Makala yetu ya juma hili imeangazia kuomba radhi Kanisa Katoliki kutokana na jinai zilizofanywa dhidi ya wakazi asilia wa Marekani.
Ni wakati mwingine wa kuwa nanyi wapenda wasikilizaji katika Makala ya Wiki hii na leo tutazungumzia maangamizi ya kizazi katika eneo la Ukanda wa Ghaza na kuporomoka kwa ubinadamu katika nchi za Magharibi.
Leo ni Jumanne tarehe Pili Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria sawa na tarehe 21 Novemba mwaka 2017.
Leo ni Jumapili tarehe 11 Rajab 1438 Hijria sawa na tarehe 9 Aprili 2017 Miladia.