-
Rais wa Afrika Kusini alaani hujuma dhidi ya raia wa kigeni
Apr 11, 2022 22:11Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema ni jambo la kusikitisha kuona kuwa hisia na hujuma dhidi ya raia wa kigeni zinashabihiana na yale yaliyokuwa yakijiri nchini humo katika zama za utawala wa ubaguzi wa rangi au apathaidi.
-
Ramaphosa: Mgogoro wa Ukraine umefichua udhaifu wa Baraza la Usalama la UN
Apr 08, 2022 22:02Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema mgogoro wa Ukraine umeanika wazi udhaifu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na namna taasisi hiyo kubwa zaidi ya kimataifa isivyo na uwezo wa kuidhaminia dunia amani na usalama.
-
Maandamano ya kulaani ongezeko la visa vya uhalifu yafanyika Afrika Kusini
Apr 07, 2022 05:45Mamia ya watu wamefanya maandamano nchini Afrika Kusini kulalamikia ongezeko la visa vya uhalifu wanavyodai kuwa vinafanywa na raia wa kigeni nchini humo.
-
Ramaphosa: NATO ndiyo ya kulaumiwa kwa vita vya Russia nchini Ukraine
Mar 18, 2022 11:31Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameilaumu NATO kwa vita vya Ukraine na kusema kuwa atapinga wito wa kuilaani Russia. Matamshi haya ya Ramaphosa yanatia shaka iwapo atakubaliwa na Ukraine au nchi za Magharibi kama mpatanishi katika mzozo huo.
-
Benki ya Dunia: Afrika Kusini inaongoza kwa ufa mkubwa wa umiliki wa kipato duniani
Mar 10, 2022 08:55Benki ya Dunia imetangaza kuwa Afrika Kusini ndiyo nchi yenye ufa mkubwa zaidi wa tofauti ya kipato baina ya watu wake kutokana na asilimia 10 ya raia wake wazungu kumiliki zaidi ya asilimia 80 ya utajiri wote wa nchi hiyo. Ripoti hiyo imesema, mbari na rangi za watu ndilo suala linalochangia zaidi hali hiyo.
-
Afrika Kusini yataka Israel ichukuliwe hatua kwa jinai zake za 'apartheid'
Feb 18, 2022 07:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa, kuna haja ya kuchukuliwa hatua ya moja kwa moja dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mienendo yake ya ubaguzi wa rangi wa apartheid.
-
Maambukizi ya aina mpya ya spishi ya Omicron yachachamaa Afrika Kusini
Feb 05, 2022 01:08Afrika Kusini imeshuhudia ongezeko la maambukizi ya aina mpya ya spishi ya kirusi cha Corona cha Omicron, iliyopewa jina la kitaalamu la BA.2.
-
Aliyechoma moto Bunge la Afrika Kusini kuhukumiwa Februari 4
Jan 31, 2022 00:34Zandile Mafe atajua hatima yake siku chache zijazo baada ya mahakama ya jimbo la Cape Town nchini Afrika Kusini kueleza kuwa itatoa hukumu kuhusu mtuhumiwa huyo tarehe 4 mwezi ujao wa Februari. Zandile Mafe anakabiliwa na tuhuma za kuchoma kwa makusudi jengo la Bunge la Afrika Kusini
-
Simba waambukizwa Corona na wahudumu wa mbuga Afrika Kusini
Jan 20, 2022 00:56Wanasayansi wa Chuo Kikuu cha Pretoria nchini Afrika Kusini wamesema simba watatu na puma wawili waliopatikana na maambukizi ya virusi vya Corona waliambukizwa na wafanyakazi wa mbuga moja ya wanyamapori nchini humo.
-
Waislamu Afrika Kusini wataka kulindwa turathi za kale Cape Town
Jan 16, 2022 04:35Wanaharakati wa Kiislamu katika wilaya ya Bo-Kaap jijini Cape Town nchini Afrika Kusini wametoa mwito wa kulindwa na kuhifadhiwa turathi na athari za kale hususan za kidini katika eneo hilo ambalo aghalabu ya wakazi wake ni Waislamu.