-
Kwa nini Marekani ilisimamisha vita dhidi ya Iran baada ya wiki mbili?
Jul 30, 2026 07:55Kufuatia wiki mbili za uhasama na baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuzungumzia uwezekano wa kupanua mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran, mapigano kati ya pande hizi yalisimama ghafla.
-
Kwa nini Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni?
Jul 30, 2026 06:54Gazeti la Haaretz limeandika: Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni. Gazeti hilo limechapisha ripoti inayokosoa vikali utendaji wa Benjamin Netanyahu, likisisitiza kuwa atakumbukwa kama Waziri Mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni na kwamba madhara ya kiusalama na kiuchumi ya vita alivyovisababisha yataukabili utawala wa Israel kwa miaka mingi ijayo.
-
Namna Nguvu Dhaniwa ya Ulaya Ilivyosambaratika?
Jul 30, 2026 04:34Esmaeil Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, huku akijibu karibuni hivi hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuiwekea Iran vikwazo vipya kwa kisingizio cha kutetea haki za binadamu, amesema: "Madai ya Umoja wa Ulaya kuhusu kutetea haki za binadamu za wananchi wa Iran ni unafiki mtupu."
-
Je, Marekani imefikia mkwamo wa kimkakati katika mgogoro wake na Iran?
Jul 27, 2026 07:10Wachambuzi wengi mashuhuri wa Marekani wanaonya kwamba Washington inatembea kwenye njia ya mgogoro na Iran ambayo si lazima ifanikiwe kisiasa au kistratijia. Wanaamini kwamba changamoto kuu inayoikabili Marekani kwa sasa si kuanzisha vita, bali ni kutafuta njia ya kujiondoa kwenye mkwamo unaozidi kuongezeka siku hadi siku.
-
Namna Trump Anavyodhihirisha Hasara ya Vita na Iran kama Mafanikio
Jul 25, 2026 09:17Kwa kuchapisha orodha ya wahanga wa vita tofauti vya Marekani, Rais Donald Trump amejaribu kudhihirisha mzozo na Iran kama "vita vyenye gharama ya chini, na vilivyofanikiwa" ambapo sasa anajivunia vifo vya wanajeshi 18 wa Marekani walioangamia katika vita vya karibuni.
-
Mashambulizi Makali ya Iran dhidi ya Vituo vya Marekani nchini Jordan
Jul 23, 2026 08:20Mashambulizi ya Iran dhidi ya vituo vya Marekani nchini Jordan yanachukuliwa kuwa miongoni mwa operesheni zilizofanikiwa zaidi katika mzozo wa kijeshi wa hivi karibuni kati ya Iran na Marekani.
-
Hatua ya Yemen ya Kuiwekea Saudi Arabia Mzingiro wa Majini: Sababu na Matokeo
Jul 23, 2026 07:15Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza marufuku ya usafiri wa meli na kuweka mzingiro wa majini dhidi ya Saudi Arabia, kwa kuzingatia kanuni ya "mzingiro kwa mzingiro."
-
Seneta wa Marekani afichua uongo wa Trump kuhusu vita dhidi ya Iran
Jul 22, 2026 06:20Seneta Mark Warner wa Marekani amekiri kwamba "hakuna tishio lolote linalokaribia" kutoka kwa Iran dhidi ya Marekani.
-
Shambulio la Iran dhidi ya Kituo cha Marekani huko Al-Tanf, Syria: Hatua Isiyo na Mfano Wake na Yenye Jumbe za Pande Kadhaa
Jul 21, 2026 06:35Kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad miezi 19 iliyopita, vikosi vya jeshi la Iran vimeshambulia kwa njia ya anga eneo lililo ndani ya ardhi ya Syria.
-
Kusimamishwa Ahadi za Mkataba wa Islamabad: Majibu ya Iran dhidi ya Ukiukaji wa Marekani
Jul 20, 2026 08:05Iran imesimamisha utekelezaji wa ahadi zake chini ya Mkataba wa Islamabad. Akifafanua suala hilo, Kazem Gharibabadi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, amesema kuwa baada ya Marekani kukiuka wajibu wake chini ya Mkataba wa Maelewano wa Islamabad, Tehran imesimamisha utekelezaji wa ahadi zake zote na kwamba sasa imejikita katika mipango ya kulinda nchi kwa uthabiti mkabala wa hujuma za adui.