Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Islamabad yaituhumu Kabul sambamba na kufanyika juhudi za kupunguza mivutano

    Islamabad yaituhumu Kabul sambamba na kufanyika juhudi za kupunguza mivutano

    Jan 13, 2024 06:26

    Sambamba na kufanyika safari ya Mkuu wa chama cha Jamiat Ulamae Pakistan na mazungumzo yake na maafisa wakuu wa kundi la Taliban la Afghanistan kwa lengo la kupunguza mivutano, Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ya Pakistan kwa mara nyingine tena amedai kuwa ardhi ya Afghanistan inatumiwa na maadui dhidi ya Pakistan.

  • Iran: Hatima ileile ya kutoroka Afghanistan itawafika askari wa Marekani waliopiga kambi Iraq na Syria

    Iran: Hatima ileile ya kutoroka Afghanistan itawafika askari wa Marekani waliopiga kambi Iraq na Syria

    Nov 30, 2023 07:17

    Mshauri wa ngazi ya juu wa kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amepongeza Kambi ya Muqawama katika eneo na kusema "kutoroka" ndio hatima ya mwisho itakayovifika vikosi vamizi vya jeshi la Marekani nchini Syria na Iraq kama ilivyotokea Afghanistan.

  • Pakistan haiiungi mkono tena serikali ya Taliban katika ngazi ya kimataifa

    Pakistan haiiungi mkono tena serikali ya Taliban katika ngazi ya kimataifa

    Nov 11, 2023 13:47

    Kufuatia kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Kabul na Islamabad, gazeti moja la Pakistan limeandika kuwa serikali ya nchi hiyo haiiungi mkono tena serikali ya Taliban ya Afghanistan katika ngazi ya kimataifa.

  • Kanani: Watoto wa Palestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni

    Kanani: Watoto wa Palestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni

    Nov 10, 2023 07:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mjibizo kwa shambulio lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya Hospitali ya Watoto ya Al-Nasr huko Gaza, na kueleza kwamba: "watoto wa Kipalestina daima wamekuwa ni jinamizi kwa Wazayuni."

  • Safari ya ujumbe wa kiuchumi wa Afghanistan nchini Iran

    Safari ya ujumbe wa kiuchumi wa Afghanistan nchini Iran

    Nov 05, 2023 09:50

    Ujumbe wa kiuchumi wa Afganistan umefanya safari nchini Iran kwa madhumuni ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara wa pande mbili.

  • Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia: Marekani itashindwa huko Ukraine kama ilivyofeli Afghanistan

    Oct 22, 2023 03:20

    Balozi wa Korea Kaskazini nchini Russia amelaani uungaji mkono na misaada ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine na kusema, mara hii pia Marekani itashindwa na kufeli kama ilivyokuwa huko Afghanistan.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa kulindwa Mashia nchini Afghanistan

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa kulindwa Mashia nchini Afghanistan

    Oct 15, 2023 15:20

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu ametoa wito wa kulindwa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan.

  • Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Oct 10, 2023 02:36

    Miaka 22 iliyopita, Marekani iliishambulia nchi ya Afghanistan kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi na kurudisha amani nchini humo, jambo ambalo lilipelekea Waafghani kukabiliwa na matatizo na machungu mengi.

  • Waliofariki katika tetemeko la ardhi nchini Afghanistan wapindukia 320

    Waliofariki katika tetemeko la ardhi nchini Afghanistan wapindukia 320

    Oct 08, 2023 07:12

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika tetemeko la ardhi lililotokea jana nchini Afghanistan imepindukia 320.

  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (82)

    Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (82)

    Oct 03, 2023 17:36

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS