Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Ramaphosa: Tusiruhusu vita vya niaba barani Afrika

    Ramaphosa: Tusiruhusu vita vya niaba barani Afrika

    Feb 10, 2020 04:04

    Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika amesema kuwa, Waafrika hawapasi kuruhusu bara lao liwe medani ya vita vinavyopiganwa kwa niaba ya pande nyingine.

  • Umoja wa Afrika wapinga Muamala wa Karne uliobuniwa na Marekani

    Umoja wa Afrika wapinga Muamala wa Karne uliobuniwa na Marekani

    Feb 09, 2020 23:38

    Mkuu wa Kamisheni ya Afrika amesema kuwa, mpango wa Muamala wa Karne uko dhidi ya Wapalestina na unakinzana na sheria za kimataifa.

  • António Guterres ataka kuhitimishwa mapigano ya silaha barani Afrika

    António Guterres ataka kuhitimishwa mapigano ya silaha barani Afrika

    Feb 09, 2020 23:38

    António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuhitimishwa mapigano ya silaha barani Afrika, ni moja ya masuala muhimu na ya msingi katika kulindwa haki za binaadamu.

  • Waafrika milioni  239 wanakabiliwa na njaa, utapiamlo

    Waafrika milioni 239 wanakabiliwa na njaa, utapiamlo

    Feb 09, 2020 08:44

    Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa FAO Marina Helena Semedo amesema watu takriban milioni 239 wa Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakabiliwa na tatizo la njaa na utapiamlo.

  • Rais wa Kenya aonya kuhusu ushindani wa Marekani na China barani Afrika

    Rais wa Kenya aonya kuhusu ushindani wa Marekani na China barani Afrika

    Feb 06, 2020 08:46

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametahadharisha kuhusiana na ushindani wa Marekani na China barani Afrika na kubainisha kwamba, madola ya kigeni yanazidisha mgawanyiko na mivutano katika bara hilo.

  •  Bara la Afrika katika juhudi za kukabiliana na virusi vya Corona

    Bara la Afrika katika juhudi za kukabiliana na virusi vya Corona

    Feb 06, 2020 04:20

    Ripoti za mashirika ya kimataifa zinasema kuwa nchi za bara la Afrika zimezidisha hatua za kiafya kwa ajili ya kukabiliana na maambukizo ya virusi vya Corona na namna ya kuzuia ugonjwa huo.

  • Shambulio la nzige Afrika, Somalia yatangaza janga la taifa

    Shambulio la nzige Afrika, Somalia yatangaza janga la taifa

    Feb 02, 2020 23:37

    Somalia imekuwa nchi ya kwanza ya Pembe ya Afrika kutangaza kuwa, wimbi la nzige waliovamia nchi hiyo ni janga na kwamba kupambana na janga hilo ni jambo la dharura kitaifa.

  • Ufaransa yaendea kuingilia mambo ya ndani ya Afrika, yatuma mamia ya askari eneo la Sahel

    Ufaransa yaendea kuingilia mambo ya ndani ya Afrika, yatuma mamia ya askari eneo la Sahel

    Feb 02, 2020 10:16

    Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa ametangaza kuwa nchi hiyo itatuma wanajeshi wengine 600 katika eneo la Sahel barani Afrika, hatua ambayo imetajwa na wafuatiliaji wa mambo kuwa ni katika kuendeleza sera za mkoloni huyo wa zamani za kuzidisha ushawishi na satua yake barani humo.

  • Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inalenga kupanua wigo wa makabiliano na Russia, China

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inalenga kupanua wigo wa makabiliano na Russia, China

    Jan 29, 2020 03:10

    Katika zama za utawala wa Rais Donlad Trump, Marekani imekithirisha makabiliano na Russia na China ambazo ni washindani wake wakuu katika uga wa kimataifa. Sera hiyo ya utawala wa Trump ilitiliwa mkazo katika Waraka wa Kistratijia wa Usalama wa Taifa la Marekani mwaka 2018.

  • Museveni akiongea kwa hasira: Haikupasa nchi za Kiafrika ziruhusu nchi za Magharibi ziishambulie Libya

    Museveni akiongea kwa hasira: Haikupasa nchi za Kiafrika ziruhusu nchi za Magharibi ziishambulie Libya

    Jan 23, 2020 04:47

    Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda amesema, haikupasa nchi za Kiafrika ziruhusu nchi za Magharibi ziishambulie kijeshi Libya na kupelekea kuuawa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Kanali Muammar Gaddafi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS