-
Walimwengu waandamana wakilaani mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Jun 12, 2024 07:22Maandamano ya kupinga na kulaani mauaji ya kimbari ya utawala ghasibu wa Kizayuni katika ukanda wa Gaza yanaendelea kufanyika katika nchi tofauti za dunia.
-
Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza
Jun 09, 2024 10:03Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni mojawapo ya nchi ambazo zimepaza "sauti kubwa zaidi" dhidi ya jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Eslami: Shughuli za nyuklia za Iran zinafanyika kwa mujibu wa sheria
Jun 04, 2024 11:49Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema: Shughuli za nyuklia za Iran zinafanayika ndani ya fremu ya sheria ya kimkakati ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislami (Bunge la Iran) kwa lengo la kuondoa vikwazo.
-
Colombia yakata uhusiano na utawala wa Israel
May 28, 2024 06:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Colombia ametangaza kukatwa uhusiano wa kidiplomasia wa nchi yake na utawala wa Kizayuni.
-
Al-Qassam: Tumeangamiza na kukamata mateka askari kadhaa wa Kizayuni + Video
May 26, 2024 07:43Abu Obeida, Msemaji wa Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, wapiganaji wa brigedi hizo wamekinasa kwa kukiwekea chambo chini ya handaki kikosi cha jeshi la Kizayuni na kufanikiwa kuwaangamiza, kuwajeruhi na kuwakamata mateka askari kadhaa wa jeshi hilo katika eneo la kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Wakazi wa mji mkuu wa Iran watoa heshima za mwisho kwa Ebrahim Raisi na wenzake
May 22, 2024 07:23Wananchi na wakazi wa mji wa Tehran leo wametoa heshima za mwisho na kuaga mwili wa Ebrahim Rais pamoja na wenzake walioaga dunia katika ajali ya helikopta siku ya Jumapili.
-
Waislamu wa Tanzania wamuomboleza Sayyid Ebrahim Raisi
May 22, 2024 07:09Waislamu nchini Tanzania wameshiriki katika hafla ya kuwakumbuka na kuwaenzi viongozii wa Iran walioaga dunia hivi karibuni akiwemo Rais Ebrahim Raisi.
-
Muhammad ni jina la pili maarufu nchini Uingereza
May 18, 2024 07:46Jina la Mtume Mtukufu (S.A.W) ni jina la pili wanalopewa watoto wachanga nchini Uingereza huku Waislamu wakiunda asilimia sita na nusu tu ya jamii ya nchi hiyo.
-
Uungaji mkono wa makumi ya maelfu ya wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha California kwa wanachuo wanaopinga ukatili wa Wazayuni
May 18, 2024 06:37Baada ya kukandamizwa mgomo wa amani wa kuketi chini wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha California makumi ya maelfu ya wafanyakazi wa chuo kikuu hicho cha jimbo hilo wametishia kufanya mgomo wa kuwaunga mkono wanafunzi hao wanaoandamana kuunga mkono Palestina.
-
Maandamano ya kuunga mkono Palestina na Ghaza yaendelea katika miji mbalimbali duniani
May 13, 2024 04:04Watu wa miji tofauti katika nchi mbalimbali duniani, kwa mara nyingine wamemiminika mabarabarani wakiandamana kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina hususan wa Ukanda wa Ghaza na kulaani jinai za mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.