-
Rais wa Afghanistan: Serikali haina wasiwasi wowote juu ya kuondoka askari wa Marekani
Jun 26, 2020 02:30Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan amesema, serikali ya nchi hiyo haina wasiwasi wowote juu ya suala la kuondoka askari wa Marekani nchini humo.
-
Zarif: Marekani mara hii inatumia mabavu dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai
Jun 12, 2020 07:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa kadhaa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kusema, hivi sasa ICC inahujumiwa na genge la wahalifu wambao wanajiarifisha kuwa ni wanadiplomasia."
-
Seneta wa Marekani akiri kwamba Washington ilifanya uvamizi wa wazi nchini Afghanistan
Jun 06, 2020 02:56Seneta wa chama cha Republican na mkuu wa Kamati ya Sheria katika Bunge la Seneti nchini Marekani amesema kuwa uwepo wa askari wa nchi hiyo huko Afghanistan ni uvamizi wa wazi na ulio kinyume cha sheria.
-
Sisitizo la Marekani la kuendelea kuwepo kijeshi nchini Afghanistan
Jun 01, 2020 17:19Mwakilishi wa kudumu wa Marekani katika Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) amesisitizia kuendelea kuwepo askari wa nchi yake nchini Afghanistan.
-
Uhusiano mzuri wa Iran na Afghanistan katika kivuli cha mawasiliano endelevu
May 29, 2020 09:23Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulika masuala ya sheria amesema kuwa, ili kuzuia magendo ya binaadamu na safari haramu, Tehran imetiliana saini makubaliano mapya na serikali ya Afghanistan.
-
Afghanistan yazitaka nchi za Kiislamu kulaani jinai za Wazayuni
May 22, 2020 11:08Baraza la 'Ikhwatul-Muslimin' katika jimbo la Balkh nchini Afghanistan limewataka viongozi wa nchi za Kiislamu na Kiarabu kuhitimisha kimya chao dhidi ya jinai zinazotendwa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya taifa madhlumu la Palestina.
-
Matamshi ya Rais wa Marekani kuhusu kufaidika Taliban na uwepo wa askari wa Marekani nchini humo
May 20, 2020 06:52Rais wa Marekani amesema uwepo wa askari wa nchi yake huko Afghanistan ni kwa faida ya Taliban na hivyo kundi hilo halitaki askari wa Marekani waondoke.
-
Watu 47 wafariki dunia katika mapigano mapya nchini Afghanistan
May 20, 2020 00:50Watu 47 wamefariki dunia katika mapigano mapya kati ya jeshi la serikali ya Afghanistan na wanachama wa kundi la Taleban katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.
-
Taliban yatishia kuendeleza mashambulio ya kijeshi dhidi ya vikosi vya serikali ya Afghanistan
May 15, 2020 07:24Msemaji wa kundi la Taliban ametishia kuwa, kundi hilo litaendeleza mashambulio ya kijeshi dhidi ya askari na taasisi za serikali ya Afghanistan.
-
Sisitizo la Amnesty International juu ya ukidhabu wa Marekani katika mauaji ya raia
May 12, 2020 06:08Baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilianzisha vita katika maeneo tofauti duniani kwa madai ya kupambana na ugaidi na hasa katika nchi mbili za Waislamu, za Afghanistan na Iraq ambazo hatimaye ilizikalia kwa mabavu.