-
Jinai za Marekani nchini Syria
Oct 15, 2025 08:44Marekani imekuwa nchini Syria tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na ISIS na imefanya jinai nyingi nchini humo.
-
Kwa nini makundi ya Palestina yanakichukulia Kikao cha Sharm el-Sheikh kuwa kisicho na maana?
Oct 15, 2025 07:44Harakati ya Hamas imetoa tamko bila kutilia maanani mkutano wa kilele wa "Sharm al-Sheikh" ikisisitiza udharura wa kuzingatiwa haki halali za Wapalestina.
-
Mgogoro wa ukosefu wa makazi katika Umoja wa Ulaya; je, bara la Ulaya linaweza kuhuisha ndoto ya haki ya kijamii?
Oct 15, 2025 02:31Umoja wa Ulaya unakabiliwa na idadi kubwa ya watu wasio na makazi inayoongezeka kwa kasi, mzozo ambao unachukua sura mpya kila siku.
-
Ndoto ya ushindi; mzozo mpya katika siasa za ndani za Israel baada ya makubaliano ya amani
Oct 14, 2025 06:14Makubaliano ya amani ya Trump, licha ya madai ya Netanyahu kuwa ni "ushindi," yamewakasirisha Wazayuni wengi.
-
Kwa nini mwenendo wa kukabiliana na sarafu ya dola umeshika kasi duniani?
Oct 14, 2025 02:36Hisa ya sarafu ya Yuan ya China katika malipo ya biashara na upokeaji imefikia takriban 53%, na kuipita hisa ya dola ya 47%. Mabadiliko haya ya kihistoria yanakuja katika hali ambayo mwaka 2010 hisa ya Yuan katika biashara ya nje ya China takribani ilikuwa sifuri.
-
Kushindwa utawala wa kizayuni Ghaza; ushindi wa Muqawama katika medani ya vita na kwenye ulingo wa siasa
Oct 14, 2025 02:25Makundi ya Muqawama wa Palestina yanasisitiza kutekelezwa matakwa yao halali na ya wananchi wa Palestina katika makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Je, ni upi msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu mpango wa Trump na usitishaji vita huko Gaza?
Oct 13, 2025 02:23Umoja wa Ulaya umeeleza kuwa usitishaji vita huko Gaza ni fursa ya kweli ya kuhitimisha vita vya uharibifu.
-
Iran mstari wa mbele katika kulinda mazingira ya Bahari ya Kaspi
Oct 12, 2025 10:39Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku zote imekuwa na nafasi athirifu na chanya katika kulinda mazingira ya Bahari ya Kaspi na aina mbalimbali za wanyama, ikiwa ni pamoja na Caspian Seal; mamalia adimu zaidi duniani na viumbe wengine wa baharini.
-
Mgogoro katika Baraza la Mawaziri la Vita: Je, Ben-Gvir ataweza kusambaratisha baraza hilo la Netanyahu?
Oct 12, 2025 02:17Kufuatia kutangazwa makubaliano ya kusimamisha vita na kubadlishana mateka kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Itamar Ben -Gvir Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni ametangaza kupinga vikali makubaliano hayo na kutishia kulimbaratisha baraza la mawaziri la Netanyahu.
-
Kwa nini Trump amekosa Tuzo ya Amani ya Nobel?
Oct 11, 2025 11:07Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kukosa Tuzo ya Amani ya Nobel, msemaji wa Ikulu ya White House ameikosoa Kamati inayoandaa Tuzo ya Nobel kwa kutomtunuku rais huyo tuzo hiyo, akiitaja hatua hiyo kuwa ni upendeleo wenye kufadhilisha siasa badala ya amani.