50
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 14 na sauti
Katika kipindi kilichopita tulizungumzia suala la bidaa na namna ambavyo kundi la Uwahabi (Answar Suna) linavyolichukulia kila jambo ambalo halijatajwa na mihimili miwili ya vyanzo vya dini yaani Qur'an na hadithi, kuwa ni bidaa (uzushi.) katika kipindi hiki tutaendelea kuashiria suala hilo, hivyo endeleeni kuungana nami hadi mwisho wa kipindi….