-
Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Saudi Arabia wakutana na kushauriana mjini New York
Sep 23, 2024 07:11Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia wamezungumzia hali mbaya ya Ukanda wa Gaza iliyosababishwa na kuendelea kwa mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na utawala katili wa Kizayuni.
-
Sheikh Naeem Qasim: Marekani ni mshirika wa jinai za utawala wa Kizayuni
Sep 23, 2024 07:09Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ni mshirika wa mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Bingwa wa kunyanyua vitu vizito wa Iran apeperusha bendera ya Palestina huko Finland
Sep 16, 2024 02:46Timu ya Iran ya kunyanyua vitu vizito imemaliza kibarua chake katika mashindano ya maveterani wa dunia kwa kupata medali moja ya dhahabu, mbili za fedha na mbili za shaba.
-
Rais Masoud Pezeshkian: Kuimarisha umoja na mshikamano lengo kuu la safari yangu nchini Iraq
Sep 14, 2024 07:18Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja na mshikamano ni lengo kuu la safari yake nchini Iraq na kuongeza kuwa nia na azma ya serikali za Tehran na Baghdad ni kuimarisha uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa kieneo.
-
Rais wa Iran: Israel haitathubutu kutenda jinai kama Waislamu wataungana
Sep 14, 2024 04:24Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa iwapo Waislamu watashirikiana na kuwa kitu kimoja utawala wa Israel hautathubutu kufanya mauaji ya umati dhidi yao. Rais Masoud Pezeshkian ameeleza haya alipokutana na kuzungumza jana huko Basra Iraq na wasomi wa kitamaduni, kidini, kielimu na wengineo.
-
Waislamu wa Afrika Mashariki na Kati wanavyoshiki kwenye Arubaini ya Imam Husain AS nchini Iraq
Aug 25, 2024 12:28Waislamu wa Afrika Mashariki ya Kati wameonunga na maashiki wengine wa Imam Hussein AS kutoka kona zote za dunia kuwahudumia mazuwari na washiriki wa Arubaini ya Imam Husain AS huko Karbala.
-
Kituo cha mwisho cha jeshi la Marekani nchini Niger chafungwa
Aug 05, 2024 10:21Kambi ya mwisho ya kijeshi ya Marekani nchini Niger imekabidhiwa rasmi leo kwa nchi hiyo ya Afrika.
-
Hizbullah yafanya mashambulizi mapya dhidi ya Israel; ving'ora vyalia mtawalia + VIDEO
Aug 04, 2024 07:24Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetangaza kuwa, ving'ora vilisikika mtawalia jana, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, kutokana na mashambulizi makali yaliyofanywa na Hizbullah ya Lebanon.
-
Kiongozi Muadhamu asalisha Sala ya Maiti ya Ismail Haniyeh na mlinzi wake + VIDEO na PICHA
Aug 01, 2024 06:43Mapema leo Alkhamisi asubuhi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesalisha umati mkubwa wa Waislamu waliojitokeza katika Sala ya Maiti ya Mkuu wa Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS Ismail Haniyeh na mlinzi wake. Sala hiyo ya Maiti imesaliwa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Tehran.
-
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran: Sarafu ya dola tumeiondoa katika miamala ya Iran na Russia
Jul 13, 2024 12:04Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa miamala yote ya kibiashara kati ya Iran na Russia itafanyika bila ya kutumika sarafu ya dola.