• Mgogoro wa Afya ya Akili na Kujiua katika Jamii ya Marekani (Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani)

    Mgogoro wa Afya ya Akili na Kujiua katika Jamii ya Marekani (Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani)

    Sep 28, 2023 11:36

    Jumapili ya tarehe 10 Septemba ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Kujiua. Siku hiyo ilisajiliwa katika kalenda ya dunia mwaka wa 2003 na Chama cha Kimataifa cha Kuzuia Kujitoa Uhai kwa ushirikiano wa Shirika la Afya Duniani (WHO).

  • Sayansi na Teknolojia

    Sayansi na Teknolojia

    Jan 04, 2017 07:37

    Karibuni katika mjumuiko huu mpya wa vipindi ambavyo vinaangazia maendeleo mapya katika sekta za sayansi, teknolojia na tiba duniani na hasa nchini Iran. Karibuni kujiunga nasi ambapo leo tutaangazia mafanikio ya wanasayansi wa Iran katika kutengeneza chombo cha kutibu magonjwa ya ubongo kama vile Parkinson kati ya mengine. Karibu kujiunga nami hadi mwisho.

  • Siku ya Kimataifa ya Ukimwi

    Siku ya Kimataifa ya Ukimwi

    Dec 01, 2016 05:17

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni katika Makala ya Wiki ambayo juma hili inazungumzia Siku ya Kimataifa ya Ukimwi inayoadhimishwa kila mwaka tarehe Mosi Disemba.