-
Kukiri mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani malengo halisi ya Washington dhidi ya Iran
Oct 18, 2020 23:00Tarehe 8 Mei 2018 Marekani chini ya utawala wa Donald Trump, ilijitoa kwenye mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA na kuiwekea Iran vikwazo vikubwa zaidi ambavyo havijawahi kutokea. Ijapokuwa awali serikali ya Trump ilidai kuwa inataka mapatano ya nyuklia ya JCPOA yaangaliwe upya ndio maana imejitoa kwenye makubaliano hayo, lakini hivi sasa inatangaza waziwazi lengo lake hasa la kujitoa kwenye mapatano hayo.
-
Onyo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hatari ya kutokea maafa ya nyuklia duniani
Oct 05, 2020 03:35Kuongezeka maghala ya silaha za nyuklia na mashindano ya kuboresha silaha hizo ni jambo linalohatarisha usalama wa dunia, suala ambalo limeupelekea Umoja wa Mataifa kutangaza wazi wasiwasi wake kuhusiana na hatari hiyo.
-
Gharib Abadi: Shughuli za nyuklia za Iran zina uwazi zaidi kuliko za nchi nyingine zote wanachama wa IAEA
Sep 17, 2020 08:46Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna amesema asilimia 22 ya ukaguzi wote uliofanywa duniani na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA imefanyiwa Iran na akaeleza kwamba Tehran ndiyo inayoendesha kwa uwazi zaidi shughuli zake za nyuklia zenye malengo ya amani kuliko nchi zote wanachama wa wakala huo.
-
Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea
Aug 28, 2020 05:42Takriban ni miongo 7 sasa ambapo Marekani ina wanajeshi wake katika Rasi ya Korea. Licha ya kufanyika mazungumzo mara kadhaa baina ya viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kuhusu kupokonywa silaha za nyuklia Pyongyang lakini mgogoro wa Korea mbili bado uko vile vile. Si hayo tu lakini rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anataka kupunguzwa idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo huko Korea Kusini, suala ambalo limezusha mzozo mpya.
-
Zarif: Safari ya Mkuu wa IAEA Iran haina uhusiano na 'Snapback Mechanism'
Aug 24, 2020 07:29Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema safari ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi hapa nchini haina mfungamano wowote na utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran unaofahamika kama 'Snapback Mechanism'.
-
IAEA yatakiwa kuwa na uwazi kuhusu mpango wa nyuklia wa siri wa Saudi Arabia
Aug 08, 2020 22:56Kadhim Gharibabadi Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika taasisi za kimataifa mjini Vienna, Austria ametoa wito kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) uwe na uwazi kuhusu mpango wa siri wa nyuklia wa Saudi Arabia.
-
Iran yakanusha madai ya kujiri mlipuko katika kituo cha nyuklia
Jul 07, 2020 22:22Shirika la Iran la Nishati ya Atomiki limekanusha madai ya kujiri mlipuko katika kituo cha nyuklia cha Shahidi Rezaei-Nejad kati kati mwa Iran.
-
Tishio la Marekani la kutumia chaguo la nguvu za kijeshi dhidi ya Iran; kiwewe cha kushindwa kidiplomasia Washington
Jul 01, 2020 22:08Katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, Marekani imekuwa na utendaji wa chuki na hasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo ikitumia visingizo tofauti, imetishia mara chungu nzima kutumia mabavu na nguvu za kijeshi dhidi ya Tehran.
-
Kumalizika mapema mazungumzo ya Marekani na Russia kuhusu udhibiti wa silaha za nyuklia
Jun 23, 2020 22:01Moja ya hitilafu kubwa na za kimsingi za Russia na Marekani kuhusiana na kuongezwa muda wa mikataba ya kudhibiti silaha inahusiana na mkataba wa kistratijia wa silaha za nyuklia wa New START.
-
Upinzani wa Pakistan kuhusu ushindani wa silaha za nyuklia
May 31, 2020 23:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa, nchi yake inapinga ushindani wa silaha za nyuklia katika eneo hili.