-
Kuendelea mashambulizi na jinai za Wazayuni kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi
Feb 25, 2025 02:28wanajeshi wa utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameshambulia maeneo mbalimbali katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Mwana wa Nasrullah asema siku ya Jumapili ya mazishi ya baba yake ni "Siku ya Kutangaza Msimamo"
Feb 22, 2025 06:07Sayyid Muhammad Mahdi Nasrullah, mwana wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon aliyeuawa shahidi amesema katika hotuba ya kuwatolea mwito watu kuhudhuria mazishi ya baba yake kwamba: "kushiriki katika mazishi ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah kutakuwa ni kushiriki mtu katika siku ya kutangaza msimamo na kudhihirisha kivitendo mapenzi yake kwa Shahidi Nasrullah".
-
Al-Alam yaripoti hasira za Wazayuni kutokana na HAMAS kutumia gari ya Israel kukabidhi mateka + Video
Feb 02, 2025 02:52Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeshangaa sana baada ya kuona Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS inatumia gari jeusi ililoliteka kwa wanajeshi wa Israel katika kukabidhi wafungwa Wazayuni iliokuwa inawashikilia kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
Baraza la Mawaziri latangaza tena itiifu wao kwa malengo ya kiongozi mwasisi, Imam Khomeini
Feb 01, 2025 12:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na baraza lake la mawaziri mapema leo wamezuru haram ya mwasisi Jamhuri ya Kiislamu na kutangaza tena utiifu na mfungamano wao kwa thamani na malengo ya Imam Ruhullah Khomeini (Mwenyezi Mungu amrehemu).
-
Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran yamebadilisha utaratibu wa dunia: Mhadhiri mwandamizi wa Ghana
Feb 01, 2025 12:56Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Ghana Dk Munir Mustapha amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yamebadilisha mfumo wa dunia na ameyataja kuwa ndiyo yenye nguvu kubwa na ambayo yamekuwa na taathira kubwa imeyozidisha ushawishi wa Iran katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ujumbe wake wa demokrasia ya kidini.
-
Maiti 30 zaopolewa mtoni baada ya ndege ya abiria kugongana na helikopta Marekani
Jan 30, 2025 12:50Kwa akali miili 30 imetolewa katika maji ya Mto Potomac kufuatia ajali ya kugongana ndege moja ya abiribia na helikopta ya kijeshi jirani na Uwanja wa Ndege wa Reagan mjini Washinton DC Marekani.
-
Waandamanaji washambulia ubalozi wa Marekani Kinshasa, waliouawa Goma wapindukia mia moja
Jan 29, 2025 07:21Sambamba na machafuko yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), raia wa nchi hiyo wameshambulia ubalozi wa Marekani na nchi nyingine kadhaa za Magharibi mjini Kinshasa na kuchoma moto baadhi ya ofisa za balozi hizo wakipinga uingiliaji kati wa nchi hizo katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman wazidi kustawi
Jan 29, 2025 03:36Waziri wa Viwanda, Madini na Biashara wa Iran ametangaza habari ya kuzidi kustawi na kuimarika uhusiano wa kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Oman.
-
Maelfu waandamana Washington dhidi ya Trump kabla ya kuapishwa tena kuwa rais wa Marekani
Jan 19, 2025 11:21Makumi ya maelfu ya Wamarekani wameandamana katika mji mkuu Washington dhidi ya rais mteule Donald Trump anayetazamiwa kuapishwa kesho Jumatatu.
-
Ulimwengu wa Michezo Januari 13, 2025
Jan 18, 2025 07:18Karibuni wapenzi wa spoti katika dakika hizi chache za kutupia jicho habari mbalimbali za Ulimwengu wa Michezo. Huenda leo kipindi chetu kikaangalia engo tofauti na tulivyoizoea ya michezo. Lakini pia tutavinjari kwenye viwanja mbalimbali vya spoti kama pale nyasi zilipowaka moto kwenye uwanja wa Gombani, mkoa wa Kusini Pemba katika mashindano ya Mapinduzi Cup, lakini zaidi tutajikita zaidi kwenye engo mpya kidogo. Mtayarishaji na msimulizi wako wiki hii ni mimi Ahmed Rashid.