-
Mapambano ya Watu wa Iran dhidi ya Madhalimu
Mar 31, 2026 08:21Swali muhimu zaidi ambalo limekuwa likiwashughulisha wachambuzi wengi na hata watumiaji wa mitandao ya kijamii siku hizi ni kuwa: "Je, Wairani wameweza vipi kusimama imara mbele ya nguvu mbili zenye silaha za nyuklia bila kuogopa wala kusalimu amri?"
-
Kwa nini jiografia inaipa Iran nafasi nzuri katika Lango-Bahari la Hormuz?
Mar 29, 2026 12:26Lango Bahari la Hormuz takriban limefungwa kwa wiki nne sasa na hivyo kupelekea soko la mafuta duniani kutumbukia katika mgogoro mkubwa wa nishati na wala haijulikani litafunguliwa lini.
-
Vita vya kichokozi vya Israel na Marekani dhidi ya Iran na msimamo hasi wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Mar 28, 2026 11:46Asubuhi ya Jumamosi, Februari 28, 2026, Israel na Marekani zilianza rasmi kuishambulia Iran kwa pamoja ambapo mwanzoni kabisa mwa shambulio hilo, zilimuua shahidi Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mauaji hayo ya kigaidi yalitekelezwa huku mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani yakiendelea.
-
Kujiuzulu kwa Joe Kent kunasema mengi
Mar 27, 2026 14:38Katika chapisho la mtandao wa kijamii siku ya Jumanne tarehe 17 Machi, Joe Kent alitangaza kwamba amejiuzulu kama Mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani kwa lengo la kupinga uamuzi wa utawala wa Donald Trump wa kujiunga na Israel katika vita dhidi ya Iran.
-
Duru za uchumi: Mgogoro wa vita vya Iran umelishtua bara Ulaya
Mar 26, 2026 08:07Duru za kiuchumi za kimataifa zinasema mgogoro uliojitokeza kutokana na uchokozi na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umelishtua na kuliacha bara la Ulaya katika hali ya sintofahamu.
-
Taarifa ya Ayatullah Hajj Sheikh Muhammad Jawad Fadhil Lankarani, Kuhusu Hatua Isiyofaa ya Al-Azhar
Mar 23, 2026 08:14Katika kujibu hatua ya hivi karibuni ya viongozi wa Al-Azhar, Chuo Kikuu cha Kidini cha nchini Misri ya kulaani hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kulipiza kisasi dhidi ya vituo vya kijeshi vya Marekani katika ardhi za nchi za Kiarabu za Ghuba ya Ujemi, viongozi tofauti wa kidini akiwemo Ayatullah Sheikh Muhammad Jawad Fadhil Lankarani, wametoa taarifa wakikosoa vikali hatua hiyo ya kibaguzi ya wanazuoni wa Al- Azhar.
-
Mwisho wa makubaliano ya Atlantiki; kwa nini Marekani imetengwa katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Iran?
Mar 22, 2026 11:00Duru ya pili ya hujuma za kijeshi za Marekani na utawala wa Kizayuni imekuwa nukta muhimu katika historia ya mikataba na makubaliano ya kijeshi katika ulimwengu wa Magharibi.
-
Mauaji ya kigaidi ya Marekani na Israel dhidi ya viongozi wa Iran na mmomonyoko wa sheria za kimataifa
Mar 21, 2026 10:34Mauaji ya kigaidi dhidi ya Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran mnamo Machi 17, 2026, siku 18 tu baada ya mauaji mengine ya kigaidi dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Seyyed Ali Khamenei, ni zaidi ya suala la kuongezeka tu mashambulizi ya kijeshi. Yanaangazia wazi upuuzaji wa sheria za kimataifa zilizobuniwa baada ya Vita vya Pili vya Dunia 1945.
-
Dunia ya Siku Zijazo
Mar 19, 2026 12:40Hebu, jaribu kufumba macho yako na faradhisha kuwa unaishi katika mwaka wa 2050. Kwa mtazamo wako dunia itakuwaje wakati huo? Mgawanyo wa nguvu umebadilika vipi?
-
Mfumo Mpya wa Dunia
Mar 17, 2026 12:18Je, hadi sasa umewahi kufikiria mfumo huu unaotawala dunia ulitoka wapi?