-
Israel ilianzisha vipi vituo vya kijeshi nchini Iraq na madhara yake ni yapi?
May 18, 2026 16:13Gazeti la Marekani la New York Times limeandika katika ripoti yake kwamba, Israel imeanzisha vituo viwili vya kijeshi vya siri ndani ya ardhi ya Iraq kwa ajili ya kusaidia operesheni zake dhidi ya Iran.
-
Kumalizika enzi za kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu za madola ya Magharibi
May 17, 2026 02:03Pars Today - Majid Nili Ahmadabadi, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ujerumani amejibu kauli za kansela wa nchi hiyo alizotoa baada ya mazungumzo ya simu na rais wa Marekani Donald Trump, akisema kwa maandishi kwamba: "Enzi ya kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu na za upande mmoja za madola ya Magharibi, zimekwisha.
-
Mwanzo wa mpasuko wa kimkakati kati ya pande mbili za Atlantiki
May 15, 2026 10:16José Manuel Albares Bueno, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uhispania, akisisitiza tena sera ya serikali ya nchi yake katika kupinga uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema: 'Marekani haiwezi kutumia vituo vyetu vya anga kwa ajili ya vita dhidi ya Iran.
-
Kukaribia mwisho wa kisiasa wa Starmer na kuzidi kupata nguvu Iran
May 13, 2026 18:54Pars Today - Magazeti ya Uingereza yameripoti kwa wingi habari inayosisitiza kuwa, kusambaratika kisiasa Waziri mkuu wa nchi hiyo Keir Starmer kumekaribia.
-
Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb
Apr 23, 2026 09:59Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.
-
Je, wimbi la kuuzuliwa makamanda wakuu jeshini nchini Marekani linaweza kuwa ushindi mwingine wa kistratijia kwa Iran?
Apr 06, 2026 07:52Wimbi la kutimuliwa makamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Marekani kufuatia kushindwa kimkakati kwa nchi hiyo dhidi ya Iran limeibua mgogoro mkubwa zaidi wa kamandi katika Wizara ya Vita ya nchi hiyo, Pentagon.
-
Wenzo wa nguvu wa maeneo ya kijografia na kistratijia
Apr 04, 2026 12:57Ni jambo la kawaida kwamba nchi zilizoko katika maeneo tofauti ya kijografia na kistratijia hutumia nafasi hiyo kwa manufaa ya watu wake na kulinda maslahi yao ya kitaifa. Wachambuzi wa mambo wanasema hilo ni jambo linakubalika kimataifa na wala hakuna sheria yoyote inayopinga suala hilo ambayo ni haki ya kimsingi ya nchi iliyo katika maeneo kama hayo.
-
Yemen yaingia rasmi vitani kwa maslahi ya Iran
Apr 02, 2026 06:43Yemen imetangaza rasmi kuingia katika vita kwa maslahi ya Iran, na sasa kila mtu ana wasiwasi kuhusu muelekeo wa vita hivi huku Wamagharibi na waungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel wakiingiwa na wasi wasi mkubwa kwamba huenda uchumi wa utawala huo ukabanwa na kupata madhara makubwa iwapo jeshi la Yemen litaamua kufunga na kudhibiti njia muhimu ya usafiri wa meli za biashara na mizigo, yaani Lango-Bahari la Bab al-Mandab.
-
Mapambano ya Watu wa Iran dhidi ya Madhalimu
Mar 31, 2026 04:51Swali muhimu zaidi ambalo limekuwa likiwashughulisha wachambuzi wengi na hata watumiaji wa mitandao ya kijamii siku hizi ni kuwa: "Je, Wairani wameweza vipi kusimama imara mbele ya nguvu mbili zenye silaha za nyuklia bila kuogopa wala kusalimu amri?"
-
Kwa nini jiografia inaipa Iran nafasi nzuri katika Lango-Bahari la Hormuz?
Mar 29, 2026 08:56Lango Bahari la Hormuz takriban limefungwa kwa wiki nne sasa na hivyo kupelekea soko la mafuta duniani kutumbukia katika mgogoro mkubwa wa nishati na wala haijulikani litafunguliwa lini.