Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Balozi wa Afrika Kusini akosoa vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Iran

    Balozi wa Afrika Kusini akosoa vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Iran

    Nov 28, 2022 23:54

    Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amekosoa kuendelea vikwazo vya madola ya Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mahakama Afrika Kusini yakosolewa kwa kumuachia Mzungu katili

    Mahakama Afrika Kusini yakosolewa kwa kumuachia Mzungu katili

    Nov 22, 2022 04:33

    Uamuzi wa Mahakama ya Kikatiba ya Afrika Kusini kumuachia huru raia mbaguzi wa Poland aliyekuwa akitumia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Chris Hani, mmoja wa viongozi waliokuwa wanapinga utawala wa zamani wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini (apartheid).

  • Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Nov 17, 2022 04:14

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamesisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.

  • Makumi ya maiti za wachimba migodi 'haramu' zapatikana Afrika Kusini

    Makumi ya maiti za wachimba migodi 'haramu' zapatikana Afrika Kusini

    Nov 03, 2022 08:29

    Polisi ya Afrika Kusini inachunguza kisa cha kugunduliwa makumi ya maiti za watu wanaoshukiwa kuwa wachimba migodi 'haramu' katika mji wa Krugersdorp, magharibi mwa jiji la Johannesburg.

  • Afrika Kusini yaishambulia US kwa kutoa 'tahadhari ya shambulio la kigaidi'

    Afrika Kusini yaishambulia US kwa kutoa 'tahadhari ya shambulio la kigaidi'

    Oct 29, 2022 07:26

    Viongozi wa Afrika Kusini wameikosoa serikali ya Marekani kwa kutoa tahadhari ya uwezekano wa kutokea shambulizi la kigaidi katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Mazungumzo ya amani ya Tigray kufanyika Oktoba 24 Afrika Kusini

    Mazungumzo ya amani ya Tigray kufanyika Oktoba 24 Afrika Kusini

    Oct 21, 2022 00:42

    Mazungumzo ya amani ya kujaribu kutatua mgogoro katika eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia kati ya serikali kuu na wapiganaji wa TPLF yameratibiwa kufanyika wiki ijayo.

  • Rais wa Syria asisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi

    Rais wa Syria asisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi

    Aug 26, 2022 22:52

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi na akaeleza kwamba, kupambana na ugaidi hakutawezekana kwa kutumia nguvu za kijeshi pekee, kwa sababu idiolojia ya mitazamo ya kufurutu ada haitambui mipaka bali inajipanua na kuenea kwa kasi kutoka nchi moja hadi nyingine.

  • Iran na Afrika Kusini zalaani jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Iran na Afrika Kusini zalaani jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Aug 07, 2022 02:50

    Iran na Afrika Kusini zimelaani vikali jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • Afrika Kusini yaripoti kifo cha kwanza kilichosababishwa na chanjo ya Corona

    Afrika Kusini yaripoti kifo cha kwanza kilichosababishwa na chanjo ya Corona

    Aug 04, 2022 20:43

    Afrika Kusini jana Alkhamisi ilitangaza habari ya kuaga dunia mtu mmoja baada ya kupigwa chanjo cha kukabiliana na maradhi ya Covid-19 ya Johnson and Johnson ya Marekani.

  • Mjukuu wa Mandela: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa ilhamu Afrika Kusini

    Mjukuu wa Mandela: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa ilhamu Afrika Kusini

    Aug 03, 2022 08:02

    Mjukuu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanatoa ilhamu na motisha kwa taifa hilo la kusini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS