-
Jumamosi, 31 Mei, 2025
May 31, 2025 02:20Leo ni Jumamosi 4 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1446 Hijria sawa na 31 Mei 2025 Miladia.
-
Iran: Wakimbizi wa Afghanistan watarejeshwa kwao kwa heshima
Mar 25, 2025 06:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, viongozi wa Iran na Afghanistan wameandaa utaratibu mzuri wa pamoja wa kuwawezesha wakimbizi wa Afghanistan waliopo nchini Iran warejee nchini kwao kwa heshima.
-
Jumamosi, 15 Februari, 2025
Feb 15, 2025 02:40Leo ni Jumamosi 16 Shaaban 1446 Hijria mwafaka na 15 Februari 2025 Miladia.
-
Afghanistan: Pakistan imefanya mashambulio ya anga, yameua na kujeruhi raia wengi wakiwemo watoto
Dec 25, 2024 06:53Afghanistan imetangaza kuwa jeshi la Pakistan limefanya mashambulizi ya anga katika jimbo la Paktika mashariki, na kuua na kuwajeruhi raia kadhaa, "wengi wao wakiwa wakimbizi kutoka Waziristan."
-
Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Afghanistan yafikia watu 400
May 19, 2024 10:42Idadi ya vifo vilivyosababishwa na mvua kubwa na mafuriko yaliyoikumba Afghanistan imefikia 400 baada ya watu wengine 18 kufariki dunia kutokana na mafuriko hayo.
-
Amir Abdollahian: Kuendelea uingiliaji wa Marekani nchini Afghanistan kunatatiza zaidi hali ya nchi hiyo
May 14, 2024 05:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa kuendelea uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Afghanistan kutafanya hali ya mambo ya nchi hiyo kuwa ngumu zaidi.
-
Mvua kali za mafuriko zaua watu wasiopungua 168 Pakistan na Afghanistan
Apr 20, 2024 10:41Watu wasiopungua 168 wamepoteza maisha katika matukio yaliyosababishwa na mvua, baada ya mvua kali na mafuriko kuikumba Pakistan na nchi jirani ya Afghanistan.
-
Ombi la jamii ya Shia wa Afghanistan kwa kundi la Taliban
Mar 16, 2024 02:22Wawakilishi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan wamewasilisha mapendekezo yao ya maandishi kwa Mohammed Abdul Kabir, naibu wa masuala ya kisiasa wa Waziri Mkuu wa utawala wa Taliban.
-
Indhari ya asasi za kimataifa kuhusu kushtadi njaa na umasikini nchini Afghanistan
Mar 06, 2024 02:14Kupungua kwa misaada ya kimataifa nchini Afghanistan kumepelekea kushadidi umaskini na njaa katika nchi hiyo.
-
Mapigano yazuka kati ya majeshi ya Pakistan na Afghanistan kwenye mpaka wa nchi mbili
Jan 21, 2024 11:25Mapigano yamezuka kati ya vikosi vya mpakani vya jeshi la Pakistan na vya utawala wa Taliban ya Afghanistan katika eneo la mpaka wa nchi hizo mbili.