Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Kesi za Corona barani Afrika zapungua kwa asilimia 13

    Kesi za Corona barani Afrika zapungua kwa asilimia 13

    Oct 07, 2021 21:19

    Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimesema bara la Afrika limeshuhudia kupungua kwa maambukizo ya ugonjwa wa COVID-19 katika kipindi cha wiki moja.

  • Kesi za Corona barani Afrika zapindukia milioni 8 na laki 3

    Kesi za Corona barani Afrika zapindukia milioni 8 na laki 3

    Oct 05, 2021 04:34

    Kesi zilizothibitishwa za maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 katika nchi 55 za Kiafrika hadi kufikia jana Jumatatu zimepindukia watu milioni nane na laki tatu.

  • WHO: Asilimia 4 tu ya Waafrika ndio waliopata chanjo ya corona

    WHO: Asilimia 4 tu ya Waafrika ndio waliopata chanjo ya corona

    Sep 30, 2021 08:24

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, nchi 14 za Afrika pekee ndizo zilizokuwa zimetoa chanjo ya corona kwa zaidi ya asilimiia 10 ya jamii zao hadi kufikia mwishoni mwa mwezi uliopita wa Septemba.

  • WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya maambukizi ya kirusi cha corona Afrika

    WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya maambukizi ya kirusi cha corona Afrika

    Sep 24, 2021 08:08

    Wanasayansi na wasomi kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) wametahadharisha kuhusu mambukizo mapya ya kirusi cha corona katika miezi ya mwisho ya mwaka huu barani Afrika.

  • Mwenyekiti wa AU ataka Afrika iwe na kiti cha uanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN

    Mwenyekiti wa AU ataka Afrika iwe na kiti cha uanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN

    Sep 22, 2021 09:14

    Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambaye ni mwenyekiti sasa wa Umoja wa Afrika AU amewasilisha malalamiko kadhaa ya bara hilo katika mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ulioanza jana mjini New York, likiwemo la bara la Afrika kupatiwa uanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la UN.

  • Wafanyamapinduzi Guinea wakataa wito wa kuachia madaraka, wasema hawababaishwi na vikwazo

    Wafanyamapinduzi Guinea wakataa wito wa kuachia madaraka, wasema hawababaishwi na vikwazo

    Sep 19, 2021 12:04

    Kundi la wanajeshi waliotwaa madaraka ya nchi huko Guinea kupitia mapinduzi limepinga mashinikizo ya kimataifa yanayotaka kuachiliwa huru rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeshikiliwa kizuizini, Alpha Conde na kurejeshwa kwa utawala wa kiraia.

  • Ufaransa yadai kumuua kiongozi wa Daesh katika eneo la Sahel

    Ufaransa yadai kumuua kiongozi wa Daesh katika eneo la Sahel

    Sep 16, 2021 03:35

    Rais wa Ufaransa ametangaza habari ya kuuliwa kiongozi wa magaidi wa kundi la Daesh katika eneo la Sahel.

  • Watu milioni  7.87 wameambukizwa corona barani Afrika

    Watu milioni 7.87 wameambukizwa corona barani Afrika

    Sep 04, 2021 22:46

    Nchi za Kiafrika zilirekodi maambukizi mapya 25,477 ya COVID-19 katika masaa 24 kufikia Jumamosi na hivyo kuifanya jumla ya watu walioambukizwa ugonjwa huo hadi kufikia sasa barani humo kuwa milioni 7.87.

  • Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU

    Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU

    Aug 29, 2021 21:58

    Wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) wamepinga na kukosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika kumteua aliyekuwa rais wa Nigeria kuwa mpatanishi katika mgogoro unaoshuhudiwa kwa miezi kadhaa sasa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.

  • Hofu ya Baraza la Usalama ya kuenea ugaidi barani Afrika

    Hofu ya Baraza la Usalama ya kuenea ugaidi barani Afrika

    Aug 20, 2021 21:58

    Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimeleeza wasi wasi wao juu ya kuenea harakati za makundi ya kigaidi katika nchi za Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS