13
Sibtain katika Qur'ani na Hadithi 13
Assalaama Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Hii ni sehemu ya 13 katika mfululuzi wa vipindi vya Sibtain katika Qur'ani na Hadithi ambavyo vinazungumzia na kujadili sifa na fadhila za Imam Hassan na Hussein (as) katika Qur'ani na Hadhithi, watukufu wawili ambao ni wajukuu wa Mtume wa Uislamu, Muhammad al-Mustafa (saw).