-
Al-Qassam: Tumeangamiza na kukamata mateka askari kadhaa wa Kizayuni + Video
May 26, 2024 07:43Abu Obeida, Msemaji wa Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, wapiganaji wa brigedi hizo wamekinasa kwa kukiwekea chambo chini ya handaki kikosi cha jeshi la Kizayuni na kufanikiwa kuwaangamiza, kuwajeruhi na kuwakamata mateka askari kadhaa wa jeshi hilo katika eneo la kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Wakazi wa mji mkuu wa Iran watoa heshima za mwisho kwa Ebrahim Raisi na wenzake
May 22, 2024 07:23Wananchi na wakazi wa mji wa Tehran leo wametoa heshima za mwisho na kuaga mwili wa Ebrahim Rais pamoja na wenzake walioaga dunia katika ajali ya helikopta siku ya Jumapili.
-
Waislamu wa Tanzania wamuomboleza Sayyid Ebrahim Raisi
May 22, 2024 07:09Waislamu nchini Tanzania wameshiriki katika hafla ya kuwakumbuka na kuwaenzi viongozii wa Iran walioaga dunia hivi karibuni akiwemo Rais Ebrahim Raisi.
-
Muhammad ni jina la pili maarufu nchini Uingereza
May 18, 2024 07:46Jina la Mtume Mtukufu (S.A.W) ni jina la pili wanalopewa watoto wachanga nchini Uingereza huku Waislamu wakiunda asilimia sita na nusu tu ya jamii ya nchi hiyo.
-
Uungaji mkono wa makumi ya maelfu ya wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha California kwa wanachuo wanaopinga ukatili wa Wazayuni
May 18, 2024 06:37Baada ya kukandamizwa mgomo wa amani wa kuketi chini wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha California makumi ya maelfu ya wafanyakazi wa chuo kikuu hicho cha jimbo hilo wametishia kufanya mgomo wa kuwaunga mkono wanafunzi hao wanaoandamana kuunga mkono Palestina.
-
Maandamano ya kuunga mkono Palestina na Ghaza yaendelea katika miji mbalimbali duniani
May 13, 2024 04:04Watu wa miji tofauti katika nchi mbalimbali duniani, kwa mara nyingine wamemiminika mabarabarani wakiandamana kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina hususan wa Ukanda wa Ghaza na kulaani jinai za mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.
-
Tahadhari kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani na Ufaransa nchini Nigeria
May 12, 2024 02:35Msemaji wa kundi la viongozi wa kaskazini mwa Nigeria amemuonya rais wa nchi hiyo kuhusu madhara hatari ya kuwepo kwa wanajeshi wa Marekani na Ufaransa nchini Nigeria.
-
Iran yaziwekea vikwazo kampuni na maafisa wa Marekani, Uingereza kwa kuhusika na ugaidi
May 03, 2024 04:02Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeyawekea vikwazo mashirika na watu binafsi wa Marekani na Uingereza kwa kuhusika na ugaidi na ukiukaji wa haki za binadamu kupitia kufadhili vitendo vya kinyama vya Israel dhidi ya Wapalestina, hasa wale wa Ukanda wa Gaza.
-
Polisi ya Ufaransa yakandamiza maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani mjini Paris
May 02, 2024 07:26Polisi wa kutuliza ghasia wa Ufaransa jana walikabiliana kwa mabavu na washiriki wa maandamano katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) katika mji mkuu wa nchi hiyo, Paris.
-
Mahakama ya Nigeria yatoa hukumu dhidi ya Polisi kwa kushambulia matembezi ya Ashura
May 01, 2024 10:53Mahakama Kuu ya Shirikisho ya Nigeria katika Jimbo la Kaduna imetoa hukumu dhidi ya Polisi ya nchi hiyo kwa kushambulia waumini katika matembezi ya amani ya Siku ya Ashura yaliyofanyika katika mji wa Zaria.