-
Nini madhumuni ya barua mpya ya Iran kwa Baraza la Usalama kuhusiana na uvamizi wa kijeshi wa Israel dhidi ya Iran?
Jul 13, 2025 02:35Amir Saeid Iravani Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemuandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo, na kuwasilisha ripoti iliyosasishwa kuhusu uharibifu uliosababishwa na uvamizi mkubwa wa kijeshi na wa bila ya sababu wa utawala wa Israel dhidi ya Iran.
-
Gaza inahusiana vipi na janga la Srebrenica?
Jul 12, 2025 09:41Katika mwaka wa 30 wa kumbukumbu ya mauaji ya halaiki ya Srebrenica, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika ujumbe wake akisema: "Lau dunia ingejifunza kutokana na janga hilo, tusingeshuhudia mauaji mengine ya kimbari dhidi ya Waislamu hii leo, na mara hii huko Gaza."
-
Tuhuma dhidi ya Iran zaendelea licha ya Grossi kukiri tena kwamba Iran haitengenezi silaha za nyuklia
Jul 12, 2025 02:34Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kuwa, hakuna ushahidi wa kuaminika kwamba Iran imepata silaha za nyuklia na kusisitiza ulazima wa kutatuliwa kidiplomasia suala la nyuklia la Iran.
-
Jibu la swali la leo; Kwa nini Ujerumani inataka kuongeza kwa kiasi kikubwa gharama zake za kijeshi?
Jul 11, 2025 08:18Katika hotuba yake kwa bunge la nchi hiyo Bundestag, Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz, sambamba na kuunga mkono ongezeko kubwa la gharama na matumizi ya kijeshi, alisisitiza kuwa anataka kuligeuza jeshi la nchi yake kuwa taasisi ya kupigiwa mfano na inayoongoza katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO).
-
Unajua kwa nini Marekani imemuwekea vikwazo Ripota Maalumu wa UN kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu?
Jul 11, 2025 02:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, alitangaza Jumatano, Julai 9, kwamba atamuwekea vikwazo Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, kwa kile alichokiita "juhudi zisizo halali zinazohusiana na uchunguzi wake kuhusu vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza" na eti kwa kuchukua "hatua dhidi ya maafisa wa Marekani na Israel."
-
Kwa nini shambulizi la kuvizia la Beit Hanoun ni kipigo kikubwa kwa Israel?
Jul 10, 2025 14:10Wanamapambano wa harakati ya Hamas wamefanya shambulizi la kuvizia la awamu nne huko Beit Hanoun na kuua wanajeshi watano wa Israel na kuwajeruhi wengine 14.
-
Kwa nini watu wengi duniani wana mtazamo hasi kuhusu Marekani?
Jul 10, 2025 02:49Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliochapishwa na Kituo cha Utafiti cha Pew, watu wa Canada na Mexico, majirani wawili wa karibu wa Marekani, wanaitambua nchi hiyo kuwa tishio kubwa zaidi kwao.
-
Sababu za kufeli duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Hamas na Israel
Jul 09, 2025 14:01Duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Hamas nchini Qatar kuhusiana na mapatano ya kusitisha vita huko Gaza na kubadilishana mateka, imemalizika bila mafanikio ya maana.
-
Kwa nini njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimeshindwa licha ya kuzingirwa Gaza?
Jul 09, 2025 02:35Licha ya kuendelea mzingiro wa Gaza na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina, lakini makundi ya muqawama ya Palestina yanaendelea kusimama kidete na kukabiliana na njama za Wazayuni.
-
Kwa nini mizozo ya madola ya Ulaya kuhusu jinsi ya kukabiliana na vita vya ushuru vya Trump imeongezeka?
Jul 08, 2025 13:29Rais wa Marekani Donald Trump kwa mara nyingine tena ameibua vita vya kibiashara na ulimwengu kwa kutangaza kwamba, ataamua kiwango cha ushuru wa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje kwa kutuma barua kwa nchi 12 kuanzia Jumatatu ya jana, Julai 7.