-
UN: Ufanyike uchunguzi kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza + Video
Apr 24, 2024 08:12Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu makaburi ya umati yaliyogunduliwa katika hospitali kuu mbili za Ukanda wa Gaza.
-
Rais wa Iran awasili Pakistan katika ziara ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara na usalama
Apr 22, 2024 06:42Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili katika mji mkuu wa Pakistan Islamabad katika ziara rasmi ya kikazi yenye lengo la kuimarisha usalama na uhusiano wa kibiashara kati ya nchi mbili.
-
Hizbullah yatungua ndege ya kivita isiyo na rubani ya Israel ya Hermes 450 kusini mwa Lebanon + VIDEO
Apr 22, 2024 04:31Harakati ya Mapamabano ya Kiislamu (Muqawama) ya Hizbullah ya Lebanon imesema wapiganaji wake wameiangusha ndege ya kisasa isiyo na rubani ya kivita na kijasusi ya utawala haramu wa Israel kusini mwa Lebanon baada ya kukiuka anga ya nchi hiyo.
-
Iran: Marekani ilikuwa na taarifa kuhusu Operesheni ya Ahadi ya Kweli ya kuutia adabu utawala wa Israel
Apr 18, 2024 07:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu iliikuwa imeshaitaarifu serikali ya Marekani kabla ya kutekeleza Operesheni ya Ahadi ya Kweli ya kuutia adabu utawala wa Israel mfanyamauaji ya kimbari.
-
Utawala wa Kizayuni unaficha kikamilifu hasara za mashambulio ya makombora ya Iran
Apr 14, 2024 11:11Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vinazikanusha picha na mikanda ya video inayosambazwa na vyombo kadhaa vya habari, ikionyesha maeneo tofauti ndani ya utawala huo yaliyolengwa na makombora ya Iran ikiwa ni kufuata na kutekeleza sera ya habari ya baraza la mawaziri la vita la utawala huo haramu.
-
Wananchi wa Iran, duniani wajitokeza mitaani kuunga mkono hatua ya IRGC kuiadhibu Israel
Apr 14, 2024 07:39Wananchi konte nchini Iran wamejitokeza mitaani kuunga mkono hatua ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ya kuuadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia kitendo chake cha kichokozi cha kutekeleza mashambilizi ya kigaidi dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran jijini Damascus Aprili Mosi.
-
Khalid Mash'al: Karibuni hivi, vita vya miezi sita vitamvunja adui Mzayuni
Apr 14, 2024 02:31Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya ughaibuni ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS Khaled Mash'al, amepongeza istiqama ya kishujaa ya Ukanda wa Ghaza na kusisitiza kuwa vita vya miezi sita wanavyopigana Wapalestina na utawala wa Kizayuni wa Israel "karibuni hivi vitamvunja adui Mzayuni".
-
Makombora ya kisasa ya Iran ambayo Israel inayaogopa
Apr 13, 2024 06:09Klipu hii ina maelezo ya makombora tisa ya kisasa kabisa ya Iran yenye usahihi wa hali ya juu ambayo yameuingiza woga utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki
Apr 09, 2024 02:20Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, nchi yake itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki utakaofanyika mwezi ujao wa Mei.
-
Waislamu DRC ni waungaji mkono wa Quds na kadhia nzima ya Palestina + Video
Apr 04, 2024 11:38Masheikh wawili maarufu wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamezungumzia umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds na uungaji mkono wa Waislamu wa nchi hiyo kwa kadhia nzima ya Palestina hususan Ghaza.