Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Shamkhani: Kuondoka Marekani katika eneo ni fursa ya kupatikana amani na usalama wa kudumu

    Shamkhani: Kuondoka Marekani katika eneo ni fursa ya kupatikana amani na usalama wa kudumu

    Dec 22, 2020 13:30

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, kuondoka Marekani katika eneo la Asia Magharibi kutaandaa mazingira ya kurejeshwa amani na usalama wa kudumu.

  • Kufanyika kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Maslahi ya Taifa la Afghanistan

    Kufanyika kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Maslahi ya Taifa la Afghanistan

    Dec 07, 2020 09:19

    Washiriki wa kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Maslahi ya Taifa la Afghanistan wametilia mkazo kutumiwa fursa za ndani kwa ajili ya kufikia suluhu na kupatikana amani nchini humo badala ya kuwategemea wageni.

  • Rais wa Afghanistan: Mazungumzo ya amani yamefikia hatua nyeti na hasasi

    Rais wa Afghanistan: Mazungumzo ya amani yamefikia hatua nyeti na hasasi

    Dec 06, 2020 07:45

    Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan amesema, awamu iliyofikiwa hivi sasa katika mazungumzo ya kutafuta suluhu na kurejesha amani nchini humo kati ya serikali na kundi la Taliban ni hasasi na muhimu sana.

  • Iran: Shambulio la kigaidi la Kabul ni mfano wa vita vya niaba vya Marekani nchini Afghanistan

    Iran: Shambulio la kigaidi la Kabul ni mfano wa vita vya niaba vya Marekani nchini Afghanistan

    Nov 22, 2020 04:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, shambulio la kigaidi la Kabul ni mfano mmojawapo wa vita vya niaba na hatua zinazochukuliwa na waitifaki wa utawala wa kigaidi wa Marekani nchini Afghanistan.

  • Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi

    Hitilafu katika kambi ya Warepublican kuhusu kuondolewa askari wa Marekani Asia Magharibi

    Nov 18, 2020 02:23

    Uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuondolewa askari wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi hususan Afghanistan na Iraq ambao unatarajiwa kutangazwa katika siku za usoni na iliyokuwa moja ya ahadi muhimu za Trump umekabiliwa na upinzani mkali wa chama chake cha Repulican katika Kongresi ya nchi hiyo.

  • Tuhuma za kutumika ardhi ya Afghanistan katika kushambuliwa nchi nyingine zakanushwa

    Tuhuma za kutumika ardhi ya Afghanistan katika kushambuliwa nchi nyingine zakanushwa

    Nov 17, 2020 03:52

    Serikali ya Afghanistan imekanusha tuhuma za kutumika ardhi ya nchi hiyo kufanya mashambulizi dhidi ya nchi nyingine.

  • Jeshi la Afghanistan laikosoa Marekani kwa kutotoa ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Jeshi la Afghanistan laikosoa Marekani kwa kutotoa ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi

    Nov 13, 2020 06:03

    Mkuu wa vikosi vya jeshi la Afghanistan amesema kuwa Marekani haitoa ushirikiano wowote kwa jeshi hilo katika mapambano dhidi ya kundi la Taliban na magenge ya magaidi.

  • Kukosoa Maulamaa wa Afghanistan kimya cha Saudi Arabia mbele ya kuvunjiwa heshima Bwana Mtume SAW

    Kukosoa Maulamaa wa Afghanistan kimya cha Saudi Arabia mbele ya kuvunjiwa heshima Bwana Mtume SAW

    Nov 02, 2020 02:32

    Maulamaa nchini Afghanistan wamekosoa vikali kimya cha Saudi Arabia mbele ya kuvunjiwa heshima Bwana Mtume SAW.

  • Msimamo wenye utata wa Gulbuddin Hekmatyar kuhusu kuundwa serikali ya muda Afghanistan

    Msimamo wenye utata wa Gulbuddin Hekmatyar kuhusu kuundwa serikali ya muda Afghanistan

    Oct 27, 2020 02:27

    Mkuu wa chama cha Kiislamu cha Afghanistan katika msimamo wake uliozusha utata na mjadala amesema kuwa njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo ni kuunda serikali ya muda.

  • Zarif: Iran inaunga mkono mchakato wa amani Afghanistan

    Zarif: Iran inaunga mkono mchakato wa amani Afghanistan

    Oct 19, 2020 03:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono mchakato wa amani nchini Afghanistan ambao unaongozwa na Waafghani wenyewe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS