-
Vita vya Kiuchumi vya Trump Dhidi ya Iran: Chombo Ambacho Hakifanyi Kazi Tena
Aug 24, 2026 10:58Katika kujibu vitisho vipya vya Donald Trump dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, "kung'ang'ania sera zilizofeli kutapelekea tu kushindwa zaidi na kuchochea chuki ya wananchi wa Iran dhidi ya watawala wa Marekani."
-
Mwisho wa satwa ya Marekani: Asia Magharibi Katika Ukingo wa Mfumo Mpya
Aug 23, 2026 06:27Katika uchambuzi wake wa hivi karibuni, jarida la Foreign Affairs linataja vita dhidi ya Iran kama hatua muhimu inayoharakisha kuporomoka kwa mfumo wa kikanda unaoongozwa na Marekani na kudhihiri taratibu mabadiliko yanayoweza kubadili mitazamo na mikakati ya kiusalama ya mataifa ya Asia Magharibi katika miaka ijayo.
-
Vitisho Visivyo na Uzito vya Trump na Kudhoofika kwa Nguvu ya Marekani
Aug 23, 2026 04:57Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena ametishia kuishambulia Oman kwa mabomu, nchi iliyo na nafasi muhimu katika mazungumzo yanayohusu Iran pamoja na masuala yanayohusiana na usafiri wa baharini katika Lango Bahari la Hormuz.
-
Namna shambulio la kijeshi dhidi ya Iran lilivyoikatisha tamaa Ulaya
Aug 20, 2026 06:39Vita vinavyoendeshwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran si mgogoro wa kijeshi wa eneo dogo tu katika Asia Magharibi. Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz na kuvurugika kimataifa usambazaji wa nishati kumetikisa uchumi wa dunia nzima, ambapo madhara yake yanaonekana wazi hadi katika kitovu cha Ulaya na Uingereza.
-
Vita dhidi ya Iran na Mgogoro katika Akiba ya Kimkakati ya Mafuta ya Marekani
Aug 20, 2026 06:22Vita dhidi ya Iran vimesababisha akiba ya kimkakati ya mafuta ya Marekani kushuka hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miongo mine iliyopita.
-
Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?
Aug 19, 2026 08:00Hali ya kutoridhishwa na Marekani inazidi kuongezeka miongoni mwa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.
-
Namna Dunia Inavyorejea katika Enzi za Ukatili na Ufedhuli?
Aug 18, 2026 11:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema karibuni hivi kwamba "matumizi ya nguvu za wazi na madai ya kumiliki rasilimali za mataifa mengine ni ishara zinazoonyesha kuwa tunarejea kwenye zama za kale za matumizi ya nguvu, ambalo lilikuwa jambo la kawaida na lisilodhibitiwa."
-
Kuanzia Uhamiaji hadi Kukimbia: Jinsi Ndoto ya Kizayuni ya "Nchi ya Ahadi" Ilivyoporomoka
Aug 17, 2026 05:25Hali ya walowezi wa Kizayunu kukimbia ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, zinazodaiwa kuwa Israel, na kurejea katika nchi walikotoka imekuwa ishara ya wazi ya mmomonyoko wa ndani wa mradi wa Kizayuni.
-
Mauaji ya Kimbari: Sera Rasmi ya Wazayuni
Aug 16, 2026 05:10"Mauaji ya kimbari na ubaguzi wa rangi ni mradi rasmi wa utawala wa Israel." Kwa maneno haya, Francesca Albanese, Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ameangazia uhalisia wa kisiasa na kisheria katika ardhi hizo.
-
Matokeo ya Kuendelea Vita: Marekani Iliyodhoofika na Iran Iliyoimarika
Aug 15, 2026 05:46Seneta mmoja wa Marekani amekiri kuwa kuendelea vita kati ya Marekani na Iran kutapelekea Marekani kudhoofika na Iran kuimarika zaidi.