliwa tena balozi za Iran na Misri katika miji mikuu ya pande hizo mbili kwa kuzingitia hatua zilizochukuliwa hadi sasa.