-
Imethibitika: Gaidi aliyeua watu Ujerumani hana mfungamano na Uislamu
Dec 21, 2024 13:40Polisi ya Ujerumani imetangaza kuwa shambulizi soko la Krismasi huko Magdeburg halina mfungamano au msukumo wowote wa 'Kiislamu'.
-
Mshauri wa Rais wa Iran: Tehran na Cairo zina azma ya kuanzisha tena uhusiano
Dec 20, 2024 02:54Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Rais wa Iran amesema kuwa kuna matumaini kwamba katika siku zijazo kutafunguliwa tena balozi za Iran na Misri katika miji mikuu ya pande hizo mbili kwa kuzingitia hatua zilizochukuliwa hadi sasa.
-
Yemen yasisitiza kukabiliana na hujuma yote ya nchi ajinabi
Dec 19, 2024 03:11Muhammad Ali al Houthi mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa nchi hiyo iko tayari kikamilifu kukabiliana na uchokozi wowote dhidi ya Yemen.
-
Asilimia 96 ya Watoto wa Gaza Wanahisi Kifo cha Karibu Huku Vita Vikiendelea: Utafiti
Dec 14, 2024 08:53Utafiti mpya unaonyesha hali mbaya ya kisaikolojia ya vita vya miezi 14 vya Israel dhidi ya watoto wa Gaza.
-
Waziri wa Algeria atoka nje ya mkutano India kulalamikia kuwepo waziri wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 04, 2024 06:05Ujumbe wa Algeria, ukiongozwa na Waziri wake wa Biashara Tayeb Zitouni, umetuma salamu za kijasiri na za kivitendo katika Mkutano wa Ushirikiano (Patnership Summit) uliofanyika New Delhi, India kwa kutoka nje ya ukumbi mara baada ya kuwasili waziri wa uchumi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran yasisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati ya kuwakamata Netanyahu na Gallant
Nov 26, 2024 08:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kuwatia nguvuni Benjamin Netanyahu na Yoav Gallant, waziri mkuu na waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waziri wa Mafuta: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina changamoto yoyote katika kuuza mafuta nje ya nchi
Nov 25, 2024 13:28Waziri wa Mafuta wa Iran amesema kuwa Iran haina tatizo lolote katika uga wa kuuza na kusafirisha mafuta nje ya nchi.
-
SEPAH: Magaidi 88 wameangamizwa na kutiwa mbaroni kusini mashariki mwa Iran + Video
Nov 24, 2024 07:28Msemaji wa luteka ya kijeshi ya kambi ya Quds ya Jeshi la Nchi Kavu la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH ametangaza habari ya kuangamizwa na kutiwa mbaroni magaidi 88 katika mazoezi ya kijeshi ya mashahidi wa usalama kwenye mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran.
-
Jenerali wa Nigeria: Magaidi, waasi barani Afrika wanatumia silaha za Israel
Nov 17, 2024 08:01Jenerali mstaafu wa jeshi la Nigeria ambaye alikwenda katika nchi kadhaa za Afrika zikiwemo Mali na Liberia kwa ajili ya kulinda amani, amefichua kuwa silaha nyingi walizozikamata kutoka kwa magaidi na waasi wa nchi tofauti zinatoka Israel, jambo ambalo limeweka wazi mkono wa Wazayuni katika migogoro na ugaidi unaotokea katika baadhi ya nchi za Afrika.
-
Hizbullah yazindua mtambo mpya wa makombora
Oct 20, 2024 02:43Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imezindua mtambo wake wa maroketi wa M80 maalumu kwa kurushia maroketi ya kushambulia adui kutoka ardhini hadi ardhini.