-
Kwa nini ni lazima Marekani iondoke Asia Magharibi?
Aug 11, 2026 07:54Uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, ambao kwa miaka mingi umehalalishwa kwa kisingizio cha kudhamini usalama, sasa umekuwa kichocheo cha migogoro, sababu ya kuongezeka gharama, na jambo linaloitumbukiza Washington katika vita vya kuchosha na vya muda mrefu, kuliko wakati mwingine wowote.
-
Mustakabali wa usalama wa eneo: Kwa nini nafasi muhimu ya nchi za kanda ni ya dharura?
Aug 11, 2026 07:25Pembezoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kwa ajili ya kutetea Quds Tukufu (Jerusalem), uliofanyika mjini Amman, Jordan, Badr Abdelatty, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, alisisitiza umuhimu wa kuandaliwa dira ya pamoja ya Kiarabu kwa ajili ya mustakabali wa usalama wa eneo. Alisema kuwa nchi za eneo lazima ziwe katika mstari wa mbele wa kubuni mipango yoyote ya usalama katika siku zijazo.
-
Kwa nini ushawishi wa Kizayuni nchini Marekani hauna tena taathira kama zamani?
Aug 11, 2026 06:16Ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa mchujo wa Chama cha Democratic jimboni Michigan umeashiria kushindwa wazi kwa mara ya kwanza kwa fikra inayosema kwamba pesa, ushawishi na kampeni hasi huamua matokeo ya kisiasa ya moja kwa moja nchini Marekani.
-
Ufichuzi kuhusu kisingizio bandia kilichotumiwa na Trump kuishambulia Iran
Aug 10, 2026 04:54Joe Kent, afisa wa zamani katika utawala wa Trump, amekiri kuwa madai kuhusu Iran kutengeneza silaha za nyuklia ni mbinu ya kipropaganda tu iliyotumika kwa ajili ya kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.
-
Kwa nini Trump amekwama katika "fedheha ya kimkakati" katika vita dhidi ya Iran?
Aug 09, 2026 05:43Gazeti la Financial Times, huku likinukuu wachambuzi mashuhuri, linaripoti kuwa Trump amekwama katika "fedheha ya kimkakati" kuhusiana na vita dhidi ya Iran na kwamba hawezi kujiondoa katika hali hiyo bila kulipa gharama za kisiasa nchini kwake.
-
Malengo yanayofuatiliwa na Marekani katika kuzichochea nchi za Kiarabu zikabiliane na Iran
Aug 06, 2026 06:41Hata kama nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi hazitaki kuchochea mivutano katika eneo, kwa mujibu wa sera zao rasmi, lakini Marekani inajaribu kuzivuta katika makabiliano ya moja kwa moja na Iran.
-
Mgawanyiko kati ya Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Kuhusu Vita vya Marekani dhidi ya Iran
Aug 06, 2026 05:45Kwa mujibu wa gazeti la The Wall Street Journal, nchi za Kiarabu katika eneo la Ghuba ya Uajemi bado zimegawanyika pakubwa kuhusu namna ya kushughulikia vita vya kichokozi na kulazimishwa dhidi ya Iran.
-
Kwa nini shambulio la Saudi Arabia na Marekani dhidi ya Hashd al-Shaabi ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya Iraq?
Aug 03, 2026 11:09Kikosi cha Hashd al-Shaabi cha Iraq kilitangaza siku chache zilizopita kuwa watu wasiopungua 20 waliuawa na wengine 32 kujeruhiwa katika shambulio la pamoja la kichokozi lililofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq mapema Jumatano iliyopita.
-
Malengo ya Julani katika kuanzisha uadui dhidi ya kundi la Hashd al-Shaabi la Iraq
Aug 03, 2026 08:39Abu Mohammad al-Julani, mtawala wa serikali ya mpito ya Syria, amedai katika matamshi tatanishi kuwa ana wasiwasi kuhusu uwepo wa makundi ya wanamgambo wa Iraq na vikosi vya Hashd al-Shaabi katika maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Iraq.
-
Kwa nini Nguvu ya Marekani Inaelekea Ukingoni?
Aug 01, 2026 06:08Miongo mitatu baada ya operesheni ya "Desert Storm," mtazamo ndani ya duru za kimkakati za Marekani ni kwamba zama za nguvu na utawala usio na mpinzani wa Washington zimefikia ukingoni. Vita na Iran vimethibitisha kuwa mwenendo wa mabadiliko katika uwiano wa nguvu na kupungua kwa uwezo wa Marekani wa kuzuia vitisho (deterrence credibility) ndani ya mfumo wa dunia umeanza kushika kasi.