-
Zawadi ya tunu ya HAMAS kwa Sayyid Hassan Nasrullah + VIDEO
Oct 04, 2024 07:59Brigedi za Izzuddin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimesambaza mkanda wa video na ndani yake wanatangaza kuwa operesheni hiyo ni zawadi kwa shahid wa Muqawama, Sayyid Hassan Nasrullah. Mkanda huo unaonesha mtego kabambe waliowawekea wanajeshi katili wa Israel na vifaru na mabuldoza yao na namna vinavyoteketezwa kimoja baada ya kingine huko Khan Yunus, katika Ukanda wa Ghaza.
-
Wazayuni washambulia tena vitongoji vya Beirut, Lebanon
Sep 28, 2024 07:58Ndega za kivita za utawala wa Kizayuni zinaendelea kumeshambulia kikatili mitaa ya kusini mwa Beirut, mji mkuu wa Lebanon.
-
Israel yaua watu wengine 72 na kujeruhi 400 Lebanon, Hizbullah yajibu mapigo kwa makombora
Sep 26, 2024 06:47Utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi watu wasiopungua 72 na kuwajeruhi wengine 400 nchini Lebanon katika siku ya tatu mtawalia ya mashambulizi ya kiwendawazimu unayofanya katika ardhi ya nchi hiyo sambamba na makabiliano yanayoendelea baina yake na harakati ya Muqawama ya Hizbullah.
-
Duru mpya ya mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya Lebanon
Sep 25, 2024 07:54Jeshi la utawala katili wa Israel limeendeleza jinai zake kwa shambulia kwa mabomu maeneo ya raia mashariki mwa Lebanon.
-
Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Saudi Arabia wakutana na kushauriana mjini New York
Sep 23, 2024 07:11Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia wamezungumzia hali mbaya ya Ukanda wa Gaza iliyosababishwa na kuendelea kwa mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na utawala katili wa Kizayuni.
-
Sheikh Naeem Qasim: Marekani ni mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni
Sep 23, 2024 07:09Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ni mshirika wa mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Bingwa wa kunyanyua vitu vizito wa Iran apeperusha bendera ya Palestina huko Finland
Sep 16, 2024 02:46Timu ya Iran ya kunyanyua vitu vizito imemaliza kibarua chake katika mashindano ya maveterani wa dunia kwa kupata medali moja ya dhahabu, mbili za fedha na mbili za shaba.
-
Rais Masoud Pezeshkian: Kuimarisha umoja na mshikamano lengo kuu la safari yangu nchini Iraq
Sep 14, 2024 07:18Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja na mshikamano ni lengo kuu la safari yake nchini Iraq na kuongeza kuwa nia na azma ya serikali za Tehran na Baghdad ni kuimarisha uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa kieneo.
-
Rais wa Iran: Israel haitathubutu kutenda jinai kama Waislamu wataungana
Sep 14, 2024 04:24Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa iwapo Waislamu watashirikiana na kuwa kitu kimoja utawala wa Israel hautathubutu kufanya mauaji ya umati dhidi yao. Rais Masoud Pezeshkian ameeleza haya alipokutana na kuzungumza jana huko Basra Iraq na wasomi wa kitamaduni, kidini, kielimu na wengineo.
-
Waislamu wa Afrika Mashariki na Kati wanavyoshiki kwenye Arubaini ya Imam Husain AS nchini Iraq
Aug 25, 2024 12:28Waislamu wa Afrika Mashariki ya Kati wameonunga na maashiki wengine wa Imam Hussein AS kutoka kona zote za dunia kuwahudumia mazuwari na washiriki wa Arubaini ya Imam Husain AS huko Karbala.