Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Radiamali ya bunge la Afghanistan kwa kitisho cha Marekani cha kuipunguzia misaada nchi hiyo

    Radiamali ya bunge la Afghanistan kwa kitisho cha Marekani cha kuipunguzia misaada nchi hiyo

    Mar 28, 2020 21:48

    Bunge la Afghanistan limetangaza kuwa matamshi ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kuhusu kupunguzwa kiasi cha dola bilioni moja za misaada ya nchi hiyo kwa Kabul ni kinyume na mapatano ya kistratejia ya pande mbili.

  • Umoja wa Mataifa wasema Afghanistan ndiyo nchi iliyo na idadi kubwa zaidi ya vifo vya watoto duniani

    Umoja wa Mataifa wasema Afghanistan ndiyo nchi iliyo na idadi kubwa zaidi ya vifo vya watoto duniani

    Mar 17, 2020 23:39

    Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Watoto, ameitaja Afghanistan kuwa nchi iliyo na idadi kubwa zaidi ya vifo vya watoto duniani.

  • Kutokuwa na irada wanamgambo wa Taliban kwa ajili ya amani nchini Afghanistan

    Kutokuwa na irada wanamgambo wa Taliban kwa ajili ya amani nchini Afghanistan

    Mar 17, 2020 09:14

    Baraza la Usalama wa Taifa nchini Afghanistan limetangaza kuwa, kundi la wanamgambo wa Taliban halina irada na azma ya kweli kwa ajili ya kupatikana amani na kudhaminiwa usalama katika nchi hiyo.

  • Kushtadi vita vya kugombania madaraka kati ya Abdullah Abdullah na Ashraf Ghani  nchini Afghanistan

    Kushtadi vita vya kugombania madaraka kati ya Abdullah Abdullah na Ashraf Ghani nchini Afghanistan

    Mar 13, 2020 22:59

    Kufuatia kufutwa cheo cha Baraza la Utekelezaji la Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Afghanistan, Abdullah Abdullah ambaye anajitambua kuwa rais wa nchi hiyo, amesema kwamba urais wa Ashraf Ghani hauna itibari yoyote.

  • Agizo la kuachiliwa huru wafungwa wa kundi la wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan

    Agizo la kuachiliwa huru wafungwa wa kundi la wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan

    Mar 12, 2020 01:13

    Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afganistan ametoa amri ya kuachiliwa huru kutoka gerezani wafungwa ambao ni wanachama wa kundi la wanamgambo wa Taliban.

  • Baada ya Abdullah Abdullah na Ashraf Ghani kila mmoja kuapishwa kuwa rais, mzozo mkubwa wa kisiasa waibuka Afghanistan

    Baada ya Abdullah Abdullah na Ashraf Ghani kila mmoja kuapishwa kuwa rais, mzozo mkubwa wa kisiasa waibuka Afghanistan

    Mar 11, 2020 13:23

    Mzozo mkubwa wa kisiasa wa kugombania madaraka nchini Afghanistan umezidi kushika kasi, baada ya washindani wakubwa wawili ambao ni Ashraf Ghani na Abdullah Abdullah kumfuta kazi mwingine.

  • Ukosoaji wa Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan kuhusu kutowekwa wazi makubaliano ya Marekani na Taleban

    Ukosoaji wa Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan kuhusu kutowekwa wazi makubaliano ya Marekani na Taleban

    Mar 08, 2020 07:03

    Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afghanistan amesema kuwa makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marekani na kundi la Taleban hayajulikani vyema.

  • ICC yaafiki uchunguzi kuhusu jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan

    ICC yaafiki uchunguzi kuhusu jinai za kivita za Marekani nchini Afghanistan

    Mar 06, 2020 08:03

    Oktoba mwaka 2001, kwa kisingizio cha hujuma za Sepemba 11 mwaka huo, Marekani ilianzisha uvamizi dhidi ya Afghanistan. Tokea wakati huo hadi sasa Marekani imeendelea kuikalia kwa mabavu Afghanistan na askari wake wametekeleza jinai dhidi ya raia wa nchi hiyo ikiwa ni pamoja na kuua raia wasio na hatia.

  • Licha ya kutia saini makubaliano ya amani, Taliban yaua zaidi ya askari 20 wa serikali Afghanistan

    Licha ya kutia saini makubaliano ya amani, Taliban yaua zaidi ya askari 20 wa serikali Afghanistan

    Mar 04, 2020 04:46

    Licha ya Marekani na kundi la Taliban kutiliana saini makubaliano ya kukomesha mapigano huko Afghanistan, msemaji wa jeshi la nchi hiyo kaskazini mwa Afghanistan amesema kuwa, zaidi ya wanajeshi 20 na polisi wa serikali wameuawa katika shambulio la kundi la Taliban kwenye wilaya ya Qunduz.

  • Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu kusainiwa mapatano baina ya Marekani na Taliban

    Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu kusainiwa mapatano baina ya Marekani na Taliban

    Mar 02, 2020 22:53

    Iran inaunga mkono tukio lolote ambao litasaidia kuleta amani na uthabiti nchini Afghanistan na inaunga mkono jitihada zitakazoongozwa na Afghanistan ili kufikia lengo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS