-
Axios: Denmark iko tayari kuiruhusu US iimarishe uwepo wake wa kijeshi katika eneo la Greenland
Jan 13, 2025 03:28Tovuti ya habari ya Axios imeripoti kuwa Denmark imewasiliana kimyakimya na timu ya rais mteule wa Marekani Donald Trump na kuonyesha utayari wa kujadili kuimarishwa uwepo wa jeshi la Marekani katika eneo la Greenland.
-
Maandamano makubwa yafanyika Paris kuunga mkono Palestina
Jan 12, 2025 12:34Mji mkuu wa Ufaransa Paris umeshuhudia maandamano makubwa ya kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala dhalimu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Moto wa nyika wa Los Angeles wateketeza miundo 10,000 huku moto mwingine mpya ukisambaa
Jan 10, 2025 10:29Mioto miwili ya nyika iliyozuka katika eneo la Los Angeles nchini Marekani imeua watu wasiopungua 10 na kuteketeza miundo zikiwemo nyumba na majengo yapatayo 10,000, huku moto mwingine wa tatu ukilazimisha maelfu mengine ya watu kuhama makazi yao.
-
Mzayuni mwenye misimamo mikali atupwa nje ya ndege baada ya kuivunjia heshima Palestina + Video
Jan 07, 2025 13:35Abiria wa kiyahudi mwenye misimamo ya kufurutu ada amefukuzwa na kushushwa kwenye ndege ya shirika la ndege la American Airlines baada ya kuvunjia heshima nembo ya mshikamano na Wapalestina.
-
Imethibitika: Gaidi aliyeua watu Ujerumani hana mfungamano na Uislamu
Dec 21, 2024 13:40Polisi ya Ujerumani imetangaza kuwa shambulizi soko la Krismasi huko Magdeburg halina mfungamano au msukumo wowote wa 'Kiislamu'.
-
Mshauri wa Rais wa Iran: Tehran na Cairo zina azma ya kuanzisha tena uhusiano
Dec 20, 2024 02:54Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Rais wa Iran amesema kuwa kuna matumaini kwamba katika siku zijazo kutafunguliwa tena balozi za Iran na Misri katika miji mikuu ya pande hizo mbili kwa kuzingitia hatua zilizochukuliwa hadi sasa.
-
Yemen yasisitiza kukabiliana na hujuma yote ya nchi ajinabi
Dec 19, 2024 03:11Muhammad Ali al Houthi mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa nchi hiyo iko tayari kikamilifu kukabiliana na uchokozi wowote dhidi ya Yemen.
-
Asilimia 96 ya Watoto wa Gaza Wanahisi Kifo cha Karibu Huku Vita Vikiendelea: Utafiti
Dec 14, 2024 08:53Utafiti mpya unaonyesha hali mbaya ya kisaikolojia ya vita vya miezi 14 vya Israel dhidi ya watoto wa Gaza.
-
Waziri wa Algeria atoka nje ya mkutano India kulalamikia kuwepo waziri wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 04, 2024 06:05Ujumbe wa Algeria, ukiongozwa na Waziri wake wa Biashara Tayeb Zitouni, umetuma salamu za kijasiri na za kivitendo katika Mkutano wa Ushirikiano (Patnership Summit) uliofanyika New Delhi, India kwa kutoka nje ya ukumbi mara baada ya kuwasili waziri wa uchumi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran yasisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati ya kuwakamata Netanyahu na Gallant
Nov 26, 2024 08:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kuwatia nguvuni Benjamin Netanyahu na Yoav Gallant, waziri mkuu na waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.