Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Iran yaonya kuhusu bidaa zisizo na msingi katika wakala wa IAEA

    Iran yaonya kuhusu bidaa zisizo na msingi katika wakala wa IAEA

    Mar 04, 2020 08:26

    Kazem Gharib Abadi, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika asasi za kimataifa zenye makao yake mjini Vienna Austria amejibu ripoti mpya ya wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na kusema kuwa, Tehran imo mbioni kuzuia uanzishwaji wa bidaa zisizo na msingi na hatari katika wakala huo.

  • Marekani yafanya mazoezi ya vita vya kinyuklia dhidi Russia

    Marekani yafanya mazoezi ya vita vya kinyuklia dhidi Russia

    Feb 22, 2020 21:46

    Jeshi la Marekani limefanya mazoezi ya kuishambulia Russia kwa silaha za nyuklia huku mzozo ukizidi kutokota kati ya madola hayo mawili yenye uwezo mkubwa zaidi wa silaha za nyuklia duniani.

  • Iran yasema iko tayari kwa mazungumzo lakini haikubali kushinikizwa

    Iran yasema iko tayari kwa mazungumzo lakini haikubali kushinikizwa

    Feb 12, 2020 04:05

    Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijafunga mlango wa kufanya mazungumzo kuhusu mradi wake wa nyuklia lakini katu haiwezi kukubali kuburuzwa na kuwekwa chini ya mashinikizo.

  • Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Jan 03, 2020 02:33

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imetanguliza mbele siasa za vitisho sambamba na mazungumzo mkabala na Korea Kaskazini.

  • IAEA yathibitisha; akiba ya maji mazito ya Iran ni zaidi ya tani 130

    IAEA yathibitisha; akiba ya maji mazito ya Iran ni zaidi ya tani 130

    Nov 19, 2019 04:30

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umethibitisha kuwa akiba ya maji mazito kwenye kinu cha maji mazito cha Arak kilichoko mkoa wa Markazi nchini Iran ni zaidi ya tani 130.

  • Mousavi: Iran inapinga ukiukwaji wowote ule wa mamlaka ya kujitawala  mataifa ya eneo

    Mousavi: Iran inapinga ukiukwaji wowote ule wa mamlaka ya kujitawala mataifa ya eneo

    Nov 10, 2019 09:54

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili linapinga ukiukaji wowote ule wa mamlaka ya kujitawala mataifa ya eneo hili.

  • Iran inajitegemea kikamilifu katika sekta ya nyuklia

    Iran inajitegemea kikamilifu katika sekta ya nyuklia

    Oct 21, 2019 04:18

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa inajitegemea kikamilifu katika shughuli zake za nyuklia na haipokei msaada wowote wa kigeni katika uga huo.

  • Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Oct 07, 2019 06:29

    Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, anaendelea na siasa za vitisho na mazungumzo katika fremu ya ahadi zake za uchaguzi za kuutatua mgogoro wa nyuklia wa Rasi ya Korea.

  • Mgogoro wa Kashmir.. Imran Khan atahadharisha juu ya kutokea vita vya dunia vya nyuklia

    Mgogoro wa Kashmir.. Imran Khan atahadharisha juu ya kutokea vita vya dunia vya nyuklia

    Aug 31, 2019 22:13

    Waziri Mkuu wa Pakistan ameeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro unaoendelea kushadidi baina ya nchi hiyo na India na kutahadharisha kwamba, kuna uwezekano wa kutokea vita vipya vya dunia kwa kutumia silaha za nyuklia baina ya nchi hizo mbili.

  • Salehi: Iran inaendelea na miradi yake ya nyuklia kwa nguvu zake zote

    Salehi: Iran inaendelea na miradi yake ya nyuklia kwa nguvu zake zote

    Aug 29, 2019 07:45

    Mkuu wa Taasisi ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa, shughuli za nyuklia za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zinaendelea kwa nguvu zote katika vitengo vyake vyote na kwamba miradi ya nyuklia ya Iran haijawahi kusimamishwa hata mara moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS