Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Vipindi
  • Hifadhi
  • Darsa ya Qur'ani
  • Frikwensi
  • Tovuti Kongwe
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Sibtain katika Qur'ani na Hadithi

Feb 16, 2020 07:54 UTC
Vipindi Vingine
  • Mwezi wa Ramadhani
    Mwezi wa Ramadhani
  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia katika Uislamu
    Mchango wa Maulamaa wa Kishia katika Uislamu
  • Ufufuo
    Ufufuo
  • Tuujue Uislamu
    Tuujue Uislamu
  • Maktaba ya Imam Khomeini (MA)
    Maktaba ya Imam Khomeini (MA)
  • Uislamu Chaguo Langu
    Uislamu Chaguo Langu
  • KOMBE LA DUNIA QATAR 2022
    KOMBE LA DUNIA QATAR 2022

  • 20
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tunakukaribisheni katika kipindi kingine cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambapo bado tunaendelea kuzungumzia sifa na fadhila za Maimamu Hassan na Hussein (as), wajukuu na maua mawili ya Mtume Mtukufu (saw) kwa mujibu wa Aya za Qur'ani za na Hadithi.
  • 19
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho bila shaka kitatunufaisha sote kwa njia moja au nyingine. Allahumma Swali Ala Muhammadin wa Aali Muhammad.
  • 18
    Sibtain katika Qur'ani
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza sehemu ya 18 ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi, ambapo leo bado tutaendelea kujadili suala la neema kubwa ambayo Mwenyezi Mungu amewajalia waja wake humu duniani nayo ni neema ya Ahlul Bait (as), ambao ni kizazi kitoharifu cha Mtume Mtukufu (saw).
  • 17
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Alaikum Wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni matumaini yetu kwamba hamjapo popote pale mlipo wakati huu ambapo tunakuleteeni sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi.
  • 16
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni mjiunge nasi katika kipindi hiki cha 16 kinachozungumzia Sibtain, yaani Imam Hassan na Imam Hussein (as) katika Qur'ani na Hadithi.
  • 15
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi 15
    Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 15 ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho tunatumai mmejiweka tayari kukisikiliza.
  • 14
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi 14
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Ni matumaini yetu kwamba hamjamno na mko tayari kabisa kujiunga nasi kusikiliza sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho tunataraji kitatunufaisha sote kwa pamoja.
  • 13
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi 13
    Assalaama Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 13 katika mfululuzi wa vipindi vya Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambavyo vinazungumzia na kujadili sifa na fadhila za Imam Hassan na Hussein (as) katika Qur'ani na Hadhithi, watukufu wawili ambao ni wajukuu wa Mtume wa Uislamu, Muhammad al-Mustafa (saw).
  • 12
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi 12
    Hamjambo wapenzi wasikilizi. Tuna furaha kujumuika nanyi tena katika sehemu hii ya 12 ya kipindi hiki cha Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambacho kinakujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu inayokutangazieni kutoka mjini Tehran.
  • 11
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi 11
    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Karibuni kusikiliza kipindi kingine katika mfulululizo wa vipindi hivi vya Sibtain katika Qur'an na Hadithi ambapo kwa leo tunaendelea kuzungumzia udharura wa kuwapenda Aali za Mtume wetu Mtukufu Muhammad (saw).
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS