-
Machungu ya ukoloni; safari za kifo na jinai za kikatili za Ufaransa nchini Madagascar
Feb 14, 2026 02:18Madagascar, kisiwa kikubwa zaidi barani Afrika na makao ya jamii ya Malagasy, iliingia katika moja ya vipindi vya giza zaidi katika historia yake mwishoni mwa karne ya 19.
-
Kwa nini Grossi amekiri haki ya Iran ya kurutubisha urani?
Feb 13, 2026 11:21Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekiri kwamba, Iran kama nchi iliyotia saini Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), ina haki ya kurutubisha urani.
-
Nguvu ya majini ya Iran; mseto wa nguvu za kijeshi, diplomasia, teknolojia na maadili ya kibinadamu
Feb 13, 2026 02:00Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, uwepo wa meli za Iran katika bahari na maji ya kimataifa ni mseto wa nguvu za kijeshi na diplomasia ya baharini.
-
Maandamano ya tarehe 22 Bahman, ishara ya mwamko, kuwa macho, umoja na mshikamano wa watu wa Iran.
Feb 12, 2026 06:39Ikiwa ni katika kuadhimisha mwaka wa 47 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, maandamano ya tarehe 22 Bahman sawa na tarehe 11 Februari yamefanyika mjini Tehran sambamba na miji mingine mingi, yakiushirikisha umati mkubwa wa watu katika pembe zote za nchi.
-
Kashfa ya Epstein ilivyofichua mmomonyoko wa kimaadili katika nchi za Magharibi
Feb 12, 2026 02:29Wimbi la kujiuzulu linaloshuhudiwa huko Downing Street, kuanzia mkuu wa wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uingereza hadi mkurugenzi wake wa mawasiliano, ni ishara za nje za mgogoro mkubwa wa kimaadili miongoni mwa wasomi na viongozi wa Magharibi.
-
Kengele ya hatari ya Russia kuhusu matokeo mabaya ya chokochoko yoyote dhidi ya Iran
Feb 11, 2026 10:29Serikali ya Russia imeonya kuhusu matokeo mabaya ya kuanzisha chokochoko yoyote dhidi ya Iran.
-
Mpango wa hatua nne wa Netanyahu wa kuumeza Ukingo wa Magharibi
Feb 11, 2026 02:22Uamuzi wa baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu siku ya Jumapili kuhusu Ukingo wa Magharibi ulikuwa msumari wa mwisho katika jeneza la udanganyifu na matumaini ya wale waliofikiri kwamba chini ya kivuli cha makubaliano na wavamizi wa Kizayuni, inawezekana kupata haki za Wapalestina.
-
Kusimama kidete Somalia dhidi ya mpango hatari wa Wazayuni huko Somaliland
Feb 10, 2026 12:55Somalia imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuwahamisha kwa lazima wa Wapalestina na kuwapeleka Somaliland ambalo limejitangazia uhuru.
-
Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi
Feb 10, 2026 02:33Makundi ya mapambano ya ukombozi ya Palestina yamesisitiza ulazima wa kukabiliana na mipango ya Wazayuni wenye misimamo mikali katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Uvamizi wa damu: Jinai za nyuma ya pazia za Ufaransa nchini Ivory Coast
Feb 09, 2026 13:31Kwa takriban miongo minane, kuanzia mwaka 1893 hadi 1960, Ivory Coast ilikuwa eneo la moja ya tawala za kikoloni katili zaidi za Ufaransa magharibi wa Afrika.